Mashati mkuu! Nashuka Kidogo kama naenda Maeneo ya Kiraeni Ukiulizia Polonium210 Mzee wa Kupulizia unafika Kwetu
Kumbe mamrasa? nakaa karibu na kwa mrema pale....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashati mkuu! Nashuka Kidogo kama naenda Maeneo ya Kiraeni Ukiulizia Polonium210 Mzee wa Kupulizia unafika Kwetu
Wana nyumba za kufikia na hawana uchawi kama makabila mengine kule ni mashindano wengine mukienda kijijini kwenu na gari ndio kwisha tata so acha watanue ili wawe chachu za maendeleo. Na wewe jenga kwenu uone!!!!!!!!!!1: Hivi kuna kabila lengine linaloongoza kwa kwenda vijijini kwao mwezi desemba kama wachagga?
2: Ni kwanini kila mwaka mwezi huu desemba, unakuta wachagga wanapeleka magodoro nyumbani(vijijini), yale mwanzo walopeleka huwa yanakuwa yameenda wapi?
3: Ushajiuliza kwanini wachagga wengi na familia zao wanaenda vijinini desemba hii tu?
4: Kama wangekuwa waajiriwa, waajiri gani wangetoa likizo kwa wachagga wote iangukie desemba peke yake?
5: Kwahiyo wachagga wengi(asilimia kubwa) ni wajasiriamali. Hivyo, likizo zao na familia, huwa ni mwezi desemba?
6: Kuna ukweli gani juu ya suala hili la wachagga kusema, ukizaliwa tu mchagga, una elimu ya form4 ya kimaisha. Ukisoma hadi la saba una elimu ya form6 kimaisha. Ukifika form6 una elimu ya shahada ya chuo kikuu kimaisha. Ukiwa na shahada ya elimu, elimu ya maisha una PhD.
Wanasema huitaji kusoma sana, jifunze kutengeneza pesa sana. Ni kweli hili?
Nisaidieni majibu tafadhali.
Weeee Smiley, hamtaki member mpya?tuna group yetu fb tupo watu 780 kwanza tunaenda kutoa fungu letu la kumi kwa kituo cha watoto yatima kipo pale vilage tutakesha nao tar 24 then mishemishe zingine just imagine itakavikuwa poa
itadipendi na wewe ni wa ukoo gani sisi ni ukoo wa yuleeeeeeeeee mangi hatupendi uzushi. Ngoja niwasiliane na mod wa iyo kitu nitakupim lizzyweeee smiley, hamtaki member mpya?
Hiyo imetulia kweli.
Hahahahha,kwahiyo Smiley mtakataa maombi yangu kisa mi ukoo wangu hauvumi?Come now. . .japo hatuvumi Tuna madaktari wengi pale Kibong'oto hosp so kuweni wazuri tu kabla hamjakosa huduma ikitokea mkatakiwa kwenda pale.itadipendi na wewe ni wa ukoo gani sisi ni ukoo wa yuleeeeeeeeee mangi hatupendi uzushi. Ngoja niwasiliane na mod wa iyo kitu nitakupim lizzy
hata sisi tunao yaani kila mahali tupo wee hadi mirembe tuna specieshahahahha,kwahiyo smiley mtakataa maombi yangu kisa mi ukoo wangu hauvumi?come now. . .japo hatuvumi tuna madaktari wengi pale kibong'oto hosp so kuweni wazuri tu kabla hamjakosa huduma ikitokea mkatakiwa kwenda pale.
Lazima kwenda kuonyesha wenzako ulichokifanya kwa mwaka mzima.
Dada Lizzy we ni Mchaga nini?
Umeshajifunza kupika machalari, kisusio, ngararimo na kitalolo?Naomba twende ote likizo hii, nimeshanunua gauni na viatu
Umeshajifunza kupika machalari, kisusio, ngararimo na kitalolo?
Kaka k ni nani mdau? Ulimaanisha mimi?
Mimi ni mchagga bila kuchanganya kabila. Wazazi wote wachagga.
Loshoroo, kideri na mtori
pia ajue jinsi ya kusave mbege
hahahaha MTURA! Ni noma hii kitu, inaitwa soseji ya kichaga,Tshs. 1,000/= unashiba kinyama.nuktaTuko hapa Mkulima tunapata MTURA!
dah..we acha tu, ni raha kwenda lakini kuanzia january ukiangalia account unaweza kulia!!
Kwanini msiende mtwara?