Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimerudia na nimepata kitu kile kile nilichoandika.Soma upya ulichoandika apo
Untold history.Hii
Hii Historia umeitoa wapi🤣🤣🤣
Hii historia ya soga za vijana wenye njaa zinazoendelea chini ya mshelisheli.Hii
Hii Historia umeitoa wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikiiangalia Nigeria, huwa napata tabu Sana, sie watu weusi tuna shida gani? Inaongoza kwa kuzalisha mafutq Africa, lakini yenyewe bidhaa za, mafutq inaangiza kutoka nje! Kisa,haina uwezo, wa kitekinolojia wa, kuchimba yenyewe, ikabidi iwape TOTAL, na BP, na, Shevlon,!Ni kipi hasa kinaendelea huko kwa kina Oga, Tulishazoea kwa muda mrefu Naira moja ni shilingi 5.x ila kwa sasa imeshuka mpaka 1.79
View attachment 3003703
Tizii kwenyewe ishakua changamoto
Sasa nchi wamemkadhi Tinubu unategemea nini?Ni kipi hasa kinaendelea huko kwa kina Oga, Tulishazoea kwa muda mrefu Naira moja ni shilingi 5.x ila kwa sasa imeshuka mpaka 1.79
View attachment 3003703