Eyume Dedu
Member
- May 28, 2021
- 68
- 42
Mamb yalikua yanafanyika lakin tofauti na sasa ifike hatua msijitoe ufahamu hata na sisi tupo nchini tuliishi kwa amani sio kama sasa nakumbuka mtaani kwetu ilikua tunakabwa hadi mchana peupe peee kipindi cha mwendazake walibebwa vibaka na majambazi wote mtaani kulituliaUjambazi ulikuwa ukifanyika awamu zote brother, tena kuna hadi wakuu wa wilaya na mikoa waikuwa wakifanya huo ujambazi awamu iliyopita huku wakilindwa na Rais