Ni kipi hasa kinaendelea huko kwa kina Oga, Tulishazoea kwa muda mrefu Naira moja ni shilingi 5.x ila kwa sasa imeshuka mpaka 1.79
View attachment 3003703
Nikiiangalia Nigeria, huwa napata tabu Sana, sie watu weusi tuna shida gani? Inaongoza kwa kuzalisha mafutq Africa, lakini yenyewe bidhaa za, mafutq inaangiza kutoka nje! Kisa,haina uwezo, wa kitekinolojia wa, kuchimba yenyewe, ikabidi iwape TOTAL, na BP, na, Shevlon,!
Yaani katika watu 200M, kwa Miaka yote, hawawezi, kununua mitwmbo na tekinolojia ya kuchimba mafuta!?
Nchi kama Iran, Pakistan, India zilipata tekinolojia ya siraha za, nuclear, kwa, figisu figisu, kuiba, kudukua, nk,kwa nini Sisi hatufanyi hivyo kwa tekinolojia muhimu kama ya kuchimba mafuta?