Chifu kamaliza
Member
- Nov 17, 2011
- 32
- 5
Nimesha tangulia moshi kirua tangu juzi KARIBUNI WOOSE JF NGEWANEN'GA NYAMA SA MBURU NA WARI MCHA AIKENYI SANA RUWA ATUTARAME LUOONANE SE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama wewe ni Mchagga inakuaje unauliza maswali ambayo ulitakiwa uwe na majibu yake?
Kuwa mchaga haina maana kujua kila kitu kuhusu wachaga! Na siyo kila mchaga anakula kisusio.
duh, sie wamakonde tunaenda zetu koko bichi kula crips za mihogo.
JF raha tupu..
Lazima tuende sisi wengine tutaondoka tarehe 22 Des. wale wanaowai wanakwenda kutuandalia pombe na Mbuzi aisee!
Taondoka na Escudo yangu natoka Kimara asubuhi sijui tangia saa ngapi Kibosho..
Kama kuna mtu anataka lifti achangie mafuta kuna nafasi 2..kama kuna mtu anataka twende wote basi ani-PM
Moshi kwa sasa inageuka dar kwa foleni, idadi ya people imeongezeka.nukta
Huyu atakuwa huwa anaenda tu kama routine na bila malengo!
Hehehhe basi niandalie sehemu ya kuzimika baada ya kumbusika na kumbegeka kwa sana.Mbege Mingi + Mbusi Mingi Ndio utamaduni wetu. Babu yangu huwa anasema Sisi ni Wala Nyama
Kuwa mchaga haina maana kujua kila kitu kuhusu wachaga! Na siyo kila mchaga anakula kisusio.
Aika mbe.Nimesha tangulia moshi kirua tangu juzi KARIBUNI WOOSE JF NGEWANEN'GA NYAMA SA MBURU NA WARI MCHA AIKENYI SANA RUWA ATUTARAME LUOONANE SE
Kwanini msiende mtwara?
Uchaggani desemba hii raha tupu....
Tarehe hizi washaanza kujaa. Ikifika tarehe 23 dec si patakuwa hapatoshi?
Wairikrye woose monoama.