Kuna siri gani katika namba 9? Kwanini mtoto akae tumboni miezi 9?

Kuna siri gani katika namba 9? Kwanini mtoto akae tumboni miezi 9?

Hivi unaelewa hata namba ni nini?

Namba za Ki Armenia ambazo zilikuwapo kabla ya Kiingereza si namba?

Namba za Kirumi zinazotumia herufi za alphabet si namba?

Tukiondoa watu wote kukawa na jiwe moja, likaongezeka la pili, kidhahania idadi ya mawe haijaongezeka na kuongeza namba ya mawe kutoka moja mpaka mawili, hata kama hatuna lugha yoyote ya kuandika?

Are you saying the color blue is not blue until we are there to call it blue?

Unakanusha logical fallacy ya argument from tradition kwa kutumia logical fallacy ya logical non sequitur.

Kwani wapi nimesema sitaki documentation? Kumtaja Pythagoras ndiyo documentation?

Sayansi si dini, dini ndiyo ina mitume.

Wewe unataka kufanya sayansi iwe kama dini, iwe na mitume.

The ideas are more important than yhe people in science.

Wewe unataka kufanya watu wawe muhimu kuliko ideas.

You don't understand science.

You are practising religion in science.

Complete with prophets.
Huwezi amini Hii coments ndo nilkuwa naisubiria..
And its called "hoisting the opponent on their own petard" au Reverse Psychology..

Umeingia kwenye mtego niliotaka uingie na umeingia mzima Mzma 😀😀..

So Kumbe nmba haina mwanzo so kama haina mwanzo na ipo siku zote huoni ina miliki Certain kind of energy which can Never change regardless on its represantation?

So Regardless of the Language Development The Energy and frequency ya Namba inabki same..

Sasa kwanini unakataa kuhusu Numerology?

Nikikwambia the whole world comes from.number utanielewa?
Au nikimwambia Numbers are special utaelewa sasa?
Kumbuka ni your words Against Yours na nitayatumia kama Refference pia..

Nimecheka kwa sauti hapa mpaka kuna Mtu ameniona amenishangaa 😅😅😅..

Eti prophets!
Kama nilivyosema mwanzoni..

"The Minds decide what the eyes Should see"

Kwa upande wako umetafasiri Maelezo yangu kwa upande ambao kwangu mimi Sijawahi na siwezi kufanya hivyo..

"Quotation in Science is Allowed, Thats where we create foundation of Facts na Nothing kama Unavyosema prophets "
 
Huwezi amini Hii coments ndo nilkuwa naisubiria..
And its called "hoisting the opponent on their own petard" au Reverse Psychology..

Umeingia kwenye mtego niliotaka uingie na umeingia mzima Mzma 😀😀..

So Kumbe nmba haina mwanzo so kama haina mwanzo na ipo siku zote huoni ina miliki Certain kind of energy which can Never change regardless on its represantation?

So Regardless of the Language Development The Energy and frequency ya Namba inabki same..

Sasa kwanini unakataa kuhusu Numerology?

Nikikwambia the whole world comes from.number utanielewa?
Au nikimwambia Numbers are special utaelewa sasa?
Kumbuka ni your words Against Yours na nitayatumia kama Refference pia..

Nimecheka kwa sauti hapa mpaka kuna Mtu ameniona amenishangaa 😅😅😅..

Eti prophets!
Kama nilivyosema mwanzoni..

"The Minds decide what the eyes Should see"

Kwa upande wako umetafasiri Maelezo yangu kwa upande ambao kwangu mimi Sijawahi na siwezi kufanya hivyo..

"Quotation in Science is Allowed, Thats where we create foundation of Facts na Nothing kama Unavyosema prophets "
Logical non sequitur.

Wapi nimesema namba hazina mwanzo?

Unaamua kusoma unachotaka kusoma mwenyewe.

You are right in one thing, the mind decides what the eyes see.

Yani ni hivi.

