Kuna tatizo kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Kuna tatizo kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Siku ninawajulisha ndugu zangu kuwa namwoa dada x ambaye amezaa, mamangu aliapa viapo vyote na kulia kikamilifu. Walioniunga mkono ni wadogo zangu wawili wa kiume tu.

Ila leo katika familia nzima, msaada wa haraka na wa dhati ambao mama huutegemea ll the time huwa ni huyu mke wangu. Sijui huwa anajisikiaje wakati alimkataa.

Ninamshukuru Mungu kwa kunipa huyu mwanamke. Ninampenda na ananipenda.
Vipi baba wa mtoto hakumegei apple

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kubwa hapo ni wewe na yeye nyoyo zenu zinavoelewana

Hayo mengine sio kesi
 
Wengi hufikiri kuoa mwanamke mwenye mtoto ni rahisi kivile sio kabisa.
1. Watoto baada ya 18 yrs bado kama baba utawajibika kuwaendeleza maana ni wa kufikia tena waweza kuwa
Naunga mkono hoja labda nionyeshwe kaburi la huyo aliyezaa nae ndipo nitamuoa
 
Nakushauri usikilize moyo wako lakini pia waulize wazazi wako sababu za kumkataa mwenza wako na wakueleze athari za kuoa single maza pia.
 
Hallo ndugu zangu

Kuna jambo ambalo linanitatiza kidogo naomba ushauri kutoka kwenu
Kama ndugu zako hawataki kwa nini hutaki kuwasililiza?,au mitaa unayokaa wasichana ambao hawana watoto wamekwisha?
 
Dah nime kata tamaa kabisa
Kila nikimcheki demu Uyu . dah na jinsi ushauri Munao nipa na muonea uruma

Maana nipo naye apa ajui nini kinacho ni fanye niwe mnyonge ana fikiri ni majukumu tu kumbe mwenzio nimepigwa na comment za jm mpaka na muona kama nyuki mbele ya macho yangu tu

Na fanya ni kimuona alivyo alafu ni mkimbie si atajitowa duniani Uyu kweli
Mmmmmmm ni makubwa
Ukionq hvyo angalia moyo wako unataka nn? Maana wewe ndo utapambana na hali yako hamna mtu atakusaidia . moyo wako ndo uamue maamuzi ambayo usije ukajutia
 
Wengi hufikiri kuoa mwanamke mwenye mtoto ni rahisi kivile sio kabisa.
1. Watoto baada ya 18 yrs bado kama baba utawajibika kuwaendeleza maana ni wa kufikia tena waweza kuwa babu wakufikia ukicheza.
2. Kuwalea hasa kunidhamu yaweza kuwa tabu kwani watoto wa namna hii huamini kila kitu wanaonewa hata kama unawapa malezi bora.
3. Mgawanyo wa mali ni lazima uwape sawa na wanao wa kuzaa. Pambana kuwekeza ujanani.
4. Watoto huwa na dharau wao kwa wao na ndugu wengine ndani ya familia na kuonekana wanabaguliwa au wanajibagua kwa hiyo jenga utaratibu wa kufamilia mapema.
5. Kuna muda mtajikuta wewe na baba wa huyo mtoto mnalea familia ya wife wako na pia kuingiliana mapenzi hasa watoto wakiitaji kumuona baba yao. Usipokuwa makini unagongewa live.
Ni baadhi ya sababu tu.
Sikushauri.Tafuta mwanamke ambaye hajazaa muanze maisha pamoja.
Hii no 5 nimeilewa haswa

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Hii kitu imekaa kiubaguzi sana maana wanaume wanataka wanawake wasio na watoto ila wao unakuta wamejaza madarasa tena kwa wanawake zaidi ya mmoja, tuwe fair jamani, watu mkipendana msiangalie sijui watoto sijui alikua na nani zamani , hayo hayatawasaidia sanasana ni kutafuta kujua zaidi mambo yaliyojificha ambayo hawasaidii sana
 
Awali ukiishaoa singo mama, maisha yanakuwa burdani, kwani utaonekana ni Lulu .
Baada ya muda uta anza onekana wa kawaida tu, tofauti zozote za ndani ni nafasi ya mwenzio kumtafuta mume mwenzio. halafu taratibu utakuja elewe tunachoandika mara kwa mara hapa.

na kibaya zaidi, haitakuja tokea eti ukawa na urafiki na mtoto wa mwanaume mwenzio, hakuna. na hii ndio mbaya zaidi
 
Ndoa ni kati yenu nyie wawili na mashahidi wenu wawili.
Kama umempenda sana muoe. Wazazi wameshawakost watoto wao mara nyingi tu kwa huu mtindo wa kukataa wachumba wa vijana wao na kisha kuwatumbukiza pasipokalika.

Usingle mother siyo kwamba ndo atakuwa analiwa na baba mtoto.
Wapo masingle mother wengi tu walio na akili yao nzuri hawafanyi huo upuzi.
Na wapo ambao waliolewa wakiwa bado hawajazaa lakini wanapigwa sana tu kitaa tena unakuta anapigwa na wengi..

Kuchepuka ni tabia ya mtu- haihusiani na single mother.
 
Kama maelezo yake ni kweli mchukue! Ila ujue wanawake ni wajanja, kuna siku watakutana kwa faragha ili kuganga namna ya kumlea mtoto, utakubali?
Hizi kauri siyo za kweli mara zote. Tena wakati mwingine unakuta hawa wazazi wana bifu kali hata kusalimiana hawasalimiani. Inategemea na mazingira mimba imepatikana na sababu zilizowaachanisha.
 
Nakushauri usikilize moyo wako lakini pia waulize wazazi wako sababu za kumkataa mwenza wako na wakueleze athari za kuoa single maza pia.
Wazazi wanahofia mtoto wao atakuwa anagongewa na jamaa aliyemzalisha.
Kama ni wa kugongwa atagongwa hata na bodaboda wanaombeba hili la usingo mother haitokei mara zote.
 
Katafute kaburi la baba wa mtoto kisha ndipo ufanye maamuzi ya kuoa chief
 
Kwa comment hizi, wanawake wengi watakuwa wanatoaga sana mimba kujiweka safe side ya kuolewa hapo baadae.
 
Back
Top Bottom