Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Nimesha tangulia moshi kirua tangu juzi KARIBUNI WOOSE JF NGEWANEN'GA NYAMA SA MBURU NA WARI MCHA AIKENYI SANA RUWA ATUTARAME LUOONANE SE
 
Moshi kwa sasa inageuka dar kwa foleni, idadi ya people imeongezeka.nukta
 
Lazima tuende sisi wengine tutaondoka tarehe 22 Des. wale wanaowai wanakwenda kutuandalia pombe na Mbuzi aisee!

Taondoka na Escudo yangu natoka Kimara asubuhi sijui tangia saa ngapi Kibosho..

Kama kuna mtu anataka lifti achangie mafuta kuna nafasi 2..kama kuna mtu anataka twende wote basi ani-PM
 
duh, sie wamakonde tunaenda zetu koko bichi kula crips za mihogo.
 
Lazima tuende sisi wengine tutaondoka tarehe 22 Des. wale wanaowai wanakwenda kutuandalia pombe na Mbuzi aisee!

Taondoka na Escudo yangu natoka Kimara asubuhi sijui tangia saa ngapi Kibosho..

Kama kuna mtu anataka lifti achangie mafuta kuna nafasi 2..kama kuna mtu anataka twende wote basi ani-PM

Beba vipuri va akiba. Moshi vipuri va escudo desemba huwaga adimu sana.
 
Kuwa mchaga haina maana kujua kila kitu kuhusu wachaga! Na siyo kila mchaga anakula kisusio.

Basi kama mnataka kujua ongeeni na waulizeni wazee wenu why a.k.a kwanini ni muhimu kukumbuka kwenu.
 
hatujafukuzwa napale ni kielelezo cha kurenew session nyingine new file. Sio unamaliza miaka 6 mpaka 9 hujafika kwenu kaah
 
Back
Top Bottom