1. Mimi sijasema popote kwamba namba hazina mwanzo.
2. Wewe unataka kuona mimi nimesema namba hazina mwanzo.
3. Your mind decides what your eyes read.
4. You read that I wrote namba hazina mwanzo.

Wapi nimesema namba hazina mwanzo?

How do you know the whole world come from numbers?

We don't even know what the whole univetse is, the part we see is so small conpared to the part we don't. Even the part we see, about 95% is dark energy and dark matter, things that we do not understand.

How can you say the whole world come from this or that?

How do you even know that you have the brainpower needed to understand how did the whole world come to exist?

Have you ever considered that it is quite possible that you and all humans combined may not have the requisite brainpower to answer this question sufficiently?

Have you ever considered that it is quite possible that the evidence needed to conclusively answer this question is possibly irrevocably lost, and therefore the question, in all honesty, may not be answered in a comprehensive and scientific way, if you steer away from some Deepak Chopra mumbo jumbo and Chaldean numerology bullshit?
 
Logical non sequitur.

Wapi nimesema namba hazina mwanzo?

Unaamua kusoma unachotaka kusoma mwenyewe.

You are right in one thing, the mind decides what the eyes see.

Yani ni hivi.

1. Mimi sijasema popote kwamba namba hazina mwanzo.
2. Wewe unataka kuona mimi nimesema namba hazina mwanzo.
3. Your mind decides what your eyes read.
4. You read that I wrote namba hazina mwanzo.

Wapi nimesema namba hazina mwanzo?

How do you know the whole world come from numbers?

We don't even know what the whole univetse is, the part we see is so small conpared to the part we don't. Even the part we see, about 95% is dark energy and dark matter, things that we do not understand.

How can you say the whole world come from this or that?

How do you even know that you have the brainpower needed to understand how did the whole world come to exist?

Have you ever considered that it is quite possible that you and all humans combined may not have the requisite brainpower to answer this question sufficiently?

Have you ever considered that it is quite possible that the evidence needed to conclusively answer this question is possibly irrevocably lost, and therefore the question, in all honesty, may not be answered in a comprehensive and scientific way, if you steer away from some Deepak Chopra mumbo jumbo and Chaldean numerology bullshit?
So you ment its Inconclusive Arguments?
And no one ever solve it?
 
From you?
Mkuu unachokiandika huwa hukioni au its philosophical,Metaphysical.au Ni biblical Mpaka Roho mtakatifu anisimamie?
Elezea, nukuu maneno yangu, halafu elezea umepataje conclusion fulani kutoka maneno yangu.

Kwa sababu, wewe mwenyewe umesema "the mind decides what the eyes see".

Inawezekana kabisa ukafanya logical non sequitur kuunganisha mambo mawili ambayo nimeyaandika na kupata conclusion ya tatu ambayo haina uhusiano kabisa na mambo mawili niliyoyaandika.

Tumeshaona the mind is notorious for filling in the blanks on its own, kwa hivyo ni rahisi sana kusoma nilipoandika A, B uka fill in the blanks next hapo ni C wakati mimi naenda Greek alphabet kabisa huko ambako hujakufikiria.

Kwa hiyo, unapounganisha mambo na kutoa conclusion kwamba nimemaanisha hivi, ni muhinu kuonesha steps zikizokupa hitimisho hilo, si ku assume tu tutakuelewa.
 
Hakuna "good luck numbers" au "bad luck numbers"

Namba ni namba.

Usiwasikilize numerologists hao kazi yao niku attach special meanings kwenye namba kwasababu ndiyo business yao hiyo kuuza hizo fake interpretations kwa vichwa vibovu.

Numerologists kama walivyo wale wanaitwa tarot card readers hawajali lolote kuhusu wateja wao.

Hao jamaa ni con men. Wanachojali ni maokoto basi.
 
Elezea, nukuu maneno yangu, halafu elezea umepataje conclusion fulani kutoka maneno yangu.

Kwa sababu, wewe mwenyewe umesema "the mind decides what the eyes see".

