Kuna siri gani katika namba 9? Kwanini mtoto akae tumboni miezi 9?

Kuna siri gani katika namba 9? Kwanini mtoto akae tumboni miezi 9?

Hii hapa
quotes-of-Nikola-Tesla-e1649320974432.jpg
 
Namba,miezi, na siku hazina maana yoyote bali mwanadamu ndio America maana na kuzi name.ni kama unavyo zaa mtoto na ukaamua umuite jina x ba siyo y just utambulisho but hakuna maana yoyote hivyo hivyo kwenye numbers.
Your perception or your thinking capacity don't legalize it to be the objective and the facts.
Listen what we know is only one millionth of the millimeter and what we don't is 1000 trillion light years of the universe.
Why siku iwe na saa 24= 2+4=6
Days iwe na saa 12= 1+2= 3 na pale Nikola anadai ukishajua Siri ya 3,6, and 9 utakuwa na ufunguo wa ulimwengu.
Why Kuna nyota kuwa ukizaliwa siku fulani na miezi Tabia zako zinakuwa ivi ama vile.
Kuna majira manne kwa mwaka.
Hii namba inazungumziwa mpaka kwa maandiko ambayo Ni 666 sijasema kuwa Ni Freemason.
Ila uelewe Kuna siku na saa maalumu ya kufanya kila tukio na unafanikiwa mkuu.
Why watu wasome madarasa 12= 1+2=3
Hapa duniani nothing happens by coincidence even our life both ups and downs.
na Nikola anadai pamoja na Einstein kuwa everything is the energy.
We're just mass, frequency and vibration.
Unajua kuna frequency Hertz ya namba fulani mgonjwa akipigiwa muda ivi anapona ,Kuna frequency therapy,
Why music inatugusa binadamu wote kama sukari ilivyo tamu kwaa ndimi za binadamu wote bila kujali your location,race, religion and tribe.
 
Dunia inazunguka jua kwa miezi 12 muda huo huo inazunguka mhimili wake kwa muda wa masaa 24
 
Hii haizungumzii wale watoto njiti wanaozaliwa kabla ya muda.

Twende kimahesabu. Ukisema kila mwezi mmoja anaokaa tumboni uwe na siku 31 X miezi 9 utapata 279. Katika hiyo 279 ukijumlisha mbili kwa saba utapata 9

Ukisema kila mwezi anao kaa tumboni uwe na siku 30 X 9 utapata 270. Ukijumlisha hiyo mbili na saba utapata 9

Mtoto mwenyewe tumboni Anakaa kwa pozi la namba 9/6. Kuna nini?

View attachment 2899279
You too damn mad! Ndo dunia uliyoikuta no need to question just let it go
 
Mtoto anakaa tumboni kwa wiki 40 ambazo ni sawa na miezi kumi (full term).

Miezi Tisa ni term ,miezi kabla ya Tisa ni pre term na miezi baada ya kumi ni post term.

Hivyo mtoto mkamilifu anazaliwa ndani ya miezi kumi na sio Tisa japo kama kutakuwa na complications za uzazi atazalishwa kwa miezi hiyo Tisa ila kwa uangalizi mkubwa mno .
Hapa umemaliza. Wanatakiwa wahesabu baada ya LMP na kuingia kwa mimba. wao wanfuata makadi ya Clinic.
 
Back
Top Bottom