Kuna siri kubwa iliyofichwa katika kuoga maji ya maporomoko ya Marangu

Maji ya utakaso.

Wajuaji wa jamiiforums watabisha.
 
Itabidi nikifika moshi nikapate refreshment ya mind.
Na nitafanya meditation kidogo nione kifuatacho
 
Haya mambo ukitilia maanani unaweza kuwa mjinga au mshirikina...
Na hako kadiploma kako uchwara cha kudunga watu sindano unafikiri unaujua huu ulimwengu??

Wewe bado sana! Ati CLINICIAN!!! Hahahaaa sifuri kabisa!
 
Itabidi nikifika moshi nikapate refreshment ya mind.
Na nitafanya meditation kidogo nione kifuatacho
Nenda madam.

Zama majini, keti mahali ambapo maji yatakufikia Shingoni tu. Angalia upande ambao maji yanatua, ili yale matone tone na mvuke ukupige usoni.

Vuta hisia, I swear they will the most than you ever experienced.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…