Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Moshi kwa sasa inageuka dar kwa foleni, idadi ya people imeongezeka.nukta
Kuanzia tar 20 hadi 24 barabara ya dar moshi inakuwa na jam ya kufa mtu. Dar kunabaki kweupee.
 
Ukabila Utaisha lini
Sisi sote Watanzania
Hizi post za ukabila ni upotoshaji
 
Wachagaa oyeee!! twendeni tukale ndafu na machalari na mbege!! we nyumbani kuna raha yake bwana tena Disemba,watu wote wanakuwepo.unapata fursa ya kuonana na ndugu zako na marafiki.Nyie ambao hamendi dah jitahidini muende kwa kweli.
 
waacheni tu waende lakini ukweli ni kuwa kule migombani hakuna kitu cha maana.

Kwahiyo ndugu tunaoenda kuwaona sio wa maana?
Mapumziko tunayoenda kujipatia sio ya maana?
Furaha tunayopata kuzungukwa na ndugu toka kila upande ambao hatujaonana nao mwaka mzima haina maana?
Kukumbuka tunapotoka hakuna maana?

Baki wewe na maana yako na sie tutaendelea na hiyo "hakuna maana" yetu miaka nenda rudi.
 
Kwahiyo ndugu tunaoenda kuwaona sio wa maana?
Mapumziko tunayoenda kujipatia sio ya maana?
Furaha tunayopata kuzungukwa na ndugu toka kila upande ambao hatujaonana nao mwaka mzima haina maana?
Kukumbuka tunapotoka hakuna maana?

Baki wewe na maana yako na sie tutaendelea na hiyo "hakuna maana" yetu miaka nenda rudi.

kwani december tu,
kwani hiyo miezi mingine ina nini,
mimi nimetoka huko mwishoni mwa novemba na niko poa tu.
 
kwani december tu,
kwani hiyo miezi mingine ina nini,
mimi nimetoka huko mwishoni mwa novemba na niko poa tu.
Kwasababu wengi tunakua likizo.
Point nzima ya kwenda likizo ni familia nzima kuwa pamoja na disemba(tofauti na miezi mingine) wengi tunakua kwemye nafasi yakuacha shughuli zetu na kwenda kukutana na wenzetu.

Kama hiyo sio sababu inayokupeleka wewe then sioni ajabu kwamba huelewi kwanini kwetu inaleta maana.
 
Kiukweli nimemiss mbege,kuogelea mtoni.kunywa maji ya chem chem ,kuimba kilugha cherch na kunywa kisusio mji huu nimeuchoka tar 20 mbona haifiki jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Acha wivu!! we huna kwenu nini au we born town!!

kwa ukweli nina kwetu tena kuzuri sana hebu paangalie,

kwetu kijijini.png

ila ukipita pale kichumini usiache kumsalimia bibi yako atakuwa pale.
 
Nitakuwaje na wifu na kwetu?
hiyo hela ya kupanda huko nimeamua kupanga nyumba rangi,
inabidi wachagga tufike mahali tubadilike, nyie vipi.
Sina swali la nyongeza! Wifu siyo?

Afu kupanga nyumba rangi unamaanisha nini?

Tuacheni tunaoenda Moshi December tuende kwa amani. Nyie kama mnaenda June, hatuna sababu ya kuhoji. Sisi Tunapanga nyumba rangi mwezi June.
 
kwasababu wengi tunakua likizo.
Point nzima ya kwenda likizo ni familia nzima kuwa pamoja na disemba(tofauti na miezi mingine) wengi tunakua kwemye nafasi yakuacha shughuli zetu na kwenda kukutana na wenzetu.

Kama hiyo sio sababu inayokupeleka wewe then sioni ajabu kwamba huelewi kwanini kwetu inaleta maana.
uzuri wa kule lizzy kila mtu anaenda so inapendeza kweli hata alieko ulaya asia wapiwapi wanadondoka full ckampani sio huku mjini kutafuta kampani hadi uje uanzishe mthread huku jf
 
uzuri wa kule lizzy kila mtu anaenda so inapendeza kweli hata alieko ulaya asia wapiwapi wanadondoka full ckampani sio huku mjini kutafuta kampani hadi uje uanzishe mthread huku jf
Sindo hapo sasa, bado hajajua kwanini.Ni tradition kama aliyojijengea yeye kwake, sema yetu inainvolve mtu mingi, vicheko na furaha kibao bila kusahau milo ya ukweli na watu wa ukweli.
 
sindo hapo sasa, bado hajajua kwanini.ni tradition kama aliyojijengea yeye kwake, sema yetu inainvolve mtu mingi, vicheko na furaha kibao bila kusahau milo ya ukweli na watu wa ukweli.
tuna group yetu fb tupo watu 780 kwanza tunaenda kutoa fungu letu la kumi kwa kituo cha watoto yatima kipo pale vilage tutakesha nao tar 24 then mishemishe zingine just imagine itakavikuwa poa
 
Back
Top Bottom