Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,125
- 1,526
UPO SAHIHI KILICHONIKUTA JAMAA YANGU MPAKA LEO MDADA AKIWA SINGLE MOTHER SIMTAKI WALA SIMGUSIParents are never gone wrong
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UPO SAHIHI KILICHONIKUTA JAMAA YANGU MPAKA LEO MDADA AKIWA SINGLE MOTHER SIMTAKI WALA SIMGUSIParents are never gone wrong
Mkuu najua situation aliyonayo jamaa kwa sasa ila kama atanielewa nilichokiandika basi kwa namna moja ama nyingine maisha yake yatakuwa na mwanga mzuri hata miaka ijayo ila akikaidi atapoteza muda , mwanamke anaemtaka , pamoja na pesa.Mzee wa Chelsea ... Pole ulilalama sana humu . Mpe uzoefu
Kwenye betting iyo tunaita "In Play" au "Live Betting", unabet game ishaanza na kuna mtu kashalizwa goli moja tayariDaah unaanza mechi mwenzako ana goli moja tayari. Pambana ushinde mechi wazee wa kubet hii inaitwaje kitaalamu
Hata gari kabla ya kutoka Kiwandani inafanyiwa testing kilometers kadhaa,hakuna gari jipya linalosoma 0km.Mmmmm vipi kuhusu wale ambao wanaowaga wanawake ambao si mabikra?
Na Mondi nae?Jeffrey Bezos amelelewa na baba wa kambo mwisho wa siku baada ya kuwa tajiri, baba wa kambo ndo anakula mafao ya Amazon na baba yake halisi hana mpango nae. Jaribu bahati yako mzee huwezi jua mtoto atakuja kuwa nani baadae.. Pengine ndo huyo huyo atakaekuja kukuthamini.
kuna kauzi ulitoa juzi kwamba mtu wa tatu kakuta video za uchi za mkewe kwa jamaa mwingine kumbe ndio wewe mwenyewe.Siku ninawajulisha ndugu zangu kuwa namwoa dada x ambaye amezaa, mamangu aliapa viapo vyote na kulia kikamilifu. Walioniunga mkono ni wadogo zangu wawili wa kiume tu.
Ila leo katika familia nzima, msaada wa haraka na wa dhati ambao mama huutegemea ll the time huwa ni huyu mke wangu. Sijui huwa anajisikiaje wakati alimkataa.
Ninamshukuru Mungu kwa kunipa huyu mwanamke. Ninampenda na ananipenda.
Sijataka hata kusoma content. Achana na mke mwenye mtoto ni ujinga mkubwa sana.Hallo ndugu zangu
Kuna jambo ambalo linanitatiza kidogo naomba ushauri kutoka kwenu
Hivi kuna madhara gani ya kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Jeffrey Bezos amelelewa na baba wa kambo mwisho wa siku baada ya kuwa tajiri, baba wa kambo ndo anakula mafao ya Amazon na baba yake halisi hana mpango nae. Jaribu bahati yako mzee huwezi jua mtoto atakuja kuwa nani baadae.. Pengine ndo huyo huyo atakaekuja kukuthamini.
Mkuu, hiyo inakuwa win win situation au[emoji848]Kwenye betting iyo tunaita "In Play" au "Live Betting", unabet game ishaanza na kuna mtu kashalizwa goli moja tayari
Hahhahaa..[emoji113]Hata gari kabla ya kutoka Kiwandani inafanyiwa testing kilometers kadhaa,hakuna gari jipya linalosoma 0km.
Usimkimbie mtoto maana huyo ni ndugu yako, usimsaliti ndugu yako, Mkuu umefuata moyo wako ila umeisahau akili yako nyuma, ndo maana unashindwa hata kufanya maamuzi wewe kama wewe.Hallo ndugu zangu
Kuna jambo ambalo linanitatiza kidogo naomba ushauri kutoka kwenu