Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Kwenu kigoma unaenda nyumbani desemba kufanya nini? Kama sio kupoteza pesa.
 
Wasukuma unakuta wamezaliwa 20
wote hawongei.
Ndugu hawakumbukani majina
Baba kaachia laana watoto wake.
Nyumba ya nyasi
Ataenda nyumbani desemba kufanya nini?
 
Ni wachaga pekee hurudi kwao kwa wingi msimu wa sikukuu kuliko kabila lolote africa, wachaga wametapakaa kila kona yenye fursa sio kwamba nyumbani ni pabaya ,wengi hurudi kujenga tena nyumba za maana na huko walipo pia hujenga pia,

huwezi kwenda ugenini popote ukakuta mchaga amekaa sehemu mwenyewe lazima utawakuta wawili watatu au zaidi

huwezi fika sehemu yenye fursa ukamkosa mchaga kama hayupo anakuja soon ilo eneo.

wachaga sio watu wa shooff ktk maswala ya pesa labda hawa waliozaliwa mijini huku,ila unaweza kuta anamiLioni zake kadhaa ndani ila ukimuanglia kama hana mia mfukoni ila litokee jambo la maana ndo mnaposema hwwa watu ni wezi ela katoa wapi gafla hivi

wanawake si wanaume wakichaga mapenzi aisee wapo nyuma sana

ktk ilo suala inabid wajirekebishe au labda kama sio kipaumbele kwao

pombe huwezi itenganisha na mchaga maana ni rawmaterial za damu zao 😂,

kilimanjaro ni sehemu nzuri ya kuishi
 
Kwenu kigoma unaenda nyumbani desemba kufanya nini? Kama sio kupoteza pesa.
Hao wanaoenda kwao huwa wanaenda kufanya nn?

Mtu anayepswa kuringia kwao ni yule aliyebaki akikuza uchumi wa pale mwaka mzima au aliyekaribisha wageni waje wakuze uchumi wa hapo. Wengine wote wa kwenda mwisho wa mwaka hawana hiyo haki.
 
Hao wanaoenda kwao huwa wanaenda kufanya nn?

Mtu anayepswa kuringia kwao ni yule aliyebaki akikuza uchumi wa pale mwaka mzima au aliyekaribisha wageni waje wakuze uchumi wa hapo. Wengine wote wa kwenda mwisho wa mwaka hawana hiyo haki.
Uchumi upo imara tangu zamani, mtu ameacha gorofa panya wanachezea.
 
Wasukuma unakuta wamezaliwa 20
wote hawongei.
Ndugu hawakumbukani majina
Baba kaachia laana watoto wake.
Nyumba ya nyasi
Ataenda nyumbani desemba kufanya nini?
Kwani hao wachagga wanaoenda huko mwisho wa mwaka wa nini huko ? Asilimia 75 wanamiliki robo eka ya mchaichai halafu eti wanajiita matajiri ! Ni utaahira wa kiwango cha lami.
 
Ni wachaga pekee hurudi kwao kwa wingi msimu wa sikukuu kuliko kabila lolote africa, wachaga wametapakaa kila kona yenye fursa sio kwamba nyumbani ni pabaya ,wengi hurudi kujenga tena nyumba za maana na huko walipo pia hujenga pia,

huwezi kwenda ugenini popote ukakuta mchaga amekaa sehemu mwenyewe lazima utawakuta wawili watatu au zaidi

huwezi fika sehemu yenye fursa ukamkosa mchaga kama hayupo anakuja soon ilo eneo.

wachaga sio watu wa shooff ktk maswala ya pesa labda hawa waliozaliwa mijini huku,ila unaweza kuta anamiLioni zake kadhaa ndani ila ukimuanglia kama hana mia mfukoni ila litokee jambo la maana ndo mnaposema hwwa watu ni wezi ela katoa wapi gafla hivi

wanawake si wanaume wakichaga mapenzi aisee wapo nyuma sana

ktk ilo suala inabid wajirekebishe au labda kama sio kipaumbele kwao

pombe huwezi itenganisha na mchaga maana ni rawmaterial za damu zao [emoji23],

kilimanjaro ni sehemu nzuri ya kuishi
Nani aishi makaburini ? We vipi ?
 
Sehemu nzuri ya kuishi, nikimaanisha hali ya hewa, mandhari,na vitu kama hivyo ila kwa utafutaji sio kama dar
Hapo sawa. Na sehemu yoyote ili kuwe na mazingira mazuri ya utafutaji lazima kuwe na uwekezaji. Huko hakuna uwekezaji kwa sababu watu wanaenda mara moja kwa mwaka na hawaaliki wageni wawekeze.
 
Wewe mtu wa mara unachuki na wachagga sana mkuu, utazeeka kwa kuchukia alishindwa magufuli sembuse wewe kibushuti uchwara, tena wajiita mkaruka umezoea kula tu furu ndio maana mjinga
Akizeeka lazima awe mchawi huyu.
 
Hapo sawa. Na sehemu yoyote ili kuwe na mazingira mazuri ya utafutaji lazima kuwe na uwekezaji. Huko hakuna uwekezaji kwa sababu watu wanaenda mara moja kwa mwaka na hawaaliki wageni wawekeze.
Kili arusha ni miji ya utalii, ni nadra sana ukauziwa eneo kilimanjaro maana utapitia process nyingi sana, na hata ukaacha mji wako miaka kumi hutokuja kuta umevamiwa

eneo ni la vizazi kwa vizazi wachaga hueshimu sana kwao hata kama umezaliwa wapi uko kuna vitu tu vitaletwa nyumbani hasa kwa wanaume,
 
Taja mkoa wako.....
Wilaya.....
Kata ....
Kijiji....



Ndo ukosoe wachagga...vinginevyo ni chuki za waziwazi. Kwanza hao wachagga wanaoenda kwao huwachangii hata kidogo zaidi saana wanaongeza mapato ya Manispaa ili wewe upate posho yako hapo kazini ( may be). Lakini siku zote kuwaponda. Huoni wanaendeleza kwao, wanarudisha pesa kwao kwa manunuzi wanayofanya, utamaduni wao, ndugu kukaa pamoja yote hayo huoni unaona tu eti wanaenda kwa ma ex. Hapa ndo chuki yenu inaonekana kwao.

Nyinyi si mkwende kwenu pia....oohhhh nauli juuu.......okay stop hating be inspired na wachagga
Mimi sina haja ya kutaja vyote hivyo.

SIsi hatuishi kwa SIFA na PROMOTION.
 
Kili arusha ni miji ya utalii, ni nadra sana ukauziwa eneo kilimanjaro maana utapitia process nyingi sana, na hata ukaacha mji wako miaka kumi hutokuja kuta umevamiwa

eneo ni la vizazi kwa vizazi wachaga hueshimu sana kwao hata kama umezaliwa wapi uko kuna vitu tu vitaletwa nyumbani hasa kwa wanaume,
Tusidanganyane. Huko si nyumbani ni asili yenu tu na unarudi kutalii kama Black americans wanavyokuja Africa.

Kutokuuza ardhi wakati wewe ulipoenda umeuziwa ni ubinafsi tu. Waliowauzia wao hawathamini kwao?

Unaenda mara moja kwa mwaka, watoto wako wataenda mara moja kwa mwaka, wajukuu wataenda mara moja kwa mwaka, Vitukuu wataenda mara moja kwa mwaka. Huko ni kutalii kwenye asili yenu na si jambo baya.
 
Back
Top Bottom