Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Kuna topic zimeanzishwa humu kuwadhihaki wachaga na kwenda kwao kwa wingi msimu huu kwa Christmas, Wengine wakidai wanenda kutambika mara Wengine wanadai wanaenda kuringishia maendeleo . Wacha niwape kahistoria kidogo.
Mimi nimezaliwa miaka ya 1980s nimekuta mababu na mabibi zangu wapo.Na uzuri wazazi wetu sisi walizaliwa na kukulia Kilimanjaro kwa hiyo ilikuwa mwezi wa kumi na mbili ndio mwezi pekee unaweza kwenda nyumbani wakakutana na marafiki ndugu na jmaa kwa urahisi kwa sababu ni msimu ambao hata shule zimefungwa na maofisini wengi wamepata ruhusa. Wazazi walikuwa wanaenda Kilimanjaro mara kwa mara ila mwezi wa kumi na mbili ilikuwa inanoga zaidi..Na ukizingatia familia nyingi ulikuta watoto wamesambaa mikoa tofauti kutafuta maisha..Wengine dar.wengune arusha na Kila mkoa walipoona fursa..Hawa watu njia pekee iliyobaki ya kukutana na kutambulishana familia ni xmass kukutana nyumbani kwa wazazi wao Kila mtu akishinikuzwa kuja na familia zao.
Kikaja kizazi chetu sisi cha miaka ya 80 ambao hatukuzaliwa Kilimanjaro Wala kukulia huko na wazazi wako huku dsm .njia pekee waliyoitumia wazazi Ili kuturithisha huo utamadhni ilikuwa ni kwenda nasi mara kwa mara..ila kwetu sisi haikuwa inanoga sana cause hatukuzaliwa na kukulia huko..walipoona tunaanza kurudi nyuma wakaja na mbinu ya kufanya vikao vya ukooo Kila mwaka ifikapo December ..na ni lazima kuhudhuria..kwenye vikao hivyo ndipo tunapotambulishana familia zetu na kuzidi kujuana..ndipo unapoona home kumekaaje na uparekebishe..ndipo mnapokutana na ndugu Wengine kubadilisha mawazo na kupeana mawazo ya kimaisha.asilimia kubwa ya wanaopanda kaskazini nowdays ni kwenda kwenye vikao ..asilimia ndogo ndio kwenda kwa mapumzikooo....
ninachofurahi ni kuona huu utamaduni umeanza kuenea na mikoa mingine pia..mikoa ambayo ilizoea kuloea dsm miaka nenda Rudi now wameanza utamaduni wa kurudi nyumbani decemba.
Mimi mwenyewe nasubiri tu ofisini ikae sawa nipande nikapige mbegeeeeee....
 
Mimi ninachojua asilimia kubwa hampendi kweli kukaa Kilimanjaro maana ni pabaya na hakuna issue yoyote ya maana.

Hii hype ya kurudi huko sasa hivi ni mihemko tu na ego fulani ya kutaka watu wakuone na mimi ni mchagga narudi X-mass Kilimanjaro.

Na ndio maana mko busy kufanya promotion kuwa mnarudi kwa watu ambao hata haiwahusu.

Ina maana watu wakipuuza mnajisikia vibaya.

Tena, kwa wasiojua zaidi ya 95% ya wachagga wanatamani Krismasi ipite fasta warudi sehemu wanazozipenda.

Maana kukaa huko Kilimanjaro ni adhabu tosha.
 
Mimi ninachojua asilimia kubwa hampendi kweli kukaa Kilimanjaro maana ni pabaya na hakuna issue yoyote ya maana.

Hii hype ya kurudi huko sasa hivi ni mihemko tu na ego fulani ya kutaka watu wakuone na mimi ni mchagga narudi X-mass Kilimanjaro.

Na ndio maana mko busy kufanya promotion kuwa mnarudi kwa watu ambao hata haiwahusu.

Ina maana watu wakipuuza mnajisikia vibaya.

Tena, kwa wasiojua zaidi ya 95% ya wachagga wanatamani Krismasi ipite fasta warudi sehemu wanazozipenda.

Maana kukaa huko Kilimanjaro ni adhabu tosha.
Kwanini unaumia?
 
Mimi ninachojua asilimia kubwa hampendi kweli kukaa Kilimanjaro maana ni pabaya na hakuna issue yoyote ya maana.

Hii hype ya kurudi huko sasa hivi ni mihemko tu na ego fulani ya kutaka watu wakuone na mimi ni mchagga narudi X-mass Kilimanjaro.

Na ndio maana mko busy kufanya promotion kuwa mnarudi kwa watu ambao hata haiwahusu.

Ina maana watu wakipuuza mnajisikia vibaya.

Tena, kwa wasiojua zaidi ya 95% ya wachagga wanatamani Krismasi ipite fasta warudi sehemu wanazozipenda.

Maana kukaa huko Kilimanjaro ni adhabu tosha.
Asiyependa kula sikukuu za mwisho wa mwaka kwao ujue kwao kubaya
 
Asiyependa kula sikukuu za mwisho wa mwaka kwao ujue kwao kubaya
Sikukuu za mwisho wa mwaka siyo lazima iwe mwaka mpya na X-mass.

Hizo ni sikukuu za Kikristo. Jifunze, hii dunia ni kubwa na ina watu zaidi ya billioni 7.

