Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Kwa nini unaendelea kukaa na wkt huo unasema ni pabayaa...huoni hyo ni chuki tu mkuu?
Ninakaa kwa muda tu kwasababu imenilazimu kwasababu ya shughuli zangu. Ila sekunde yoyote nikipata chance hata iwe usiku wa manane natambaa.
 
Kuna mada moja nimesoma humu” jamaa kamkataza mke wake kwenda moshi”

Chini nikakutana na comment “ wengi wanakua na wachumba zao wa kichanga au ex zao wa zamani, so wanakutana huo kuchachua kidogo maana ndio nafasi wanayopata mwaka mzima”

Je ni kweli matunda yanaliwa kimasihara?
Mtu mpaka unaoa mchaga hivi unaakili kweli??? Licha ya kut*mbewa na lazima ufe kabla ya wakati
 
Wake za watu wanabanjuliwa kwa wingi sana mkoani Kili mwezi Dec kuliko mahala popote pale ukanda wa SADC.

Mliooa Kili komaeni muende na wake zenu kama hamuwezi kuwakatalia

kwanini mkuu? hebu engezea nyama
 
unaumia dingi

kilimanjaro kuna ubaya gani?
mkoa wenye mandhari nzuri kama huu ukisema ni kubaya utakuwa na chuki binafsi.
Ni heri ukanya boga kupunguza machungu
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Wake za watu wanabanjuliwa kwa wingi sana mkoani Kili mwezi Dec kuliko mahala popote pale ukanda wa SADC.

Mliooa Kili komaeni muende na wake zenu kama hamuwezi kuwakatalia
[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Wasukuma ni kabila la hovyo hovyo ? Koma usirudie tena kusema hivyo. Kwa ufupi Kilimanjaro ni pakukaa manyani tu siyo binadamu. Nani akae huko milimani kwenye umande na ukungu kama nyani ? Huko ukifa unapelekwa kuzikwa tu ni makaburini kama Kinondoni makaburini. Huo ndio ukweli mchungu.
Huu uzi wasukuma na makabila mengine ya hovyo hovyo watahara Sana. Wachaga hoyeeew. Kabila takatifu.
 
Wasukuma ni kabila la hovyo hovyo ? Koma usirudie tena kusema hivyo. Kwa ufupi Kilimanjaro ni pakukaa manyani tu siyo binadamu. Nani akae huko milimani kwenye umande na ukungu kama nyani ? Huko ukifa unapelekwa kuzikwa tu ni makaburini kama Kinondoni makaburini. Huo ndio ukweli mchungu.
Wasukuma bado hata ustaarabu wa vyoo hamna mnakunya ziwani, ndio mnataka mjifananishe na Wachaga?

Kilimanjaro na Arusha ni most beautiful city in Tanzania.

Atakayekwambia Moshi kubaya hana pesa, hata Dar kama huna pesa ni kubaya sana utaishia kwa mtogole tu wakati wamba wanakula maisha Masaki.
 
Unalinganisha hivyo vijiji na jiji la Mwanza ? Wewe mburula kweli. Arusha na Moshi pangekuwa pazuri wachagga mngepigania kila siku kuwaza kuishi mikoa iliyobarikiwa au kwa ufupi 'sukumaland' ? Kwa ufupi usiwe unalinganisha vitu vinyonge na Jiji la miamba.
Wasukuma bado hata ustaarabu wa vyoo hamna mnakunya ziwani, ndio mnataka mjifananishe na Wachaga?

Kilimanjaro na Arusha ni most beautiful city in Tanzania.

Atakayekwambia Moshi kubaya hana pesa, hata Dar kama huna pesa ni kubaya sana utaishia kwa mtogole tu wakati wamba wanakula maisha Masaki.
 
Kuna wapuuzi wanaona ni ushamba,sa nawauliza je wao likizo yao huwa ni wapi? Hawana majibu
 
Unalinganisha hivyo vijiji na jiji la Mwanza ? Wewe mburula kweli. Arusha na Moshi pangekuwa pazuri wachagga mngepigania kila siku kuwaza kuishi mikoa iliyobarikiwa au kwa ufupi 'sukumaland' ? Kwa ufupi usiwe unalinganisha vitu vinyonge na Jiji la miamba.
Tatizo fursa,kwani mchina kuja kuwekeza tz kwao hakuna maisha? Fursa ndio zinafanya tusambae
 
Unalinganisha hivyo vijiji na jiji la Mwanza ? Wewe mburula kweli. Arusha na Moshi pangekuwa pazuri wachagga mngepigania kila siku kuwaza kuishi mikoa iliyobarikiwa au kwa ufupi 'sukumaland' ? Kwa ufupi usiwe unalinganisha vitu vinyonge na Jiji la miamba.
Mimi siyo mchaga, ila naijuwa Mwanza vizuri na Arusha Kilimanjaro.

