Kuna tatizo kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Kuna tatizo kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Wengi hufikiri kuoa mwanamke mwenye mtoto ni rahisi kivile sio kabisa.
1. Watoto baada ya 18 yrs bado kama baba utawajibika kuwaendeleza maana ni wa kufikia tena waweza kuwa babu wakufikia ukicheza.
2. Kuwalea hasa kunidhamu yaweza kuwa tabu kwani watoto wa namna hii huamini kila kitu wanaonewa hata kama unawapa malezi bora.
3. Mgawanyo wa mali ni lazima uwape sawa na wanao wa kuzaa. Pambana kuwekeza ujanani.
4. Watoto huwa na dharau wao kwa wao na ndugu wengine ndani ya familia na kuonekana wanabaguliwa au wanajibagua kwa hiyo jenga utaratibu wa kufamilia mapema.
5. Kuna muda mtajikuta wewe na baba wa huyo mtoto mnalea familia ya wife wako na pia kuingiliana mapenzi hasa watoto wakiitaji kumuona baba yao. Usipokuwa makini unagongewa live.
Ni baadhi ya sababu tu.
Sikushauri.Tafuta mwanamke ambaye hajazaa muanze maisha pamoja.
Unazungumzia tabia za baadhi ua wanawake.

Ninarudia, hata hao vigori mnaooa wanazaa na wanaume wengine huku mnaishi nao.

Tabia ni tabia tu, hata uoe asiyezaa. Tunagonga wake za watu ambao waliolewa hawajazaa na kwa harusi nzito na za gharama.
 
Jeffrey Bezos amelelewa na baba wa kambo mwisho wa siku baada ya kuwa tajiri, baba wa kambo ndo anakula mafao ya Amazon na baba yake halisi hana mpango nae. Jaribu bahati yako mzee huwezi jua mtoto atakuja kuwa nani baadae.. Pengine ndo huyo huyo atakaekuja kukuthamini.
Acha kumfundisha mtu ujinga mkuu yaani aishi kwa KUSUBIRI BAHATI?
 
Watu wanatoa ushauri mzuri humu hadi raha, jf ni zaidi ya kijiwe.

Nami nakazia hapohapo, single mother haolewi atakusumbua mpaka utakoma. Hapo huyo ni mke wa jamaa we unamshikia tu akija atakugongea waziwazi au kwa kujificha.
 
Hicho ndio kirusi kinitafunacho,bora wako ana mmoja, wangu ana wawili tena kila mmoja na baba yake walah usithubutu! Utaja shika suruali mkononi,wanasumbua sana tena sana linapokuja suala la baba wa mtoto kutaka kumjulia hali mwanae hapo kubali kugongewa,acha kabisa! Narudia kusema walah usithubutu

oyaa mzee njoo PM mkuu tujadili hili jambo
 
Dah nime kata tamaa kabisa
Kila nikimcheki demu Uyu . dah na jinsi ushauri Munao nipa na muonea uruma

Maana nipo naye apa ajui nini kinacho ni fanye niwe mnyonge ana fikiri ni majukumu tu kumbe mwenzio nimepigwa na comment za jm mpaka na muona kama nyuki mbele ya macho yangu tu

Na fanya ni kimuona alivyo alafu ni mkimbie si atajitowa duniani Uyu kweli
Mmmmmmm ni makubwa
 
Acha kugombana na familia yako kisa Mwanamke wewe kijana...
Single mother haolewi anagongwa na kuachwa...
Sasa wewe unataka kuweka kambi eti unampenda...

Kijana ‘Kwisha’ angalia utakwisha...

Kwanza unawezaje date Mwanamke aliyezalishwa na mwanaume mwingine... Maungo huwa hayarudi kama mwanzo na kiakili tiyari anabond na yule jamaa...
watu wengine kichechefu kweli,inaweza kumtokea hata mwanao
 
Wengi hufikiri kuoa mwanamke mwenye mtoto ni rahisi kivile sio kabisa.
1. Watoto baada ya 18 yrs bado kama baba utawajibika kuwaendeleza maana ni wa kufikia tena waweza kuwa babu wakufikia ukicheza.
2. Kuwalea hasa kunidhamu yaweza kuwa tabu kwani watoto wa namna hii huamini kila kitu wanaonewa hata kama unawapa malezi bora.
3. Mgawanyo wa mali ni lazima uwape sawa na wanao wa kuzaa. Pambana kuwekeza ujanani.
4. Watoto huwa na dharau wao kwa wao na ndugu wengine ndani ya familia na kuonekana wanabaguliwa au wanajibagua kwa hiyo jenga utaratibu wa kufamilia mapema.
5. Kuna muda mtajikuta wewe na baba wa huyo mtoto mnalea familia ya wife wako na pia kuingiliana mapenzi hasa watoto wakiitaji kumuona baba yao. Usipokuwa makini unagongewa live.
Ni baadhi ya sababu tu.
Sikushauri.Tafuta mwanamke ambaye hajazaa muanze maisha pamoja.
Hizi points zimekaa kizembe kwa haraka haraka ila ni misumali mitupu
 
Wazazi mungu wa pili wasikilize,yakikukuta ya aidha ugonjwa ama kifo ilihali una mtoto wa watu bila ridhaa ya wazazi utatafuta mlango wa kutokea hutouona.

