Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lolzzzz! Karibuni ngera watu wangu! Happy chagga day:....oooops i mean Merry xmass....
'taifa lisilo na utamaduni ni taifa mfu" si mimi ni nyerere huyo aliyesema hivyo. Mkuu nadhani kati ya watu walio na fikira mfu ni pamoja na wewe, kwanini ujitoe katika tamaduni zako na kusifia za wengine. Mi kwa sasa niko nyumbani na kuna maendeleo tu kama ya wachaga na kijani kipo. Sijui mantiki yako ni ipi katika hili kaa chini tafakari maana wapo wanaodiriki hata kusema ninapoenda ukweni, kwenu vipi? Tamaduni zenu zikoje? Au ni ushamba tu wa kushabikia wengine huku ukijidharau mwenyewe? Thamini kilicho chako ***** wewe''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''
Lolzzzz! Karibuni ngera watu wangu! Happy chagga day:....oooops i mean Merry xmass....
Mkuu nilesema hivyo cku moja hapa jamvini nlitukanwa niajeee? Karibu mkuu tule vitu!NI MA JEW WABONGO ATII. They think at least. try all
Wanajitangaza wapi?Mbona wasukuma tumerudi kimya kimya! Tatizo wachaga wanajitangaza mno kuwa wanarudi Kishumundu na sehemu zingine
Aliyewanyima nyie kujitangaza ni nani? Mungu Onyesha Shilingi Ilipo!(MOSHI)!Mbona wasukuma tumerudi kimya kimya! Tatizo wachaga wanajitangaza mno kuwa wanarudi Kishumundu na sehemu zingine
Mkuu 2po pamoja kabisa...nipo maeneo ya mkuu hapa nakunxwwa mbege kakajamani hujapandisha machame, utakutana na mashamba njian yaliyolimwa mahindi kwamstari utafikiri hakuna watu. maliza km kama 8 hivi utaanza kukutana na maghorofa katikati ya kahawa na migomba. hadi ufike machame cottage utakuwa umekwisha sahau kama uko kijijini.
tizama makanisa yanayojenga kijijini hata huku mjini hakufui dafu, anza kanisa la NSHARA, UDURU, NKWARUNGO, NENDA NKUU KISERENI, LYAMUNGO utashangaa sana manake utajiuliza maswali mengi na sio ya miaka ya karibuni la hasha mengine yalijengwa 80's lkn kwa ramani kali na ya kisasa.
Wanajitangaza wapi?
Kaka upo mkuu sehemu gani? Mi nipo Mkuu kanisani hapa!...Mkuu 2po pamoja kabisa...nipo maeneo ya mkuu hapa nakunxwwa mbege kaka
Kila kona? Hata Marekani au??Kila kona utasikia i see meku naenda Moshi kula x. Mass mpaka kwenye maredio