wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,945
- 5,733
Kuna mtu kapita hapa na boda nasikia katoka marekani
Huyo ni mwingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu kapita hapa na boda nasikia katoka marekani
siku hizi wachaga mmekua kama watu wa kanda ya ziwa mpakani mwa uganda
Pesa nimetafuta mwaka mzima.......sasa hivi ni wakati wa kunyofoa bunda bunda na kutumia taratibu........kupongezana na kuweka mezani nini umefanya mwaka mzima......kama ulishoia imekula kwako........
Ukabila unawadhalilisha hawa mapoyoyo, ni upumbavu na kujiaibisha tuHuu ni upumbafu
Hahahah.., for sureBora tunapumua sasa Darisalama! Kwanini hambaki hukohuko? Mkaendeleza na huko pia?
Ujinga tu.
aliyekudanganya kuwa wachaga sio washirikina amekuroga ndio maana hauelewi kitu. kwa taarifa yako, wateja wakubwa wa waganga wa kienyeji Tanzania ni wachaga. wao hawaendi kutafuta dawa ya magonjwa, wanaenda kutafuta uchawi wa kutafuta pesa hata kwa kuua ndugu. kuna mandondocha rundo kmanjaro na mandondocha wengine ni wale nusu, unamuona yupo anafanya kazi lakini hafanikiwi kumbe wamemkombea nyota zote. ulishawahi kuona mpemba amemshinda mchaga kwenye duka, chuma ulete ya wazee wa uswahilini ile imegonga mwamba kwa mchaga, anaenda kuweka duka katikati ya uswahili wa duka linaendelea. kuna siri nzito. kama haujui tuambie sisi tunaofanya biashara tunawajua sana hao ndugu.
Mji umeanza kupendeza sasa.
Foleni zimepungua,tunapumuwa.
Enyi wakuja,muwaige wenzenu wachaga wana akili,nanyi muende kwenu mukasalimie,tuachieni Dar yetu ipumuwe,MURUUDI KWEEENU!
NARUDIA TENA,WAKUJA MURUUDI KWEENU,muziachie passport size zipumuwe!
Wachaga wanatafuta sana hela lakini hawatumii,mi naonaga uchizi tu.
Bora tunapumua sasa Darisalama! Kwanini hambaki hukohuko? Mkaendeleza na huko pia?
Itabidi nije kwa sababu hakuna namna nyingine.........