Inawezekana kabisa ukafanya logical non sequitur kuunganisha mambo mawili ambayo nimeyaandika na kupata conclusion ya tatu ambayo haina uhusiano kabisa na mambo mawili niliyoyaandika.

Tumeshaona the mind is notorious for filling in the blanks on its own, kwa hivyo ni rahisi sana kusoma nilipoandika A, B uka fill in the blanks next hapo ni C wakati mimi naenda Greek alphabet kabisa huko ambako hujakufikiria.

Kwa hiyo, unapounganisha mambo na kutoa conclusion kwamba nimemaanisha hivi, ni muhinu kuonesha steps zikizokupa hitimisho hilo, si ku assume tu tutakuelewa.
Ok ngoja Nikurahisishie..
Umesema We can never Underatanding Chanzo cha Universe hata kama tukiunganisha ubongo wetu dunia nzima..

Ndo maana nikakuuliza so its inconclusive arguments..?
Kitu ambacho hakina jibu tutakiitaje?
 
Hakuna "good luck numbers" au "bad luck numbers"

Namba ni namba.

Usiwasikilize numerologists hao kazi yao niku attach special meanings kwenye namba kwasababu ndiyo business yao hiyo kuuza hizo fake interpretations kwa vichwa vibovu.

Numerologists kama walivyo wale wanaitwa tarot card readers hawajali lolote kuhusu wateja wao.

Hao jamaa ni con men. Wanachojali ni maokoto basi.
Mimi Ni numerologists, Crystalogists, Physicist na proffesional zingine na sijawahi kuchukua Thumni kwa Mtu..
Unasemaje kuhusu hilo?

Tarot card Reading ni far different na numerology hiyo ni kama Ramli tu
 
Ok ngoja Nikurahisishie..
Umesema We can never Underatanding Chanzo cha Universe hata kama tukiunganisha ubongo wetu dunia nzima..

Ndo maana nikakuuliza so its inconclusive arguments..?
Kitu ambacho hakina jibu tutakiitaje?
Daah,

Hiki hiki ndicho nilichohofia.

Hakuna nilipoandika kwamba we can never understand chanzo cha universe hata kama tukiunganisha ubongo wetu wa dunia nzima.

Ni wewe tu hujui kusoma kwa ufahamu umeconclude nimeandika hivyo.

Kama unabisha, weka maneno yangu hapa tuyachambue neno moja baada ya jingine, nikuoneshe ulipokosea kwa jicho lako kusoma kile ambacho mimi sijaandika, umesoma hicho unachotaka kuona wewe kwa sababu akili yako inataka usome hicho tu.
 
Daah,

Hiki hiki ndicho nilichohofia.

Hakuna nilipoandika kwamba we can never understand chanzo cha universe hata kama tukiunganisha ubongo wetu wa dunia nzima.

Ni wewe tu hujui kusoma kwa ufahamu umeconclude nimeandika hivyo.

Kama unabisha, weka maneno yangu hapa tuyachambue neno moja baada ya jingine, nikuoneshe ulipokosea kwa jicho lako kusoma kile ambacho mimi sijaandika, umesoma hicho unachotaka kuona wewe kwa sababu akili yako inataka usome hicho tu.
"How can you say the whole world come from this or that?

How do you even know that you have the brainpower needed to understand how did the whole world come to exist?

Have you ever considered that it is quite possible that you and all humans combined may not have the requisite brainpower to answer this question sufficiently?" Said kiranga,Jf ,11th February 2024
 
Kingine...

Namba 9 inaonekana ina uspecial kwasababu tunatumia decimal number system 0 - 9.

9 ndiyo namba kubwa kwenye single digits kwa kila maana.

Namba kubwa kwenye 1 digit number ni 9

Namba kubwa kwenye 2 digits number ni 99

Namba kubwa katika 3 digits number ni 999

Inaendelea hivyo.


Vipi tukitumia octal number system? Inaanza na 0 - 7.

Kitu kile kile kitajirudia.

