Vmark.
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 1,353
- 270
Asante na karibu tena kwenye mkesha wa mwaka mpya.hongera, kwaya yenu iliimba vizuri sana!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante na karibu tena kwenye mkesha wa mwaka mpya.hongera, kwaya yenu iliimba vizuri sana!!
Kusifu wachaga hakunitoi kwenye tamaduni yangu hata siku moja..yani niwe mnafiki wakati watu wanafanya mambo mazuri! Kapimwe iq..
wanawake wengi wa kichagga wana sura nzuri lakini wamepigwa pasi makalio na vile vile miguu yao mwembamba kama stick ( truth hurts )
Kila kona utasikia i see meku naenda Moshi kula x. Mass mpaka kwenye maredio
Kusifu wachaga hakunitoi kwenye tamaduni yangu hata siku moja..yani niwe mnafiki wakati watu wanafanya mambo mazuri! Kapimwe iq..
wewe umehadithiwa huna lolote,hakuna aliyewahi kusikia hayo matangazo.
Wivu nao!
ushakunywa mbege galoni ngapi meku?
aisee meku nikukute hapo njia panda himo turudi zetu Dar bana!
Sio bure, declare Interest ( kule ni UKWENI )
ufike machame cottage utakuwa umekwisha sahau kama uko kijijini.
tizama makanisa yanayojenga kijijini hata huku mjini hakufui dafu, anza kanisa la NSHARA, UDURU, NKWARUNGO, NENDA NKUU KISERENI, LYAMUNGO utashangaa sana manake utajiuliza maswali mengi na sio ya miaka ya karibuni la hasha mengine yalijengwa 80's lkn kwa ramani kali na ya kisasa.
Katika makabila Tanzania, wachagga Kabila! Naadmire sana culture Yao ya kurudi nyumbani kila mwaka na kujoin family na jamaa kusheherekea sikukuu..japo wanasemwa sana oh wanaenda kutambikia Mara kuhesabiwa Lakini hawa jamaa ni mfano wa kuigwa! Wanapenda sana Kwao na hii imesaidia sana kupeleka maendeleo Kwao..I have been there seen it all..badala ya kuwaonea wivu na kubwabwaja, Naomba tuige mifano Yao na si tuendeleze Kwetu na tuwe proud na identity zetu badala ya Kuona aibu kuitwa wandengereko au Makonde..merry Xmas to yo all..alafu pia jamaa wana the best women..(habari ya shape cjui nn ni umbea tu wazuri ni wengi sana kuliko wabaya#fact#)kwanza wanawake wengi sana wa pwani mashapeless
yaani best acha halafu ghafla nimepata hamu ya kuvisit nakara view, na bia za marangu mtoni lol!![]()
Teacher yaani umesahau Ashira Girls '94/98 leo unakumbuka Machame tu.
Yaani mm nimeanzia huku Himo ni Mahindi kwa mstari tu mpaka Marangu Sec
Mahotel kuanzia Marangu Hotel, Kibo Hotel, Babylon, Nakara, Tropicana, Marangu falls acha haya maduka ua kina Amstedam ni kwa $ na paund tu huwezi amini km ni Tanzania hii kwani tunapishana na Wazungu tu huku tumeinamia Lager kwa kupokezana na Dada zetu
Salamu zao kina Manka huku bado wanakukumbuka gfsonwin
Dah, we mkali ... umenifanya nipamisi Nronga, Machame gafla! Kweli wazungu noma, hadi muda huu wameniweka ofisini, vinginevyo ningekua nakunywa zangu MBEGE pale KIDURUU saa hizi .....