Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Kwasababu wengi tunakua likizo.
Point nzima ya kwenda likizo ni familia nzima kuwa pamoja na disemba(tofauti na miezi mingine) wengi tunakua kwemye nafasi yakuacha shughuli zetu na kwenda kukutana na wenzetu.

Kama hiyo sio sababu inayokupeleka wewe then sioni ajabu kwamba huelewi kwanini kwetu inaleta maana.

Mi sijaenda.. Head wa family yuko Moro. Ndugu wengi tuko Dar. Kule kuna nyumba na maeneo yetu basi! Siku kama hizi tulikuwa tunasafiri hadi Moro basi.. Hata hivyo ni suala la utamaduni,ukiamua unapuuza ama kufuatilia.. Wala haina haja ya kumlaumu anayefuata au anayepuuza..
 
Katika makabila Tanzania, wachagga Kabila! Naadmire sana culture Yao ya kurudi nyumbani kila mwaka na kujoin family na jamaa kusheherekea sikukuu..japo wanasemwa sana oh wanaenda kutambikia Mara kuhesabiwa Lakini hawa jamaa ni mfano wa kuigwa! Wanapenda sana Kwao na hii imesaidia sana kupeleka maendeleo Kwao..I have been there seen it all..badala ya kuwaonea wivu na kubwabwaja, Naomba tuige mifano Yao na si tuendeleze Kwetu na tuwe proud na identity zetu badala ya Kuona aibu kuitwa wandengereko au Makonde..merry Xmas to yo all..alafu pia jamaa wana the best women..(habari ya shape cjui nn ni umbea tu wazuri ni wengi sana kuliko wabaya#fact#)kwanza wanawake wengi sana wa pwani mashapeless
 
Ya kukutanika, kurudi nyumbani kusalimia jamaa na kujenga nyumbani big up saana. Inahamasisha maendeleo. Mengine hayo sijui
 
kule kwao vijijini ni km town! Kunapendeza, kuna nyumba za nguvu, greenish ya kufa mtu nikienda ukweni kuanzia njia panda ya himo marangu mtoni unapishana na vitu vya kufa mtu! Wenzetu wako mbele sana, katikati ya migomba unakutana na kigorofa mzee dah.
 
jamani hujapandisha machame, utakutana na mashamba njian yaliyolimwa mahindi kwamstari utafikiri hakuna watu. maliza km kama 8 hivi utaanza kukutana na maghorofa katikati ya kahawa na migomba. hadi ufike machame cottage utakuwa umekwisha sahau kama uko kijijini.

tizama makanisa yanayojenga kijijini hata huku mjini hakufui dafu, anza kanisa la NSHARA, UDURU, NKWARUNGO, NENDA NKUU KISERENI, LYAMUNGO utashangaa sana manake utajiuliza maswali mengi na sio ya miaka ya karibuni la hasha mengine yalijengwa 80's lkn kwa ramani kali na ya kisasa.
 
Mku,good.Bt we mwenyewe UMERUDI kwenu?Mi niko nimerudi kwetu na mm cyo mchaga.Kwa hyo na mm unanipogeza?Mantk,ni unarudi kufanya nn pamoja na chrismas?Wengne wanarudi kuhani Misiba na wenyewe utawapongeza?O kwa sababu unarudi nyumbani utakopa nauli ili uweze kurudi nyumbani?Ungefatilia zaidi ungepata ukweli zaidi ya hayo.Nadhani hakuna mtu ambae hataki kurudi nyumbani kwao,Ishu unarudi kufanya nn?Cjapiga oja yako mkuu mi na joke tu.(Iga Ufe).
 
Mku,good.Bt we mwenyewe UMERUDI kwenu?Mi nimerudi kwetu na mm cyo mchaga.Kwa hyo na mm unanipogeza?Mantk,ni unarudi kufanya nn pamoja na chrismas?Wengne wanarudi kuhani Misiba na wenyewe utawapongeza?O kwa sababu unarudi nyumbani utakopa nauli ili uweze kurudi nyumbani?Ungefatilia zaidi ungepata ukweli zaidi ya hayo.Nadhani hakuna mtu ambae hataki kurudi nyumbani kwao,Ishu unarudi kufanya nn?Cjapiga oja yako mkuu mi na joke tu.(Iga Ufe).
 
