Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

wanawake wengi wa kichagga wana sura nzuri lakini wamepigwa pasi makalio na vile vile miguu yao mwembamba kama stick ( truth hurts )
 
wanawake wengi wa kichagga wana sura nzuri lakini wamepigwa pasi makalio na vile vile miguu yao mwembamba kama stick ( truth hurts )

inauhusiano gani na kurudi home...
jacline_wolper1.jpg
 
Watachonga sana juu yetu. Mi najitafunia ulabu wangu hapa Mamsera.

Proud to a a chaggian!

Aisee babu Asprin kumbe Mzee wa mamsera?? Mie nipo hapa Keni napata supu ya asubuhi.... Proud to be a chagga!!
 
Last edited by a moderator:
Dah, kweli umefika mbali wewe mtoto...ila umesahau NRONGA je...kama ni mpenzi wa adventure jaribu kutembelea siku moja, make sure unapita njia ya miguu ya kutokezea NKWARUNGO!
 
Umeongea vizuri sana na me nimefurahi, sasa kwa taarifa yako me nipo mwanza yaani tupo fully ukoo mzima tunamalizia masalia ya ng'ombe tuliemuangusha tunakula maisha na r aha kila sikukuu kubwa tupo home wote pengine ni ukoo wenu ndo mna matatizo kaka hamrudi nyumbani kwenu rekebisha ukoo wenu kaka pole sana me ni msukuma piwaaaaa naishi dar ila kwa sasa nipo home mwanzaaaaaaa moja!!!!

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Kwetu ukienda umependeza imetoka hiyo,unarudi na box aende nani......HAPPY NEW YEAR TO U ALL
 
Dah, we mkali ... umenifanya nipamisi Nronga, Machame gafla! Kweli wazungu noma, hadi muda huu wameniweka ofisini, vinginevyo ningekua nakunywa zangu MBEGE pale KIDURUU saa hizi .....
 
Sio bure, declare Interest ( kule ni UKWENI )

Hamna..embu google hawa..Hoyce Temu , snura mushi, wolper, miss east Africa 2012 na Mamiss kedekede..kina aina maeda, shose sinare saida Kessy etc..bado marunners up..alafu nenda dar tu watoto wa kichagga vyuoni uone..sisemi Kama wote wako poa..ila ni wazuri si kwa shape wala sura give em their props bana..the truth shall set you free..
 
ufike machame cottage utakuwa umekwisha sahau kama uko kijijini.
tizama makanisa yanayojenga kijijini hata huku mjini hakufui dafu, anza kanisa la NSHARA, UDURU, NKWARUNGO, NENDA NKUU KISERENI, LYAMUNGO utashangaa sana manake utajiuliza maswali mengi na sio ya miaka ya karibuni la hasha mengine yalijengwa 80's lkn kwa ramani kali na ya kisasa.
320px-Handaki.jpg


Teacher yaani umesahau Ashira Girls '94/98 leo unakumbuka Machame tu.
Yaani mm nimeanzia huku Himo ni Mahindi kwa mstari tu mpaka Marangu Sec
Mahotel kuanzia Marangu Hotel, Kibo Hotel, Babylon, Nakara, Tropicana, Marangu falls acha haya maduka ua kina Amstedam ni kwa $ na paund tu huwezi amini km ni Tanzania hii kwani tunapishana na Wazungu tu huku tumeinamia Lager kwa kupokezana na Dada zetu
Salamu zao kina Manka huku bado wanakukumbuka gfsonwin
 
Last edited by a moderator:
Katika makabila Tanzania, wachagga Kabila! Naadmire sana culture Yao ya kurudi nyumbani kila mwaka na kujoin family na jamaa kusheherekea sikukuu..japo wanasemwa sana oh wanaenda kutambikia Mara kuhesabiwa Lakini hawa jamaa ni mfano wa kuigwa! Wanapenda sana Kwao na hii imesaidia sana kupeleka maendeleo Kwao..I have been there seen it all..badala ya kuwaonea wivu na kubwabwaja, Naomba tuige mifano Yao na si tuendeleze Kwetu na tuwe proud na identity zetu badala ya Kuona aibu kuitwa wandengereko au Makonde..merry Xmas to yo all..alafu pia jamaa wana the best women..(habari ya shape cjui nn ni umbea tu wazuri ni wengi sana kuliko wabaya#fact#)kwanza wanawake wengi sana wa pwani mashapeless

Umewasifia wachaga vizuri,mwisho umeharibu kwa kuwasema vibaya wanawake wa pwani.Sijui wameingiaje hapa kwenye x-mass za wachaga,au una bif na wakina mwanajuma?
 
320px-Handaki.jpg


Teacher yaani umesahau Ashira Girls '94/98 leo unakumbuka Machame tu.
Yaani mm nimeanzia huku Himo ni Mahindi kwa mstari tu mpaka Marangu Sec
Mahotel kuanzia Marangu Hotel, Kibo Hotel, Babylon, Nakara, Tropicana, Marangu falls acha haya maduka ua kina Amstedam ni kwa $ na paund tu huwezi amini km ni Tanzania hii kwani tunapishana na Wazungu tu huku tumeinamia Lager kwa kupokezana na Dada zetu
Salamu zao kina Manka huku bado wanakukumbuka gfsonwin
yaani best acha halafu ghafla nimepata hamu ya kuvisit nakara view, na bia za marangu mtoni lol!
halafu ulishafika marangu gate?? eebwana ile ni ulaya bana acha kabisa.......nimeolewa kilema huwa nikienda ukweni nafurah mbaya kabisa hali ya hewa mazingira na menu tamu za kufa mtu.

ukute ndo mbuzi imechinjwa mpewe ile supu wanasema hii ni ya akina mpora lol! ni tamuje jamani?? halafu mnashushia na mbege mmekaa kwenye migomba na kahawa.
 
Dah, we mkali ... umenifanya nipamisi Nronga, Machame gafla! Kweli wazungu noma, hadi muda huu wameniweka ofisini, vinginevyo ningekua nakunywa zangu MBEGE pale KIDURUU saa hizi .....

ewee kuukye nronga??
enyi mmbwa kisiki yaa nyanuni na uduru nsha isheenda kisiki kwa mfika yaa pamela kioski.
yaani boo kweru lee, kulolye kibao eki kya shule ya nkwamwatu na nkoraya basi kusholoka na nshia eyo sheni boo ya kwanza kukwananya nayo kwa mekilya kishenge ng'u kwa baba akwa na mama akwa.

karibu deni mae.
 
Back
Top Bottom