Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Aisee waache waende kwenye sensa ila usalama wenu ni muhimu sana huko barabarani, sumatra wametoa tamko tyr kuwadhibiti wasafilishaji ktk kipindi hizi cha kristimass, naomba pia kila familia zenu huko kwenu mzungumziE nini kimewapata mkaiga tabia za wahehe za kujiua na kuuwa wenza weNU?
 
Wachaga mkirudi njooni na lipoti ya nn kilitokea kwa mushi na ufoo, munishi na mwenzie pale ilala




CC Baba V,
@TUDO
 
Msimu wa kwenda kuungana na ndugu na jamaa huu...nadhani ni utaratibu mzuri sana ambao sote tungepaswa kuuiga....binafsi na-admire sana huu utaratibu wao... Wish them th best of Xmass season

Kwakweli hua ni raha sana,,kipindi hiki hua tunakamilisha furaha ya kua pa1 baada ya kipindi kirefu kua bize kusaka maisha nje ya mko.
 
halafu kwenda kwao moshi
kunadororesha biashara
kwa sie wenye mabaa, coz ndio wateja
wakubwa!!
 
Halafu kuna polisi kibao barabarani kuanzia mwezi huu mpaka ipite krismas. Maana wachagga wanafufuaje magari yaliolala gereji kwa mwaka mzima ili aende nalo Moshi.
 
Acha waende bwana, tukae kwa raha zetu. Folen itapngua ana, Ukitaka kwenda posta 10min inatosha

hata kama unatoka kibamba? labda kama unatoka maeneo ya maktaba mpaka stand ya posta!
 
chezea misosi ya asili weye lazima tutie timu

1424442_395774923886871_1997872994_n.jpg
kama namuana bb yangu vile ananikaribisha na msosi wa asili
 
Yewomiiiiiiiiii!!!!!!! Mlachake naona unanikumbusha pale Ungwasi. Umeona mandhara ya kwetu ilivyo tamu? Lazima tukaenjoy upepo mwananaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!

ha ha ha ha kweli we Mrombo wa Ukweli. ndio hapo hapo Ungwaso kaka. yaani mbavu sina
 
ha ha ha ha kweli we Mrombo wa Ukweli. ndio hapo hapo Ungwaso kaka. yaani mbavu sina
lakini mazingira umeyaonaje mkuu? nimepamiss kiasi na sasa hivi ule ukijana wa krismass uko kwa mbaaali yaani ni bonge la burudani
 
lakini mazingira umeyaonaje mkuu? nimepamiss kiasi na sasa hivi ule ukijana wa krismass uko kwa mbaaali yaani ni bonge la burudani

Yani nikishafikaga hapo Ungwasi, kiu inanikamata fasta. natamani gari ipae nifike pale Mrere ninywage bia na nyama choma....
 
Yani nikishafikaga hapo Ungwasi, kiu inanikamata fasta. natamani gari ipae nifike pale Mrere ninywage bia na nyama choma....
Mzee si unajua kitu cha kule ni safari, serengeti, Eagle na wagumu wengine mix na mbege!!!!!!! Sasa huko hakuna sijui nakunywa ipi wala nini. zikiisha tunakunywa zilizopo. Mix kuanzia Eagle mpaka mbege. Karibuni kwenye raha za Rombo mazeee!!!!!!!!!!!!!!!!!1
 
Back
Top Bottom