Mtoto wa kufikia hata um care chochote kile siku mkikosana tu kidogo na mke,mkeo huyo atakurundika na matusi mbele ya watu kuwa wamnyanyasia mwanae wakati tu pengine juzi juzi umetoka kumtibu mwanae homa kali iliyovuruga bajeti kwa tsh. 500,000.

Utalea wewe baada ya umri fulani watamchukua wenye mtoto.

Kundi la marafiki wa aliyezalia nyumbani pia ni walioshindikana shindikana tu.
Utakuja ulie na jua la kuwaka,acha kabisa yamenitokea mie.
Sema astaghafill-llah
 
Hallo ndugu zangu

Kuna jambo ambalo linanitatiza kidogo naomba ushauri kutoka kwenu

Hivi kuna madhara gani ya kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Sasa ni hivi kuna dada mmoja wa Kigoma ambaye tulipendana naye na tulivyo pendana akunificha aliniambia yeye ana mtoto
Nikamuliza situation ilikuwaje mpaka Akapata mtoto na kwanini baba mtoto hakumuoa?

Akaniambia kuwa uyo jamaa alimdanganya lakini alivyo mpa mimba yule jamaa alikimbia mimba ile na tena jamaa hakuwa mtanzania alikuwa mrundi na uko burundi ana mke na watoto Wa tatu

Sasa ki ukweli sikuamini maneno yake nilichunguza kwa majirani zake kuuliza walicho ni ambia ni ivo ivo tu

Sasa nikaona isiwe case nilienda kumtambulisha nyumbani kwetu cha ajabu wazazi wangu walivyo sikia kuwa ana mtoto kiukweli wamekataa kweli kweli nimejaribu kuwapa hali halisi ya ilivyo kuwa mpaka akapata mtoto uyo wamekula chini kweli
kibaya zaidi nimesha mpa mimba na kwao nina famika vizuri

Sasa familia wamenitenga kabisa yaani hawataki kusikia abari za uyo dada nimejaribu kuwaomba wao kama wazazi wangu basi wahende kujitambulisha kwao na mtoto na kuacha na weka Mali hawataki
Na mimi dada uyo na mpenda saana

Je ni kitumia wazee wengine ambao si Wa familia yangu kwenda kuniwekea Mali nitakuwa nime kosa?

Na ni madhara gani ambayo yanaweza kutokea pale familia wakikutenga?

Na nini ni fanye ili kumaliza tatizo hili ndugu zangu
Au ni sikie ushauri Wa wazazi na mimi ni achana naye?
Ni sawa tu,tofauti ni kwamba IPI bora kati ya nguo ya mtumba na ya dukani!?
 
Jeffrey Bezos amelelewa na baba wa kambo mwisho wa siku baada ya kuwa tajiri, baba wa kambo ndo anakula mafao ya Amazon na baba yake halisi hana mpango nae. Jaribu bahati yako mzee huwezi jua mtoto atakuja kuwa nani baadae.. Pengine ndo huyo huyo atakaekuja kukuthamini.
Mbona uko mbali sana,mfano rahisi ni hapa bongo,Diamond alivyo na pesa zake anayefaidi ni Anko Shamte
 
Kama ulishampa mimba unaomba Ushauri wa nini kwahio mzani ukilemea kwenye kumuacha utamumuacha na mimba yako? We umeshalikoroga hapo Cha kufanya fanya mpango ishi na mkeo maana hapo mtakaemuweka matatizoni ni huyo mtoto atakaezaliwa kama hamtokuwa na maelewano.... Wewe ni mwanaume kuwa na maamuzi muombe MUNGU akuongoze hao wazazi hawatokuwa na kinyongo na wewe milele Ila kiukweli inapokuja suala la kuoa mwanamke mwenye mtoto Kuna mtihani mbele, kubali kuukabili.
 
Siku ninawajulisha ndugu zangu kuwa namwoa dada x ambaye amezaa, mamangu aliapa viapo vyote na kulia kikamilifu. Walioniunga mkono ni wadogo zangu wawili wa kiume tu.

Ila leo katika familia nzima, msaada wa haraka na wa dhati ambao mama huutegemea ll the time huwa ni huyu mke wangu. Sijui huwa anajisikiaje wakati alimkataa.

Ninamshukuru Mungu kwa kunipa huyu mwanamke. Ninampenda na ananipenda.
Hapo pesa ndio inayoongea,chezea pesa
 
Hallo ndugu zangu

Kuna jambo ambalo linanitatiza kidogo naomba ushauri kutoka kwenu
Ndugu yangu hawa ndugu bwana hiyo story ya Mrundo wala usiiamini kabisa. Ni cover story ya kukuaminisha baba wa mtoto yupo n hi ya mbali.

Wasikilize wazazi wako utakuja kujuta na kukumbuka ushauri wa hapa jf. OA AMBAYE HANA MTOTO.
Kwa ushauri zaidi nenda Kigoma kakar kasulu au Kibondo au uvinza kwa mwezi ukifanya reseach ya kina utabadili maamuzi yako
 
Back
Top Bottom