Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Ndugu Zangu.

Nina watakia kila la kheri katika the great migration to Moshi/Rombo katika kipindi hiki.
Ushauri ninaowapa mjaribu kutafuta Madereva wakuwasaidia katika safari hizi ndefu. Kuendesha gari Highway ni tofauti kabisa na kuondesha from Mbezi to Posta.

Mimi nitakua nanyinyi katika Sala.

Ninaomba kama kuna mtu yeyote ana Usahauri kwa hawa wenzetu wanakuwa na great migration during December and january awasaidie.

Halafu Mabasi huwa yanaongezaga mwendo ili yageize tupu kuwahi abiria wa siku inayofuata. msikubali muwasiliane na vyombo vya usalama.

Ha ha haaa! Kuna fast jet my friend. Nenda kwenye ofisi za fastjet ndo utajua ninachomaanisha.
 
Mzee si unajua kitu cha kule ni safari, serengeti, Eagle na wagumu wengine mix na mbege!!!!!!! Sasa huko hakuna sijui nakunywa ipi wala nini. zikiisha tunakunywa zilizopo. Mix kuanzia Eagle mpaka mbege. Karibuni kwenye raha za Rombo mazeee!!!!!!!!!!!!!!!!!1

Safari hii itabidi nigeuze njia badala ya kibosho nije rombo maana umentia hamu.
 
Yani nikishafikaga hapo Ungwasi, kiu inanikamata fasta. natamani gari ipae nifike pale Mrere ninywage bia na nyama choma....

Nyama choma ya kule balaa aisee. kwanza choma ya ile kitu yenye pua ndefu ni balaaa
 
Yani bora akina Asprin, Mtambuzi, Jiwe Linaloishi Baba V. waende kwao wakahesabiwe mana imefika
wakati wa kujua wako wangapi kwenye jamii yao si ni eti Bujibuji

Pamoja na kwenda mapumzikoni, kusalimia ndugu na jamaa pia tunaenda kukagua miradi ya maendeleo tuliyokuwa tunafadhili kwa mwaka mzima ndio maana unaona mkoa unapiga hatua. karibuni muige yaliyo mazuri
 
Heee kumbe wewe ni wa huko sikukosea gia
pamoja na kwenda mapumzikoni, kusalimia ndugu na jamaa pia tunaenda kukagua miradi ya maendeleo tuliyokuwa tunafadhili kwa mwaka mzima ndio maana unaona mkoa unapiga hatua. Karibuni muige yaliyo mazuri
 
huyu Erickb52 ninamtafuta sana, tulishirikiana naye kuendesha mapinduzi ya kumng'oa Baba V lakini sijui alikimbilia wapi?!! japo samtaimu huwa nahisi Baba V alimuendea Erickb52 tanga au sumbawanga, maana yule braza naye msimamo wake kiimani samtaimu anajisahau..... sasa baba v akatumia hiyo chance!!

Erickb52, popote ulipo unakumbuka zile ahadi ulitoa wakati wa harakati za mapinduzi?? nasubiri cheo changu
 
Last edited by a moderator:
usijali kaka Erickb52 yuko amejaa tele kama pichi la mchele
atakuja tu kwani naona umemuita kwa nguvu zako zote
huyu Erickb52 ninamtafuta sana, tulishirikiana naye kuendesha mapinduzi ya kumng'oa Baba V lakini sijui alikimbilia wapi?!! japo samtaimu huwa nahisi Baba V alimuendea Erickb52 tanga au sumbawanga, maana yule braza naye msimamo wake kiimani samtaimu anajisahau..... sasa baba v akatumia hiyo chance!!

Erickb52, popote ulipo unakumbuka zile ahadi ulitoa wakati wa harakati za mapinduzi?? nasubiri cheo changu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom