Kuna siri gani katika namba 9? Kwanini mtoto akae tumboni miezi 9?

Kuna siri gani katika namba 9? Kwanini mtoto akae tumboni miezi 9?

Hii haizungumzii wale watoto njiti wanaozaliwa kabla ya muda.

Twende kimahesabu. Ukisema kila mwezi mmoja anaokaa tumboni uwe na siku 31 X miezi 9 utapata 279. Katika hiyo 279 ukijumlisha mbili kwa saba utapata 9

Ukisema kila mwezi anao kaa tumboni uwe na siku 30 X 9 utapata 270. Ukijumlisha hiyo mbili na saba utapata 9

Mtoto mwenyewe tumboni Anakaa kwa pozi la namba 9/6. Kuna nini?

View attachment 2899279
30 na 31 zote umezizidisha kwa 9,which means majibu yake yanagawanyika kwa 9
Number yoyote inayogawanyika kwa 9, jumla ya tarakimu zake Ni 9.
 
Haha haya bhna
"Umeshinda bhna"
Anywei ulipo cite Tu "Aristote Law's of contradiction"

Unatafuta njia ya kukimbia Uhalisia 😀😀😀
Uhalisia ni kwamba unaweza kuungaunga chochote kuhusu namba ili kutimiza ndoto yako ya kuona unachotaka kuona kuhusu hizo namba.

Na mara nyingi ndicho mnachofanya katika arbitrary numerology zenu za kuungaunga.

Literary kuungaunga, as in 8+1 =9.

Why 8 + 1 and not 8-1?
 
Mkuu kama umefika miaka 18, am sorry kwa kizazi chako,

Kama bado hujafika miaka 18, usijali mtoto, hio ni kazi ya freemason ,😂😂😂
Bado umejifungia kwenye hoja yako bila kuwaza mje ya box? Unaona wanaojua kudadavua mambo wanavyo tiririka?
 
Hii haizungumzii wale watoto njiti wanaozaliwa kabla ya muda.

Twende kimahesabu. Ukisema kila mwezi mmoja anaokaa tumboni uwe na siku 31 X miezi 9 utapata 279. Katika hiyo 279 ukijumlisha mbili kwa saba utapata

Ukisema kila mwezi anao kaa tumboni uwe na siku 30 X 9 utapata 270. Ukijumlisha hiyo mbili na saba utapata 9

Mtoto mwenyewe tumboni Anakaa kwa pozi la namba 9/6. Kuna nini?

View attachment 2899279

Hayo ni maamuzi tu ya Mungu (MUWEZA WA YOTE), wala huna haja ya kuyatengenezea hadithi
Labda kama utatujulisha pia kwa nini kuna
Miezi 12 katika mwaka
kuna miezi yenye siku 29/30/31
wiki iwe na siku saba
Mbona kuna usiku na mchana
Kuku ana angua siku 21,
Tembo anazaa miezi 22
nk nk nk
 
30 na 31 zote umezizidisha kwa 9,which means majibu yake yanagawanyika kwa 9
Number yoyote inayogawanyika kwa 9, jumla ya tarakimu zake Ni 9.
Yani mtu anaweza kukuambia "this is magic".

Kumbe ni properties tu za numbers.
 
Hayo ni maamuzi tu ya Mungu (MUWEZA WA YOTE), wala huna haja ya kuyatengenezea hadithi
Labda kama utatujulisha pia kwa nini kuna
Miezi 12 katika mwaka
kuna miezi yenye siku 29/30/31
wiki iwe na siku saba
Mbona kuna usiku na mchana
Kuku ana angua siku 21,
Tembo anazaa miezi 22
nk nk nk
Mungu muweza yote hayupo.

Kama unasema yupo, je, anaweza kuumba jiwe zito sana kiasi asiweze kulibeba?

Ikiwa anaweza kuumba jiwe hilo, basi atakuwa hawezi kulibeba na hivyo si muweza yote.

Ikiwa hawezi kuumba jiwe hilo, si muweza yote, kwa sababu hawezi kuumba jiwe hilo.

Hivyo.

Mungu muweza yote hayupo.
 
Uhalisia ni kwamba unaweza kuungaunga chochote kuhusu namba ili kutimiza ndoto yako ya kuona unachotaka kuona kuhusu hizo namba.

Na mara nyingi ndicho mnachofanya katika arbitrary numerology zenu za kuungaunga.

Literary kuungaunga, as in 8+1 =9.