Namba kukwa katika 1 digit number itakuwa 7

Namba kubwa katika 2 digits number itakuwa 77

Namba kubwa katika 3 digits number itakiwa 777.
 
Dah yaani Moderator kweli Hii mada ni ya kuiweka kwenye MMU Forum kweli? 🤣🤣🤣
mahusiano,Mapenzi na Urafiki?
Seriously
Kiranga umeona Rafiki zako 🤣🤣

Sijaona contents za Mapenz hata moja, za .Mahusiano hata Moja na wala za urafiki..

Tunahitaji contents controller walio sahihi na wanajua Kuapngilia Nyuzi kwakwli 🤣🤣
 
"How can you say the whole world come from this or that?

How do you even know that you have the brainpower needed to understand how did the whole world come to exist?

Have you ever considered that it is quite possible that you and all humans combined may not have the requisite brainpower to answer this question sufficiently?" Said kiranga,Jf ,11th February 2024
Sasa hapo wapi nineandika "we can never understand chanzo cha universe hata kama tukiunganisha ubongo wetu wa dunia nzima."

Mkuu,

Unafahamu Kiingereza vizuri?

Unajua kusoma kwa ufahamu?

Napata shaka na kuanza kujihoji kama unajua kusoma Kiingereza na unajua kusoma kwa ufahamu.

Bado hujaona nilichoandika na ulichosoma ni vitu viwili tofauti?

Unataka nikufafanulie kwa kituo?
 
Dah yaani Moderator kweli Hii mada ni ya kuiweka kwenye MMU Forum kweli? 🤣🤣🤣
mahusiano,Mapenzi na Urafiki?
Seriously
Kiranga umeona Rafiki zako 🤣🤣

Sijaona contents za Mapenz hata moja, za .Mahusiano hata Moja na wala za urafiki..

Tunahitaji contents controller walio sahihi na wanajua Kuapngilia Nyuzi kwakwli 🤣🤣
Wameidharau thread na kuona ni ya maongezi ya numerology, uganga wa kutumia namba, kusafisha nyota, unajimu wa zodiac signs, alchemy of yhe ancients, chit chat, si hard science 🤣🤣

Na hapa siwezi kuwalaumu.

Hii no chit chat iliyochangamka tu.
 
Mimi Ni numerologists, Crystalogists, Physicist na proffesional zingine na sijawahi kuchukua Thumni kwa Mtu..
Unasemaje kuhusu hilo?

Tarot card Reading ni far different na numerology hiyo ni kama Ramli tu
Sina shida ukijibandika label yoyote.

Ukweli upo wazi tu numerology ni pseudoscience.

Sasa ukiamua kuamini kufuata pseudoscience huo ni uchaguzi binafsi tu.
 
Sasa hapo wapi nineandika "we can never understand chanzo cha universe hata kama tukiunganisha ubongo wetu wa dunia nzima."

Mkuu,

Unafahamu Kiingereza vizuri?

Unajua kusoma kwa ufahamu?

Napata shaka na kuanza kujihoji kama unajua kusoma Kiingereza na unajua kusoma kwa ufahamu.

Bado hujaona nilichoandika na ulichosoma ni vitu viwili tofauti?

Unataka nikufafanulie kwa kituo?
😀😀
Haha it was a challenge..
Japo nimechukua Concepts ya Whole context ya maandishi yote
 
Wameidharau thread na kuona ni ya maongezi ya numerology, uganga wa kutumia namba, kusafisha nyota, unajimu wa zodiac signs, alchemy of yhe ancients, chit chat, si hard science 🤣🤣

Na hapa siwezi kuwalaumu.

Hii no chit chat iliyochangamka tu.
Sasa si Bora wangeweka kwenye chitchat au Jokes 😅😅🤣🤣
Tukaendelea kucheka tu😅😅
Na kupeana Jokes mbalimbali za namba ila kwenye MMU..
Mapenz seriously 🤣🤣
 
Back
Top Bottom