Ndechumia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,164
- 573
Kaka k ni nani mdau? Ulimaanisha mimi?
Mimi ni mchagga bila kuchanganya kabila. Wazazi wote wachagga.
hua tunaenda kupata baraka za wazazi na kuangalia familia zetu , pia huwa tunaenda kufanya tathmin km kwa mwaka unaofuta kuna haja ya kuongeza jengo lingine! Mi nitaondoka tar 20, tukutane tukapate kitoch na album