Why 8 + 1 and not 8-1?
Mkuu Hili swali Lako mbona halina hata Logic..
YAani ni sawa na wewe nikuulize kwanunu Pi ya 22/7 iwe 3.14 na Isiwe 29
Yaani kwanini wagawanye 22÷7 na wasijumlishe 22+7..
Unmathematical arguments
 
Tisa ni mwanzo mpya "new begining" Kila kitu huanza upya kikifikia tisa....sita ni namba ya mtu.
 
Hujui pi ni nini mkuu?

Swali lako linanifanya nione kama huelewi pi ni nini.
Maswali yako huwa yananichekesha Sana Pale unapoona Huwez kujibu Swali lililouliza..

Unachofanya unafanya Reverse Psychology 😀😀

PIa Mtu wa numerology anaweza akauliza hivyo hivyo kuwa hujui kuwa Namba imetengenezwa ikiwa single digit "Accoding to Pythagoras" mwenyewe..

So mkuu Hilo swali Ni jepesi tu na majibu yake ni Inconclusive arguments na hatuwezi kupata majibu kwa sababu vitu vyote viko from ancestry History na viko na prove ya kufanya kazi scientifically..
 
PIa Mtu wa numerology anaweza akauliza hivyo hivyo kuwa hujui kuwa Namba imetengenezwa ikiwa single digit "Accoding to Pythagoras" mwenyewe..

So mkuu Hilo swali Ni jepesi tu na majibu yake ni Inconclusive arguments na hatuwezi kupata majibu kwa sababu vitu vyote viko from ancestry History na viko na prove ya kufanya kazi scientifically..
Namba imetengenezwa?

Unajua argument ya "according to Pythagoras mwenyewe" is a logical fallacy, argument from authority. Unaelewa hilo?

Unajua jibu la "vitu vyote vipo from ancenstry history" ni logical fallacy, argument from tradition?

Hiyo arbitrary numerology ndiyo iko proven scientifically? How is something arbitrary scientific?

Bado hujajibu kwa nini 8 + 1, na si 8 - 1.

Bado hujajibu, unajua pi ni nini?
 
Namba imetengenezwa?

Unajua argument ya "according to Pythagoras mwenyewe" is a logical fallacy, argument from authority. Unaelewa hilo?

Unajua jibu la "vitu vyote vipo from ancenstry history" ni logical fallacy, argument from tradition?

Hiyo arbitrary numerology ndiyo iko proven scientifically? How is something arbitrary scientific?

Bado hujajibu kwa nini 8 + 1, na si 8 - 1.
So unataka kusema namba haijatengenezwa 😀😀
Nikukumbushe kitu..

among the oldest known languages, dating back to around 3000 BCE zipo Aramaic as oldest Semitic languages na pia kuna Greek ,Sumerian, Akkadian, and Egyptian..

Baadae kwenye miaka ya 1300 BCE, Ndo tunapata Lugha kama Hebrew na Arabic..

Wakati huo english haipo kabisa Hakukuwa na Namba..Walitumia herufi zao kwa utambuzi wa kihesabu kama Hebrew na aramaic Aleph ilikuwa Moja na Bet ilikuwa 2 nakuendelea..

Unaita Logical fallacy Really?

Hakuna science bila history and doccumentation?
History and doccuments Preserve the ideas or Theory which baadae zinakuja kuwa Proved kama Facts au Experimental correct..

Ntazungumzia kitu kimoja tu Electromagnetism na magnetism..
Haya majembe hapa chini ndo yalifanya Kugundulika kwake na yote yalikuta history za newtons na wenzake huko wakaanza kuzifanyia kazi na kila alipofanya aliacha docc..

Hans Christian Ørsted (Discovered the connection between electricity and magnetism, 1820) Ila baadae akaja jembe André-Marie Ampère (Formulated Ampère's Law, early 1820s) Ukiachama na huyu muhuni ambaye anafahamuka sana Michael Faraday (Discovered electromagnetic induction, early 1830s) na mwisho alikuwa James Clerk Maxwell (Unified electromagnetic theory with Maxwell's equations, 1860s..

science is made with theory and observative equation au experiments..
Huwezi kukataa kuwa science haiongozwi na history mkuu!..

Nilikuwa naichukia history kipindi nasoma sana Na nilipataga "C" peke yake O Level maana Nilkuwa Siipendi lakini haiwi kigezo cha kusema Kuwa Sio chanzo cha experiment na thoey
 
So unataka kusema namba haijatengenezwa 😀😀
Nikukumbushe kitu..

among the oldest known languages, dating back to around 3000 BCE zipo Aramaic as oldest Semitic languages na pia kuna Greek ,Sumerian, Akkadian, and Egyptian..

Baadae kwenye miaka ya 1300 BCE, Ndo tunapata Lugha kama Hebrew na Arabic..

