Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee babu Asprin kumbe Mzee wa mamsera?? Mie nipo hapa Keni napata supu ya asubuhi.... Proud to be a chagga!!
we Gaspar upo Rombo sehem gani? Mi ni hapa Mkuu kanisani!Mtoa mada hakika umefunguka yalo moyoni,kwa niaba ya wachaga wenzangu karibu sana moshi
Katika makabila Tanzania, wachagga Kabila! Naadmire sana culture Yao ya kurudi nyumbani kila mwaka na kujoin family na jamaa kusheherekea sikukuu..japo wanasemwa sana oh wanaenda kutambikia Mara kuhesabiwa Lakini hawa jamaa ni mfano wa kuigwa! Wanapenda sana Kwao na hii imesaidia sana kupeleka maendeleo Kwao..I have been there seen it all..badala ya kuwaonea wivu na kubwabwaja, Naomba tuige mifano Yao na si tuendeleze Kwetu na tuwe proud na identity zetu badala ya Kuona aibu kuitwa wandengereko au Makonde..merry Xmas to yo all..alafu pia jamaa wana the best women..(habari ya shape cjui nn ni umbea tu wazuri ni wengi sana kuliko wabaya#fact#)kwanza wanawake wengi sana wa pwani mashapeless
we Gaspar upo Rombo sehem gani? Mi ni hapa Mkuu kanisani!
Ngasha saainga mmeku akwa? Asante sana Mungua akajalia ngiisha ngishekdikira!Karibu Keni mwanedu. Jumapili ngire kawari ha kaa afu ngishisha na kamburu.
Ngasha saainga mmeku akwa? Asante sana Mungua akajalia ngiisha ngishekdikira!
Haaya mmeku akwa ngefanya ado!Ukasha shuru baada efuma misa kyeva ndo ksha saidi. Karibu sana mmeku akwa.
jamani hujapandisha machame, utakutana na mashamba njian yaliyolimwa mahindi kwamstari utafikiri hakuna watu. maliza km kama 8 hivi utaanza kukutana na maghorofa katikati ya kahawa na migomba. hadi ufike machame cottage utakuwa umekwisha sahau kama uko kijijini.
tizama makanisa yanayojenga kijijini hata huku mjini hakufui dafu, anza kanisa la NSHARA, UDURU, NKWARUNGO, NENDA NKUU KISERENI, LYAMUNGO utashangaa sana manake utajiuliza maswali mengi na sio ya miaka ya karibuni la hasha mengine yalijengwa 80's lkn kwa ramani kali na ya kisasa.
yaani best acha halafu ghafla nimepata hamu ya kuvisit nakara view, na bia za marangu mtoni lol!
halafu ulishafika marangu gate?? eebwana ile ni ulaya bana acha kabisa.......nimeolewa kilema huwa nikienda ukweni nafurah mbaya kabisa hali ya hewa mazingira na menu tamu za kufa mtu.
ukute ndo mbuzi imechinjwa mpewe ile supu wanasema hii ni ya akina mpora lol! ni tamuje jamani?? halafu mnashushia na mbege mmekaa kwenye migomba na kahawa.
hv kumbe na wewe ni wa lyamungo?? Sinde ama ndoo??
![]()
Hiyo Nakara ipo kule LYASOMBORO maana umenifurahisha uliponitajia Marangu gate nimekumbuka kwa Wajomba zangu
Saa hizi tupo Marangu mtoni tunakata vilagi tukitoka hapo ni kwa mguu hado MSHIRI tunakatiza mabweni ya watoto wa kike Ashira pale makaburini ndipo tunaingia Home waambie Wamachame wote tunawakaribisha mbeke na nyama Choma hapa Amstedam![]()
lol...Kati asee....yani ukifika hapo church ni kariiibu kabisa...wewe??
hahahahah! unankumbusha back 1996 nilipokuwa hapo ashira bana. sasa vip nyama za kuchoma hapo marangu mtoni?? bado tamu kama zamani zile?
Kumbe umeanza fomu wani mwaka 1996? Haya nipe shkamoo yangu.
Kumbe umeanza fomu wani mwaka 1996? Haya nipe shkamoo yangu.