Kuna sehemu nyingine sasa hivi siyo mwaka 2021.
 
Kuna topic zimeanzishwa humu kuwadhihaki wachaga na kwenda kwao kwa wingi msimu huu kwa Christmas, Wengine wakidai wanenda kutambika mara Wengine wanadai wanaenda kuringishia maendeleo . Wacha niwape kahistoria kidogo.
Mimi nimezaliwa miaka ya 1980s nimekuta mababu na mabibi zangu wapo.Na uzuri wazazi wetu sisi walizaliwa na kukulia Kilimanjaro kwa hiyo ilikuwa mwezi wa kumi na mbili ndio mwezi pekee unaweza kwenda nyumbani wakakutana na marafiki ndugu na jmaa kwa urahisi kwa sababu ni msimu ambao hata shule zimefungwa na maofisini wengi wamepata ruhusa. Wazazi walikuwa wanaenda Kilimanjaro mara kwa mara ila mwezi wa kumi na mbili ilikuwa inanoga zaidi..Na ukizingatia familia nyingi ulikuta watoto wamesambaa mikoa tofauti kutafuta maisha..Wengine dar.wengune arusha na Kila mkoa walipoona fursa..Hawa watu njia pekee iliyobaki ya kukutana na kutambulishana familia ni xmass kukutana nyumbani kwa wazazi wao Kila mtu akishinikuzwa kuja na familia zao.
Kikaja kizazi chetu sisi cha miaka ya 80 ambao hatukuzaliwa Kilimanjaro Wala kukulia huko na wazazi wako huku dsm .njia pekee waliyoitumia wazazi Ili kuturithisha huo utamadhni ilikuwa ni kwenda nasi mara kwa mara..ila kwetu sisi haikuwa inanoga sana cause hatukuzaliwa na kukulia huko..walipoona tunaanza kurudi nyuma wakaja na mbinu ya kufanya vikao vya ukooo Kila mwaka ifikapo December ..na ni lazima kuhudhuria..kwenye vikao hivyo ndipo tunapotambulishana familia zetu na kuzidi kujuana..ndipo unapoona home kumekaaje na uparekebishe..ndipo mnapokutana na ndugu Wengine kubadilisha mawazo na kupeana mawazo ya kimaisha.asilimia kubwa ya wanaopanda kaskazini nowdays ni kwenda kwenye vikao ..asilimia ndogo ndio kwenda kwa mapumzikooo....
ninachofurahi ni kuona huu utamaduni umeanza kuenea na mikoa mingine pia..mikoa ambayo ilizoea kuloea dsm miaka nenda Rudi now wameanza utamaduni wa kurudi nyumbani decemba.
Mimi mwenyewe nasubiri tu ofisini ikae sawa nipande nikapige mbegeeeeee....
Kwa upande wa nyumbu wa Serengeti, unaweza kutupa maelezo kidogo?
 
unaumia dingi

kilimanjaro kuna ubaya gani?
mkoa wenye mandhari nzuri kama huu ukisema ni kubaya utakuwa na chuki binafsi.
Ni heri ukanya boga kupunguza machungu
kwanini mnakukimbia?
mngebaki muishi na kuijenga Kilimanjaro
 
Sikukuu za mwisho wa mwaka siyo lazima iwe mwaka mpya na X-mass.

Hizo ni sikukuu za Kikristo. Jifunze, hii dunia ni kubwa na ina watu zaidi ya billioni 7.

Kuna sehemu nyingine sasa hivi siyo mwaka 2021.
Habari ndio hiyo.
 
Kuna mada moja nimesoma humu” jamaa kamkataza mke wake kwenda moshi”

Chini nikakutana na comment “ wengi wanakua na wachumba zao wa kichanga au ex zao wa zamani, so wanakutana huo kuchachua kidogo maana ndio nafasi wanayopata mwaka mzima”

Je ni kweli matunda yanaliwa kimasihara?
 
Sikukuu za mwisho wa mwaka siyo lazima iwe mwaka mpya na X-mass.

Hizo ni sikukuu za Kikristo. Jifunze, hii dunia ni kubwa na ina watu zaidi ya billioni 7.

Kuna sehemu nyingine sasa hivi siyo mwaka 2021.
Unapenda Ligi sana wewe, itakuwa mshahara wa December umechelewa ndio maana hasira nyingi. Siyo mbaya utautumia January 2022 wakati wenzako wakiwa wamepigika
 
Mimi ninachojua asilimia kubwa hampendi kweli kukaa Kilimanjaro maana ni pabaya na hakuna issue yoyote ya maana.

Hii hype ya kurudi huko sasa hivi ni mihemko tu na ego fulani ya kutaka watu wakuone na mimi ni mchagga narudi X-mass Kilimanjaro.

Na ndio maana mko busy kufanya promotion kuwa mnarudi kwa watu ambao hata haiwahusu.

Ina maana watu wakipuuza mnajisikia vibaya.

Tena, kwa wasiojua zaidi ya 95% ya wachagga wanatamani Krismasi ipite fasta warudi sehemu wanazozipenda.

Maana kukaa huko Kilimanjaro ni adhabu tosha.
Hii comment ina wingi wa chuki na wivu. Pole sana
 
Back
Top Bottom