Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

that's why X~MAS is a CHAGGA DAY?HAPPY CHAGGA DAY!No!!!MERRY X~MAS§HAPPY NEW YEAR Evebody
 
Mbona wasukuma tumerudi kimya kimya! Tatizo wachaga wanajitangaza mno kuwa wanarudi Kishumundu na sehemu zingine
 
'taifa lisilo na utamaduni ni taifa mfu" si mimi ni nyerere huyo aliyesema hivyo. Mkuu nadhani kati ya watu walio na fikira mfu ni pamoja na wewe, kwanini ujitoe katika tamaduni zako na kusifia za wengine. Mi kwa sasa niko nyumbani na kuna maendeleo tu kama ya wachaga na kijani kipo. Sijui mantiki yako ni ipi katika hili kaa chini tafakari maana wapo wanaodiriki hata kusema ninapoenda ukweni, kwenu vipi? Tamaduni zenu zikoje? Au ni ushamba tu wa kushabikia wengine huku ukijidharau mwenyewe? Thamini kilicho chako ***** wewe''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''

kweli kabisaaa
 
Mbona wasukuma tumerudi kimya kimya! Tatizo wachaga wanajitangaza mno kuwa wanarudi Kishumundu na sehemu zingine
Aliyewanyima nyie kujitangaza ni nani? Mungu Onyesha Shilingi Ilipo!(MOSHI)!
 
Mimi nami nipo kwetu huku Katavi nafanya kama mzee Pinda,so sio wachaga tu hata sie wa Katavi tunarudi kwetu mbona
 
mbona hamuwaongelei wahaya kwa kupenda kwao?. ni zaidi ya wachagga labda umbali tu ndio unasumbua. mchaga anatumia elfu 16 tu kufika kwao. wahaya wanatumia 100000.00 kufika alafu bado wanaenda na majumba yao usipime.
 
jamani hujapandisha machame, utakutana na mashamba njian yaliyolimwa mahindi kwamstari utafikiri hakuna watu. maliza km kama 8 hivi utaanza kukutana na maghorofa katikati ya kahawa na migomba. hadi ufike machame cottage utakuwa umekwisha sahau kama uko kijijini.

tizama makanisa yanayojenga kijijini hata huku mjini hakufui dafu, anza kanisa la NSHARA, UDURU, NKWARUNGO, NENDA NKUU KISERENI, LYAMUNGO utashangaa sana manake utajiuliza maswali mengi na sio ya miaka ya karibuni la hasha mengine yalijengwa 80's lkn kwa ramani kali na ya kisasa.
Mkuu 2po pamoja kabisa...nipo maeneo ya mkuu hapa nakunxwwa mbege kaka
 
Kwa wanawake uko sahihi japo...wakerewe pia wazuri...wa arusha wa meru na wamasai funiko...
 
Back
Top Bottom