Hongereni wachaga,
Big Up to Mama Manka popote pale alipo, Big Up to Kimario, Big Up to Mushi, to Mlai, na wachaga wote wa Kule Uru, Kibosho, Marangu, Machame na hata kule wapi? Na Hata kule Siha..........
 
'taifa lisilo na utamaduni ni taifa mfu" si mimi ni nyerere huyo aliyesema hivyo. Mkuu nadhani kati ya watu walio na fikira mfu ni pamoja na wewe, kwanini ujitoe katika tamaduni zako na kusifia za wengine. Mi kwa sasa niko nyumbani na kuna maendeleo tu kama ya wachaga na kijani kipo. Sijui mantiki yako ni ipi katika hili kaa chini tafakari maana wapo wanaodiriki hata kusema ninapoenda ukweni, kwenu vipi? Tamaduni zenu zikoje? Au ni ushamba tu wa kushabikia wengine huku ukijidharau mwenyewe? Thamini kilicho chako ***** wewe''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''
 
kwani kurudi nyumbani ( kilimanjaro ) ndio lazima familia hiwe huko ? ndio ni utaratibu wao kurudi home lakini makabila mengine nayo huwa yanakua na taratibu zao ambazo sio kurudi mkoa wa asili, kama sisi kabila letu huwa tunachagua mwisho wa mwaka tukafanye ibada kwa ndugu yupi hili tufunge mwaka..............
 
jamani hujapandisha machame, utakutana na mashamba njian yaliyolimwa mahindi kwamstari utafikiri hakuna watu. maliza km kama 8 hivi utaanza kukutana na maghorofa katikati ya kahawa na migomba. hadi ufike machame cottage utakuwa umekwisha sahau kama uko kijijini.

tizama makanisa yanayojenga kijijini hata huku mjini hakufui dafu, anza kanisa la NSHARA, UDURU, NKWARUNGO, NENDA NKUU KISERENI, LYAMUNGO utashangaa sana manake utajiuliza maswali mengi na sio ya miaka ya karibuni la hasha mengine yalijengwa 80's lkn kwa ramani kali na ya kisasa.
Mwamba ngozi!!!!!!
 
kule kwao vijijini ni km town! Kunapendeza, kuna nyumba za nguvu, greenish ya kufa mtu nikienda ukweni kuanzia njia panda ya himo marangu mtoni unapishana na vitu vya kufa mtu! Wenzetu wako mbele sana, katikati ya migomba unakutana na kigorofa mzee dah.

Ni kweli kabisa vigorofa karibu vyote vinakariwa na majini. Hakuna mjinga wa wukaa kwenye mjingo usiyo na mqenyew
 
Nini hasira jombaa mwisho wa mwaka huu meku, jamaa kasema ya moyoni tu, unafuuura hadi moyo unasinyaa, ye kasema majority ya makabila hawafanyi hivo sio wote therefore waige, kama nawe umeenda poa sana shauri na wengine, PEACE.
MERRY CHRISTMAS & HAPPY NEW YEAR
 
Kusifu wachaga hakunitoi kwenye tamaduni yangu hata siku moja..yani niwe mnafiki wakati watu wanafanya mambo mazuri! Kapimwe iq..

wape ukweli wengi wamezidi kulala, wakifika jijini ndo wamefika wanasahau hata kwao. Wanabahatika kusoma na kupata kazi nzuri wanajenga mahekalu mjini lakini fika alipotokea utacheka, hata kibanda cha nyasi hakuna.
 
Ukweli mtupu mtoa mada.
Kuna watu roho zimewauma mpaka wanatetemeka kwa hasira juu ya mambo uliyosema japo wanajua ni ukweli mtupu kwamba Chagga ni kabila la kipekee kimaendeleo.
 
Back
Top Bottom