Nimeona washamba wenzako wakisukuma Rock city mall wakishinda kwenye lift ni kitu kigeni kwao.

Villa park ndio ilikuwa mtoko mkubwa kwa wala bata kitu ambacho Moshi Arusha ni balaa.

Sijaonaga maajabu ya Mwanza mimi binafsi.
 
Kuna topic zimeanzishwa humu kuwadhihaki wachaga na kwenda kwao kwa wingi msimu huu kwa Christmas, Wengine wakidai wanenda kutambika mara Wengine wanadai wanaenda kuringishia maendeleo . Wacha niwape kahistoria kidogo.
Mimi nimezaliwa miaka ya 1980s nimekuta mababu na mabibi zangu wapo.Na uzuri wazazi wetu sisi walizaliwa na kukulia Kilimanjaro kwa hiyo ilikuwa mwezi wa kumi na mbili ndio mwezi pekee unaweza kwenda nyumbani wakakutana na marafiki ndugu na jmaa kwa urahisi kwa sababu ni msimu ambao hata shule zimefungwa na maofisini wengi wamepata ruhusa. Wazazi walikuwa wanaenda Kilimanjaro mara kwa mara ila mwezi wa kumi na mbili ilikuwa inanoga zaidi..Na ukizingatia familia nyingi ulikuta watoto wamesambaa mikoa tofauti kutafuta maisha..Wengine dar.wengune arusha na Kila mkoa walipoona fursa..Hawa watu njia pekee iliyobaki ya kukutana na kutambulishana familia ni xmass kukutana nyumbani kwa wazazi wao Kila mtu akishinikuzwa kuja na familia zao.
Kikaja kizazi chetu sisi cha miaka ya 80 ambao hatukuzaliwa Kilimanjaro Wala kukulia huko na wazazi wako huku dsm .njia pekee waliyoitumia wazazi Ili kuturithisha huo utamadhni ilikuwa ni kwenda nasi mara kwa mara..ila kwetu sisi haikuwa inanoga sana cause hatukuzaliwa na kukulia huko..walipoona tunaanza kurudi nyuma wakaja na mbinu ya kufanya vikao vya ukooo Kila mwaka ifikapo December ..na ni lazima kuhudhuria..kwenye vikao hivyo ndipo tunapotambulishana familia zetu na kuzidi kujuana..ndipo unapoona home kumekaaje na uparekebishe..ndipo mnapokutana na ndugu Wengine kubadilisha mawazo na kupeana mawazo ya kimaisha.asilimia kubwa ya wanaopanda kaskazini nowdays ni kwenda kwenye vikao ..asilimia ndogo ndio kwenda kwa mapumzikooo....
ninachofurahi ni kuona huu utamaduni umeanza kuenea na mikoa mingine pia..mikoa ambayo ilizoea kuloea dsm miaka nenda Rudi now wameanza utamaduni wa kurudi nyumbani decemba.
Mimi mwenyewe nasubiri tu ofisini ikae sawa nipande nikapige mbegeeeeee....
Kwa kweli nawapongeza sana hawa jamaa kwa njia hii watoto wanaujua ukoo kwa hakika hata mimi ni mzaliwa wa mkoa wa mbeya na mzazi wangu alikuwa na utamaduni wa kutupeleka kijijini sikukuu za mwisho wa mwaka imetusaidia sana kujua ndugu na kujifunza lugha yetu kwakuwa wazazi walitoka kabila tofauti, kwa ujumla nawapongeza sana jamaa zangu hawa wa kilimanjaro
 
Kwa kweli nawapongeza sana hawa jamaa kwa njia hii watoto wanaujua ukoo kwa hakika hata mimi ni mzaliwa wa mkoa wa mbeya na mzazi wangu alikuwa na utamaduni wa kutupeleka kijijini sikukuu za mwisho wa mwaka imetusaidia sana kujua ndugu na kujifunza lugha yetu kwakuwa wazazi walitoka kabila tofauti, kwa ujumla nawapongeza sana jamaa zangu hawa wa kilimanjaro
Ukiwajua ndugu na lugha yako inakuletea maendeleo kiasi gani?
 
Arusha gani unayoisema ? Hiyo ya Longido na Monduli ambako wamasai huokota maji tunayowarushia sisi watalii ? Mwanza hapa Tz inazidiwa na Dar tu , Moshi na Arusha ligi yao ni kina Morogoro, Mbeya, Kahama, Dodoma na Tanga.
Mimi siyo mchaga, ila naijuwa Mwanza vizuri na Arusha Kilimanjaro.

Nimeona washamba wenzako wakisukuma Rock city mall wakishinda kwenye lift ni kitu kigeni kwao.

Villa park ndio ilikuwa mtoko mkubwa kwa wala bata kitu ambacho Moshi Arusha ni balaa.

Sijaonaga maajabu ya Mwanza mimi binafsi.
 
Back
Top Bottom