Kuna siri gani katika namba 9? Kwanini mtoto akae tumboni miezi 9?

Kuna siri gani katika namba 9? Kwanini mtoto akae tumboni miezi 9?

Kwenye suala la uumbaji hesabu hazihepukiki.
Jiulize kwa nini kila baada ya miaka minne mwaka unakuwa na siku 366.

Jiulize kwa nini siku ina masaa 24.

Jiulize kwa nini binadamu aliumbwa siku ya 6.

Jiulize kwanini 6 na 9 zina ufanano.

Ukweli ni kwamba namba hazijabuniwa bali ziligunduliwa, hivyo kuna code nyingi sana zenye maana zimefichwa kwenye namba.
Thibitisha
 
Kwenye suala la uumbaji hesabu hazihepukiki.
Jiulize kwa nini kila baada ya miaka minne mwaka unakuwa na siku 366.

Jiulize kwa nini siku ina masaa 24.

Jiulize kwa nini binadamu aliumbwa siku ya 6.

Jiulize kwanini 6 na 9 zina ufanano.

Ukweli ni kwamba namba hazijabuniwa bali ziligunduliwa, hivyo kuna code nyingi sana zenye maana zimefichwa kwenye namba.
hata kwann kila baada ya miaka minne mwaka una siku 366 nayo mnataka kusema ni freemason ,😂😂😂😂😂 niny wazee achen kamba za kitoto, someni na mjifunze vitu bana
 
360÷2=180=1+8+0=9
180÷2=90=9+0=9
90÷2=45=4+5=9
45÷2=22.5=2+2+5=9
22.5÷2=11.25=1+1+2+5=9
11.25÷2=5.625=5+6+2+5=18=1+8=9
5.625÷2=2.8125=2+8+1+2+5=18=1+8=9.

9 ndio namba ya ukuu namba zote uzijuazo ziko ndani ya 9.
 
Bila shaka wewe ni zao la BRN.

Yani kilaza pro max
Sawa. Tufanye iko hivyo. Japo am sure ukitaka tuje upande huo, mimi na wewe ni mbingu na ardhi.
Haya jibu hilo swali
Kama
2x9=18=1+9=9
Weka huu mlinganyo ukawe sawa like above
9x1=9.

Usinilete stori za 0 hapo maana haiko hapo!.
 
Sawa. Tufanye iko hivyo. Japo am sure ukitaka tuje upande huo, mimi na wewe ni mbingu na ardhi.
Haya jibu hilo swali
Kama
2x9=18=1+9=9
Weka huu mlinganyo ukawe sawa like above
9x1=9.

Usinilete stori za 0 hapo maana haiko hapo!.
Ndio maana nikakwambia wewe ni kilaza pro max.

Inaonekana ulikuwa una differentiate constant (kuzungusha ) sana kwenye maths.

Ukiandika 9×1=9 , ni sawa na yule anayeandika 9+0 maana kote jibu lake ni Tisa , ni sawa pia na yule anayeandika 3^2, ni sawa pia na (3×3) kote jibu litakupa Tisa. Ni sawa na yule anayeandika 900/100 kote jibu litakupa Tisa.
 
hata kwann kila baada ya miaka minne mwaka una siku 366 nayo mnataka kusema ni freemason ,😂😂😂😂😂 niny wazee achen kamba za kitoto, someni na mjifunze vitu bana
Sijaona maana ya kuni quote. Umeongeza maneno yako na hao freemason wako.
Tafuta maarifa usipo elewa usiwe na judgement kabla ya kuhariri.
 
Ndio maana nikakwambia wewe ni kilaza pro max.

Inaonekana ulikuwa una differentiate constant (kuzungusha ) sana kwenye maths.

Ukiandika 9×1=9 , ni sawa na yule anayeandika 9+0 maana kote jibu lake ni Tisa , ni sawa pia na yule anayeandika 3^2, ni sawa pia na (3×3) kote jibu litakupa Tisa. Ni sawa na yule anayeandika 900/100 kote jibu litakupa Tisa.
MImi na wewe hatuwezan chief. Akil huna
 
mwezi wa ramadhani huwa unafunga siku 30, baada ya hapo kuna kufunga siku 6 za hiari.

30 + 6 = 36. hizo ni wiki ambazo ambazo mtoto anakaa tumboni, kila wiki ina kazi yake.

natamani sana niendelee lakini hilo zogo litakalozuka humu ndani mpaka naogopa. ombeni sana mungu awafunulie.

sipendi kubishana katika mambo kama haya. mana utabishana na mtu hana moja wala kumi na moja.
 
Hata namba 40 inanishangaza, siku za mwizi, Yesu alifunga siku hizo, alipokuwa na miaka hiyo, matanga ni siku hiyo, na mengine mengi, kulikoni!
 
mwezi wa ramadhani huwa unafunga siku 30, baada ya hapo kuna kufunga siku 6 za hiari.

30 + 6 = 36. hizo ni wiki ambazo ambazo mtoto anakaa tumboni, kila wiki ina kazi yake.

natamani sana niendelee lakini hilo zogo litakalozuka humu ndani mpaka naogopa. ombeni sana mungu awafunulie.

sipendi kubishana katika mambo kama haya. mana utabishana na mtu hana moja wala kumi na moja.
Mtoto ambaye hana complications zozote anakaa tumboni wiki 40.

Hudhurio la kwanza la mama mjamzito (first visit) huwa kuanzia wiki ya 12-16, hudhurio la pili huwa kuanzia wiki ya 20-24, hudhurio la tatu huwa kuanzia wiki ya 28-32 ,hudhurio la nne na la mwisho huwa kuanzia wiki ya 36-40 , mama akishindwa kujifungua mpaka wiki ya 40 ndipo kutakuwa na hudhurio la tano
 
Thibitisha
4 inamana ya change of steps(death & rebirth)

Biblical proven
Kwa watu wa imani huwa wanafunga siku 40(wanaelewa nacho maanisha).

Number 9 kwenye biblia
Yesu Kristo alikata roho saa 9 alasiri.

Tunda la roho lina ukamilisho wa 9. Soma Galatians 5:22-23.

Pia gift of spirit ni 9. Soma 1 coronthias 12:8-10.

Pia Choir of angel ni 9.

Watu waimani hutumia saa 9 kuomba ikiaminiwa kwamba ndio muda mzuri wa maombi yao kusikilizwa.

Kuna generation 9 kati ya Adam hadi Noah, pia kuna generation 9 kati ya Noah hadi Ibrahim. Akiwa na miaka 99 Abram kapata baraka na akaitwa Abraham.

Namba 9 ndani ya biblia inasomeka kama namba ya ukamilisho & hatima na hukumu.

Ukiangalia hata kwa mtazamo kwa philosophy haujapishana na wa biblia juu ya namba 9.
Philosophical 9: is completness, balance and perfection.
 
360÷2=180=1+8+0=9
180÷2=90=9+0=9
90÷2=45=4+5=9
45÷2=22.5=2+2+5=9
22.5÷2=11.25=1+1+2+5=9
11.25÷2=5.625=5+6+2+5=18=1+8=9
5.625÷2=2.8125=2+8+1+2+5=18=1+8=9.

9 ndio namba ya ukuu namba zote uzijuazo ziko ndani ya 9.
Hii inasaidia nini ?
 
Back
Top Bottom