Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,Huko unanipeleka wewe kiongozi
Mkuu hebu tuzungumzie human existence na chanzo cha huyo mwanadamu. Chanzo chake ni kipi?Mkuu,
Sababu za kibaiolojia kwamba miezi 9 ndiyo muda mzuri wa mtoto wa mtu kuzaliwa na kuendelea na uhai, akizaliwa kabla anakuwa njiti, baada ya hapo uzazi utakuwa wa tabu, hazikutoshi?
Unatafuta namba za ki Freemason tulizoachiwa na aliens kutoka sayari ya Nibiru juu ya ma piramidi ya kale ya Misri kupitia wanajimu wa Kikaldayo kwa maelezo ya mtu alivyoumbwa na Anunaki kusaidia aliens kuchimba dhahabu duniani ili kumuabudu Enkidu?
Kwanza kabisa, naomba tusitumie neno mwanadamu.Mkuu hebu tuzungumzie human existence na chanzo cha huyo mwanadamu. Chanzo chake ni kipi?
Wakati huo huo naomba unidadavulie kuhusu swala kwamba DNA ndizo hutumika ku pass information kutoka vhanzo fulani kwenda kingine?
Naweza kuwa sijayaweka sawa hayo maswali ila naomba twede hivyo hivyo
Tuendelee sasa.Kwanza kabisa, naomba tusitumie neno mwanadamu.
Neno mwanadamu lina mzizi (etymology) wa kutoka jina Adam. Kumaanisha kuwa watu wote wametokana na mtu wa kwanza aliyeumbwa na Mungu anayeitwa Adam aliyeishi katika bustani ya Eden.
Hizi ni hadithi za Wayahudi, huyo Adam hakuwapo, huyo Mungu hayupo.
Hivyo, jina la "mwanadamu" ni la mapokeo ya kimakosa, ni misnomer.
Mtu ni sahihi zaidi.
Tuendelee vipi bila wewe kukubali kwanza?Tuendelee sasa.
Human existence na origin yake ni suala pana sana, lenye migogoro mingi sana ambayo mingine hata wanasayansi hawajaimaliza.Kukubali kwamba bin adam sio sahihi nimekubali natumia neno MTU. turudi sasa kwenye maswali niliyo kuuliza kuhusu human existence na origin yake
Ila unaamini/ jua jkwamba kuna chanzo?Human existence na origin yake ni suala pana sana, lenye migogoro mingi sana ambayo mingine hata wanasayansi hawajaimaliza.
Hivyo siwezi kukuahidi kwamba ni swali ambalo nitaweza kukupa jibu la kulimaliza.
Ila, ila.
Katika kutafuta jibu sahihi, kuna kitu kinaitwa "elimination method".
Ukishajua tu kuwa square root ya 2 ni lazima iwe ndogo kuliko 2, piga, ua, galagaza, then namba zote kuanzia 2 kwenda juu unaziondoa katika focus yako ya kutafuta square root ya 2.
Yani hata kama hujapata jibu kamili na sahihi, unaweza kuanza kuondoa majibu fulani na kusema hili si jibu kamili na sahihi, upande huu si upande wa kuangalia katika kutafuta jibu kamili na sahihi, tugeukie upande mwingine.
Na katika hiyo elimination method, mimi naweza kusema kuwa, chanzo cha maisha ya mtu si Mungu huyu mjuzi wa yote, muweza yote, mwenye upendo wote tunayemsoma katika misahafu.
Huyo Mungu naweza kusema kwa confidence kubwa sana kuwa hayupo. Hata kabla ya kujua chanzo cha maisha ni nini. Na sijawahi kusema najua chanzo cha maisha ni nini, nasema tu hakiwezi kuwa huyo Mungu kwa sababu huyo Mungu hayupo.
Mengine hata wanasayansi wakubwa duniani bado wanachunguza na wanabishana na mimi Kiranga wa JF leo kujinadi kuwa naweza kujua chanzo cha maisha ni nini, au kwamba naweza kukielezea vizuri bila kuzalisha migogoro na maswali zaidi ya majibu, nitakuwa nadanganya.
Dhana yenyewe ya chanzo inatokana na udogo wa mawazo yetu tu.Ila unaamini/ jua jkwamba kuna chanzo?
9 x 11 = 99 -> 9+9= 18 -> 1+8=9 solved9 x 1 = 9.
9 x 11 =99
Lete maneno dokta
Kwa hiyo mkuu dhana ya chanzo cha mtu tunaweza kuifananisha na ukubwa/upana wa universe ambao bado wataalamu hawajajua ukubwa wake upoje na mwisho wake upoje? Na kama mwisho haujajulikana maana yake hata mwanzo wake inaweza kuwa ngumu pia kujua?Dhana yenyewe ya chanzo inatokana na udogo wa mawazo yetu tu.
Yani nakusudia in the abstract, ile dhana ya chanzo, is not necessary.
Nakwambia hivi, habari nzima ya mwanzo na mwisho ni mauzauza tu.Kwa hiyo mkuu dhana ya chanzo cha mtu tunaweza kuifananisha na ukubwa/upana wa universe ambao bado wataalamu hawajajua ukubwa wake upoje na mwisho wake upoje? Na kama mwisho haujajulikana maana yake hata mwanzo wake inaweza kuwa ngumu pia kujua?
😂😂Ukishapigwa kamba za kijiweni ndo unakuaga na akili hizi...? unataka kusema ni ufirimasoni
Nakuomba pm kama hutojali mie Ni mtu nayependa mno kujifunza mno uumbaji na asili ya ulimwengu. Naomba unipe madini pm Mana hapa kila mtu anajua kila kitu ndio Tanzania Kama sio afrika ilivyo yaani mwanasiasa anamkoromea daktari hajui kila kitu hawezi jua Kama vipi akacheze na mpira pia apandishe uchumi na huku wanawaza kuiba tumwezi wa ramadhani huwa unafunga siku 30, baada ya hapo kuna kufunga siku 6 za hiari.
30 + 6 = 36. hizo ni wiki ambazo ambazo mtoto anakaa tumboni, kila wiki ina kazi yake.
natamani sana niendelee lakini hilo zogo litakalozuka humu ndani mpaka naogopa. ombeni sana mungu awafunulie.
sipendi kubishana katika mambo kama haya. mana utabishana na mtu hana moja wala kumi na moja.