Eyume Dedu
Member
- May 28, 2021
- 68
- 42
Wanafwata maagizo ya nan na ni anauwezo wa kuwatoa kama wakizembeaRais anachoweza kufanya ni kuingiza maslahi binafsi au siasa katika vyombo hivyo.
Utendaji wa siku kwa siku hautegemei Rais moja kwa moja, amedeligate power kwa wakuu wa vyombo hivyo.
Nashindwa kuandika zaidi, but all in all jiulize CDF ni yuleyule IGP ni yuleyule lakini Rais tofauti na mambo tafauti.Rais anachoweza kufanya ni kuingiza maslahi binafsi au siasa katika vyombo hivyo.
Utendaji wa siku kwa siku hautegemei Rais moja kwa moja, amedeligate power kwa wakuu wa vyombo hivyo.
Pasipo kumung'unya maneno Hali ya usalama wa raia na Mali zao imetikiswa kwa kipindi hiki,matukio ya ujambazi,unyang'anyi,ukwapuaji,na ukabaji yameendelea kushamiri Sasa licha ya kuwepo na matamko mbali mbali kutoka kwa wenye dhamana na usalama wa raia. Kama halijakukuta Basi fanya simple research kwa kuulizia watu maeneo yako ya kazi au kwenye Daladala au hata kijiweni tu uwaulize maoni yao kuhusu Hali ya usalama mtaani kwao,kila kukicha utasikia hapa kama siyo pale .
Kuna huu ukwapuzi wa simu au bag na bodaboda unarudi nao kwa Kasi.
Tena hawa washenzi wanafunika plate number za pikipiki zao.
Polisi anzeni na hawa.wanaharibu Jina la bodaboda wengine walio raia Wema,
Lakini pia ile spirit na kasi ya kutokomeza ushenzi huu imeishia wapi? Je nayo imezikwa na mwendazake? Watu hawana amani kabisa hasa jua linapozama.
Mama yetu kwa hili nakuomba usilegeze sauti mama.
Punda haendi bila mijeredi na ukicheka na nyani utavuna mabua.
Ndiyo kitu kinachofikirisha Sana mkuu.Nashindwa kuandika zaidi, but all in all jiulize CDF ni yuleyule IGP ni yuleyule lakini Rais tofauti na mambo tafauti.
Credit zake anazo, na ni haki kabisa. Ninapinga mawazo ya kurudi nyuma kwamba akiondoka alichofanya kinaonaondoka.Kwan ndugu ukimpa mtu credit zake kuwa alifanya kazi nzuri ni kitatokea na mimi sijasema ni magoigoi ila vitengo vingi vilijua mzee ni mfwatiliaji wa mamb kuanzia chini
Mtu mwenye akili timamu asie na choyo atayaona haya
Et usimpangishe mtu mwenye vifaa vichache, mtu anaazaje maisha kumbe??Nimeziona wameweka picha ya sirro na mabeyo ,maelezo yao naona kama ni comedy tu ,tahadhari hizo ni siku zote inabidi zichukuliwe si kwa kipindi hiki,sasa utamakaribishaje ndani mtu ambaye haumjui? Utampaje mchepuko siri zako za fedha? Utawekaje pesa ndani wakati kuna bank za kuhifadhi?
Unahitajika mlango wa sita wa fahamu kung'amua.Ndiyo kitu kinachofikirisha Sana mkuu.
Lazima kukaza sauti hapa.
Et usimpangishe mtu mwenye vifaa vichache, mtu anaazaje maisha kumbe??
Hatari sana hii,Ndio maana nikasema ni kama ze comedy au futuhi,sasa kama mtu ndio anaanza maisha ana godoro na sufuria mbili tu?
Hapo tutaelewana cha msingi tushikamane tuijenge nchi yetu uzalendo uwe mbele tukemeana yanapotokea mabaya na kuelekezana tupongezane ili tuzae wazalendo weng zaidiCredit zake anazo, na ni haki kabisa. Ninapinga mawazo ya kurudi nyuma kwamba akiondoka alichofanya kinaonaondoka.
Inasikitisha Sana kwamba waharifu waanze kutupangia nini Cha kufanya.Ndio maana nikasema ni kama ze comedy au futuhi,sasa kama mtu ndio anaanza maisha ana godoro na sufuria mbili tu?
Mbona Bepari kachangia,kwanini usiwaache wachangie wenyewe,nini sababu ya hamasa kwa wachangiaji,una ajenga gani kwenye hilo.Wachangiaji watakuwa wachache sana hapa.
Yaani Bepari wa Bariadi umepata muda wa kichati wakati majambazi wanakutafuta? Au umejifungia ndani?Soon itakufikia brother Kama haijakufikia mpk Sasa
Vyombo vya dola vimeanzishwa kwa mujibu wa katiba na sheria, vivyo hivyo vinatakiwa vitende kufuata hizo. Rais awepo, asiwepo, afe ni lazima nchi ibaki salama.Wanafwata maagizo ya nan na ni anauwezo wa kuwatoa kama wakizembea
Alijitoa ??Na mzee alikua arembi alijitoa kweli kwa ajili yetu sisi watz lazima tujifunze kuwaunga mkono watu wanaojitoa maisha kwa aijili yetu ili tusiwafishe moyo wengine...
Na mama si kwamba anachukiwa bado ako na muda awe tuu mkali hii nchi itaendelea tofauti na hapo hata hiyo corona haitowamaliza watz itakua hayo mamb ya kihalifu
Hakika ni kweli unachosema! Sema watu ukisema ukweli wanaona unaleta siasa.Mamb yalikua yanafanyika lakin tofauti na sasa ifike hatua msijitoe ufahamu hata na sisi tupo nchini tuliishi kwa amani sio kama sasa nakumbuka mtaani kwetu ilikua tunakabwa hadi mchana peupe peee kipindi cha mwendazake walibebwa vibaka na majambazi wote mtaani kulitulia
Yani kama tutaka tujisaidie tujikomboe tuwage tunafwata uhalisia wa mamb sio kwa sababu unamchukia mtu...Alijitoa ??
Hujui alikua anavuta zaidi ya million 9 kwa mwezi bila makato?? Na bado akasema haimtoshi
Malazi bure, matibabu bure, ulinzi bure,chakula bure, ulinzi bure!
Na wewe ni mmoja wao?Sasa hivi wana relax na kuenjoy naonaa.
Nipo lindo mkuu na sungusungu wa nzengo.Yaani Bepari wa Bariadi umepata muda wa kichati wakati majambazi wanakutafuta? Au umejifungia ndani?