Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,470
- 722
Ukabila Utaisha lini
Sisi sote Watanzania
Hizi post za ukabila ni upotoshaji
Hehehehhehh mnapowatania na kuwabeza mnaona raha.
Wakijifagilia kwa mafanikio na maisha yao mnaona ni ukabila!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukabila Utaisha lini
Sisi sote Watanzania
Hizi post za ukabila ni upotoshaji
duh, sie wamakonde tunaenda zetu koko bichi kula crips za mihogo.
waacheni tu waende lakini ukweli ni kuwa kule migombani hakuna kitu cha maana.
Matambiko yepi tena? Hizo imani tayari zishaachwa kabisa. Hamna cha isale wala mshimbika!Binafsi huwa napenda yale MATAMBIKO YAO. Huwa naenjoy sana, lakini ndo hivyo tena nshahama, imebaki historia tu kwangu
Matambiko yepi tena? Hizo imani tayari zishaachwa kabisa. Hamna cha isale wala mshimbika!
Matambiko yepi tena? Hizo imani tayari zishaachwa kabisa. Hamna cha isale wala mshimbika!
wachagga ni wezi, tena ni wezi wakubwa,
wanatafuta nauli za kwenda kwao hata kwa njia za haramu,
kwenye duka la mchagga nimenunua rangi, ameweka lebo ya broken white
kumbe ndani ni rangi ya cream, kurudisha amekomaa hataki kurudisha hela wala kutoa rangi nyingine,
mmeniuzi, tena kuanzia sasa hadi januari 2012 mimi siyo mchagga tena.
wachagga ni wezi, tena ni wezi wakubwa,
wanatafuta nauli za kwenda kwao hata kwa njia za haramu,
kwenye duka la mchagga nimenunua rangi, ameweka lebo ya broken white
kumbe ndani ni rangi ya cream, kurudisha amekomaa hataki kurudisha hela wala kutoa rangi nyingine,
mmeniuzi, tena kuanzia sasa hadi januari 2012 mimi siyo mchagga tena.
Kwani wachaga ndio wanaotengeneza hizo rangi? Wao wauzaji tuuuu!!wachagga ni wezi, tena ni wezi wakubwa,
wanatafuta nauli za kwenda kwao hata kwa njia za haramu,
kwenye duka la mchagga nimenunua rangi, ameweka lebo ya broken white
kumbe ndani ni rangi ya cream, kurudisha amekomaa hataki kurudisha hela wala kutoa rangi nyingine,
mmeniuzi, tena kuanzia sasa hadi januari 2012 mimi siyo mchagga tena.
Wanajaribu sana kuwaharibia wachaga but waishia kujikuta kuwa wanawapromote zaidi.Mi mwenyewe nashangaa.
Watu wasione thread ya maana imewekwa kuhusu waChagga, lazima wachomekee vitu ambavyo ni negative hata kwa kulazimisha (visivyo na ukweli).
Nimekwama hapa Mbezi but alhamdulilah hali imeshakuwa shwari na soon tutaendelea na safari! Nimeshatoa oder ya mbege ya kutosha! kesho naamkia chai na ngararimo!!!Wasoro, waka na wana sindenyi mochi, yewooomi lanye, sindenyi wose mlarie numa.....
msing'ang'anie mjini tu.... twendeni tukasalimie baba,mama, bibi, mjomba,shangazi kijijini.
mimi nawahi machalari ya kupikwa kwenye chungu, na kiburu cha moto, na kitawa cha baridi.
sio mazingira tu yanachange, hata diet inabadilika,,,kisusio,nyama za kuchoma chini ya mikahawa na migomba, asubuhi magimbi ya kuchoma au ndizi za kuchoma....jamani.
wacha sisi tukafurahi.
Nimekwama hapa Mbezi but alhamdulilah hali imeshakuwa shwari na soon tutaendelea na safari! Nimeshatoa oder ya mbege ya kutosha! kesho naamkia chai na ngararimo!!!