Wakati huo english haipo kabisa Hakukuwa na Namba..Walitumia herufi zao kwa utambuzi wa kihesabu kama Hebrew na aramaic Aleph ilikuwa Moja na Bet ilikuwa 2 nakuendelea..

Unaita Logical fallacy Really?

Hakuna science bila history and doccumentation?
History and doccuments Preserve the ideas or Theory which baadae zinakuja kuwa Proved kama Facts au Experimental correct..

Ntazungumzia kitu kimoja tu Electromagnetism na magnetism..
Haya majembe hapa chini ndo yalifanya Kugundulika kwake na yote yalikuta history za newtons na wenzake huko wakaanza kuzifanyia kazi na kila alipofanya aliacha docc..

Hans Christian Ørsted (Discovered the connection between electricity and magnetism, 1820) Ila baadae akaja jembe André-Marie Ampère (Formulated Ampère's Law, early 1820s) Ukiachama na huyu muhuni ambaye anafahamuka sana Michael Faraday (Discovered electromagnetic induction, early 1830s) na mwisho alikuwa James Clerk Maxwell (Unified electromagnetic theory with Maxwell's equations, 1860s..

science is made with theory and observative equation au experiments..
Huwezi kukataa kuwa science haiongozwi na history mkuu!..

Nilikuwa naichukia history kipindi nasoma sana Na nilipataga "C" peke yake O Level maana Nilkuwa Siipendi lakini haiwi kigezo cha kusema Kuwa Sio chanzo cha experiment na thoey
Msaidie tu kuwa universe ni namba.
 
So unataka kusema namba haijatengenezwa 😀😀
Nikukumbushe kitu..

among the oldest known languages, dating back to around 3000 BCE zipo Aramaic as oldest Semitic languages na pia kuna Greek ,Sumerian, Akkadian, and Egyptian..

Baadae kwenye miaka ya 1300 BCE, Ndo tunapata Lugha kama Hebrew na Arabic..

Wakati huo english haipo kabisa Hakukuwa na Namba..Walitumia herufi zao kwa utambuzi wa kihesabu kama Hebrew na aramaic Aleph ilikuwa Moja na Bet ilikuwa 2 nakuendelea..

Unaita Logical fallacy Really?

Hakuna science bila history and doccumentation?
History and doccuments Preserve the ideas or Theory which baadae zinakuja kuwa Proved kama Facts au Experimental correct..

Ntazungumzia kitu kimoja tu Electromagnetism na magnetism..
Haya majembe hapa chini ndo yalifanya Kugundulika kwake na yote yalikuta history za newtons na wenzake huko wakaanza kuzifanyia kazi na kila alipofanya aliacha docc..

Hans Christian Ørsted (Discovered the connection between electricity and magnetism, 1820) Ila baadae akaja jembe André-Marie Ampère (Formulated Ampère's Law, early 1820s) Ukiachama na huyu muhuni ambaye anafahamuka sana Michael Faraday (Discovered electromagnetic induction, early 1830s) na mwisho alikuwa James Clerk Maxwell (Unified electromagnetic theory with Maxwell's equations, 1860s..

science is made with theory and observative equation au experiments..
Huwezi kukataa kuwa science haiongozwi na history mkuu!..

Nilikuwa naichukia history kipindi nasoma sana Na nilipataga "C" peke yake O Level maana Nilkuwa Siipendi lakini haiwi kigezo cha kusema Kuwa Sio chanzo cha experiment na thoey
Hivi unaelewa hata namba ni nini?

Namba za Ki Armenia ambazo zilikuwapo kabla ya Kiingereza si namba?

Namba za Kirumi zinazotumia herufi za alphabet si namba?

Tukiondoa watu wote kukawa na jiwe moja, likaongezeka la pili, kidhahania idadi ya mawe haijaongezeka na kuongeza namba ya mawe kutoka moja mpaka mawili, hata kama hatuna lugha yoyote ya kuandika?

Are you saying the color blue is not blue until we are there to call it blue?

Unakanusha logical fallacy ya argument from tradition kwa kutumia logical fallacy ya logical non sequitur.

Kwani wapi nimesema sitaki documentation? Kumtaja Pythagoras ndiyo documentation?

Sayansi si dini, dini ndiyo ina mitume.

Wewe unataka kufanya sayansi iwe kama dini, iwe na mitume.

The ideas are more important than yhe people in science.

Wewe unataka kufanya watu wawe muhimu kuliko ideas.

You don't understand science.

You are practising religion in science.

Complete with prophets.
 
Back
Top Bottom