gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,692
![]()
Du nyama zipo lakini mm nimekimbilia Babylon, maana kote vurugu tupu vuluvulu, watu wanakidai na magari ya kila aina na No. mpya tupu hata za Kenya
Km nyama hata Kilacha Himo kwa masister wa Roma ipo kuku, nyama za mtoni leo zimekwisha mapema
Ng'ombe waliopo wanasubiria mwaka mpya (2013)
gfsonwin mwambie Asprin shikamoo haisaidii huku kwa Wachagga siku utakapogombea Ubunge Jimbo la Hai atakupa Shikamoo Mheshimiwa Mwalimu A.
huyu hanipati hata kidogo anajua. manake yy wakati huo alikuwa anakunywa mataputapu Ubwe sekondari lol!
umenikumbusha kwa akina MBOYA hapo babylon.