GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na ni nani aliyewadanganya Waswahili kuwa ili uwe Mshauri mzuri wa Jambo fulani basi ni lazima uwe una Uzoefu nalo kwa Wewe mwenyewe kukupata?
Tanzania mpaka sasa ( japo wapo wanaojitahidi ) ila bado sijaona Mchambuzi Mahiri wa Mpira wa Miguu kama Dk. Leakey Abdallah ( mwana Liverpool FC Mwenzangu ) na cha Kushangaza huyu Jamaa hana Historia yoyote ile ya Kucheza Mpira wa Miguu ambao anauchambua Kiufundi kuliko hata Mchambuzi Mchezaji wa zamani na Kocha Shadrack Nsajigwa anavyofanya akiwa ama Redioni au Runingani Kiuchambuzi.
Na msichokijua tu ni kwamba Watazamaji wa Mechi waliojukwaani wanaona vizuri sana Mchezo unavyokwenda kuliko hata Wachezaji wenyewe wanaocheza Uwanjani kwa wakati huo.
Na ukimpata Mshauri kama GENTAMYCINE mshukuru mno Mwenyezi Mungu kwani utakuwa hujapata tu Mshauri Tukuka wa Jambo linalokusibu bali pia utakuwa umepata Bahati ya Kipekee ya kuwa na Mtu mwenye Maono Makali, Mbarikiwa halafu ni "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kiasili.
Halafu Arovera Mtani wangu waambie Watu wa Kabila lako wawe na Adabu sawa? Yaani sijui nina bahati mbaya na Makabila yote yenye Utani na Sisi Wazanaki kutoka Mkoani Mara.
Yaani Wahaya wana matatizo, Wanyiramba na Wanyaturu wana matatizo, Waha wana matatizo, Warangi wana matatizo, Wakara wana matatizo na Wanyamwezi nao ndiyo kabisaaaa wana matatizo.
Hivi nyie / ninyi Watani zangu Tajwa hapa akina Arovera ni kwanini hamjastaarabika kama Sisi Wazanaki ambao tulianza kuwaonyesha Ustaarabu kwa kuwaleteeni huu Uhuru kutoka kwa Mkoloni Muingereza huku Mkoa wetu Tukuka wa Mara ( Musoma ) ndiyo ukiwa unaongoza kwa kuwa na Maendeleo kuliko Mikoa yenu?
Watani zangu mpo......?
Tanzania mpaka sasa ( japo wapo wanaojitahidi ) ila bado sijaona Mchambuzi Mahiri wa Mpira wa Miguu kama Dk. Leakey Abdallah ( mwana Liverpool FC Mwenzangu ) na cha Kushangaza huyu Jamaa hana Historia yoyote ile ya Kucheza Mpira wa Miguu ambao anauchambua Kiufundi kuliko hata Mchambuzi Mchezaji wa zamani na Kocha Shadrack Nsajigwa anavyofanya akiwa ama Redioni au Runingani Kiuchambuzi.
Na msichokijua tu ni kwamba Watazamaji wa Mechi waliojukwaani wanaona vizuri sana Mchezo unavyokwenda kuliko hata Wachezaji wenyewe wanaocheza Uwanjani kwa wakati huo.
Na ukimpata Mshauri kama GENTAMYCINE mshukuru mno Mwenyezi Mungu kwani utakuwa hujapata tu Mshauri Tukuka wa Jambo linalokusibu bali pia utakuwa umepata Bahati ya Kipekee ya kuwa na Mtu mwenye Maono Makali, Mbarikiwa halafu ni "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kiasili.
Halafu Arovera Mtani wangu waambie Watu wa Kabila lako wawe na Adabu sawa? Yaani sijui nina bahati mbaya na Makabila yote yenye Utani na Sisi Wazanaki kutoka Mkoani Mara.
Yaani Wahaya wana matatizo, Wanyiramba na Wanyaturu wana matatizo, Waha wana matatizo, Warangi wana matatizo, Wakara wana matatizo na Wanyamwezi nao ndiyo kabisaaaa wana matatizo.
Hivi nyie / ninyi Watani zangu Tajwa hapa akina Arovera ni kwanini hamjastaarabika kama Sisi Wazanaki ambao tulianza kuwaonyesha Ustaarabu kwa kuwaleteeni huu Uhuru kutoka kwa Mkoloni Muingereza huku Mkoa wetu Tukuka wa Mara ( Musoma ) ndiyo ukiwa unaongoza kwa kuwa na Maendeleo kuliko Mikoa yenu?
Watani zangu mpo......?