Black BackUp
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 717
- 666
Habari wana JF,
Naomba nijikite katika hili hivi" kuna siri ipi ya mafanikio juu ya kijana alielelewa na mzazi mmoja hasa mama"? Nimeona watu mashughuli wengi , wana siasa, wafanya biashara wakubwa, wana muziki kama vile Diamond na wengine wengi wamepata mafanikio lakini wakitoa historia yao utasikia amelelewa na mzazi mmoja au Mlezi tu.
Zipo nafasi nyeti pia katika nchi hua wanafanikiwa kuzipata, kuaminiwa na kuzishikilia mfano katika nafasi za wateule wa Rais, sehemu kama Benki kuu na nafasi nyeti katika vyombo vya ulinzi na usalama. Naomba kujua hua kuna siri gani, malezi au kuna nguvu za kiroho hua zinakuja kuibuka katika kupambana na maisha?
Naomba nijikite katika hili hivi" kuna siri ipi ya mafanikio juu ya kijana alielelewa na mzazi mmoja hasa mama"? Nimeona watu mashughuli wengi , wana siasa, wafanya biashara wakubwa, wana muziki kama vile Diamond na wengine wengi wamepata mafanikio lakini wakitoa historia yao utasikia amelelewa na mzazi mmoja au Mlezi tu.
Zipo nafasi nyeti pia katika nchi hua wanafanikiwa kuzipata, kuaminiwa na kuzishikilia mfano katika nafasi za wateule wa Rais, sehemu kama Benki kuu na nafasi nyeti katika vyombo vya ulinzi na usalama. Naomba kujua hua kuna siri gani, malezi au kuna nguvu za kiroho hua zinakuja kuibuka katika kupambana na maisha?