Kutoa, kuzidisha, kugawanya nazo ni arithmetic operations.Kwanini unajumlisha kwa sababu Numerology ni Arithmetic operations ya number au Alphabetical to number value..
Sijui nimekujibu hapo?
Unataka niweke Kalendar ya warumi ya Mwaka gani πππ BCE au C..
Unataka rome enzi as Kingdom(Roman kingdom) as Republic (Roman Republic) au As Empire (Roman Empire)..
Unataka Gregory au Julian π..
KWa sababu its Focusing on Reducing the number into single Digit for Futher interpreration..Kutoa, kuzidisha, kugawanya nazo ni arithmetic operations.
Kwa nini unajumlisha, hutoi, hugawanyi, huzidishi?
Acha upotoshaji "devoted scientist""MInd choose Eyes want to see"
ππ
Sijui umeona ulichoandika Kwahyo umebagua kwamba kumbe kuna namba umeziwekea Lebel hizi ni Pseudo na hizi hazipo..
kama binary ina Misingi yake so do the Numerology?ππ
Sijui kama umekielewa Ulichoandika?
Numerology pia Ina mathematical Principal na Mwanzilishi mmojawapo Ni father of Mathematics ππ
Mkuu we pata Ugali na Samaki huenda Umetype ukiwa na Njaaaπ π€£π€£ππ
KWa sababu its Focusing on Reducing the number into single Digit for Futher interpreration..
so Huwezi kureduce number kwa Kutoa au kugawanya into single digits..
Na hiyo ni formula yake tu..
Ni kama kuuliza kwanini 1+1 ni 2 What made it to be 2 and not otherwise
Sasa mbona Umekosa Hoja umeanza kufanya Character assasination,What a shame!.Acha upotoshaji "devoted scientist"
Pia kingine, kwanini unatumia hizo imoji unajichekesha hovyo?
Hauoni upo na shida?
Sasa vipi namba ikiwa 110 na 9Una nambari mbili . 8 na 1.
Unajumlisha 8 na 1 upate 9.
Ukiulizwa sababu, kwa nini umejumlisha hapa? Unasema unataka ku reduce number iwe single digit.
Kwani ukifanya 8 - 1 hupati 7 ambayo ni single digit pia? Huoni kwamba unavyojumlisha 8 + 1 ndivyo unavyokaribia double digits zaidi?
Si useme tu unalazimisha jibu liwe 9? π€£π€£π€£
Lazima irudi 9.Sasa vipi namba ikiwa 110 na 9
Hahaha π π π€£π€£Lazima irudi 9.
9 +1 = 10,
10 -1 = 9
9 + 0 = 9
9 is supreme.
Nimekuuliza unajichekesha nini?Sasa mbona Umekosa Hoja umeanza kufanya Character assasination,What a shame!.
Jitahidi kujua kujibu Hoja hata kama inakukera..
Mkuu with all due RespectsNimekuuliza unajichekesha nini?
Au huoni emojis nyingi umeweka za kujichekesha?
Wewe unaogopa kuulizwa unajichekesha nini?
Soma vizuri sentensi nilizoandika.Mkuu with all due Respects
Huwa Sijibishani na watoto kwa Maswala ya kijinga na kipumbavu kukujibu tu nahisi nimejikaza sana..
Maana huwa sijibu wapumbavu kabisa
π€£SawaUkikaa kule mkao wa kibudha wakati wnafanya tahajudi , meditation, yoga nk miguu huwa inatengeneza two equal sides angle kwa mapaja yote mawili, na pia mikono wakati umeiweka kwa magoti Kuna two sides of triangle created by your hands ubavu na paja . Kuna namna unaweza ukakaa ukabalansi viungo vyako kwa golden ratio na ukapaa kidogo