Kuna Somo Kubwa sana la Kujifunza hapa hasa kwa Washamba na Malimbukeni wa Mafanikio ya Ukubwani na ya Dharula ya Kiuchumi

Mzee sawa lkn pia tumepata funzo kutoka kwenye thread yako kuwa mke wa Etoo alimvumilia Etoo je wale majeuri na wenye dharau kwa wenza wao wanaoyumba katika utafutaji tuendelee kuwa nao?
 
Mnapiga story kwa hisia, kuna mda Etoo alipewa maneno ya shombo lakini nyinyi hamkusikia wanaume tutafute hela OVER.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…