Lorenzo Samike
JF-Expert Member
- Jun 18, 2021
- 1,187
- 1,914
Maji ya utakaso.Nilisisimka visivyo kawaida.
Mwili ulipiga shoti haswa baada ya kufikisha usoni. Nilishtuka labda mwili haukuwa tayari kupata maji baridi. Ila nilishadumbukia muda tu. Nilitoka.
Nikasimama juu ya jiwe, baadae nikaamua kurudi. Nilisimama muda kidogo bila kuogelea, lakini niliponawa tena usoni hali ile ile ilijirudia. Kwa kiwango kile kile.
Nilipoanza kufikiri kwamba kuna kitu, hali ile ikanipotea mazima.
Siku ilikuwa nzuri sana. Kule dhambi ndipo zinapooshwa (kidding)
Itabidi nikifika moshi nikapate refreshment ya mind.Nilisisimka visivyo kawaida.
Mwili ulipiga shoti haswa baada ya kufikisha usoni. Nilishtuka labda mwili haukuwa tayari kupata maji baridi. Ila nilishadumbukia muda tu. Nilitoka.
Nikasimama juu ya jiwe, baadae nikaamua kurudi. Nilisimama muda kidogo bila kuogelea, lakini niliponawa tena usoni hali ile ile ilijirudia. Kwa kiwango kile kile.
Nilipoanza kufikiri kwamba kuna kitu, hali ile ikanipotea mazima.
Siku ilikuwa nzuri sana. Kule dhambi ndipo zinapooshwa (kidding)
Trust me for what I tells.Haya mambo ukitilia maanani unaweza kuwa mjinga au mshirikina...
Na hako kadiploma kako uchwara cha kudunga watu sindano unafikiri unaujua huu ulimwengu??Haya mambo ukitilia maanani unaweza kuwa mjinga au mshirikina...
Wajuaji wameanza kuibuka sasa.Rubbish
🙏Na hako kadiploma kako uchwara cha kudunga watu sindano unafikiri unaujua huu ulimwengu??
Wewe bado sana! Ati CLINICIAN!!! Hahahaaa sifuri kabisa!
Nenda madam.Itabidi nikifika moshi nikapate refreshment ya mind.
Na nitafanya meditation kidogo nione kifuatacho