Kuna tatizo mahali, dola hakuna sekta binafsi zinakufa

Kuna tatizo mahali, dola hakuna sekta binafsi zinakufa

Screenshot_20230430-113713.png
 
Kwa sasa hivi pesa ya kigeni hususani dola haipatikani hata kwenye mabenki ambayo sekta zetu binafsi zinafanya nazo biashara. Mambo yanakwama inapofika kuagiza mahitaji kutoka nje ambavyo ni sehemu ya utekelezaji wa kazi yoyote au mradi. Hata dola 1000 kupata ni tatizo.

Je, kitu gani kinaendelea? Mimi na umri wangu mkubwa tumepitia changamoto nyingi za kiuchumi toka enzi za Mwalimu lakini jambo kama hili halikuwahi kutokea. Sasa tunaelekea wapi? Mbona hata hakutolewi tamko kuelezea hili jambo? Je, waziri wa fedha haoni kwamba hili ni tatizo?

Miaka michache ya nyuma na hususan wakati wa Hayati Magufuli tulikuwa tunapewa taarifa kuwa nchi yetu ina akiba ya kutosha na wakawa wanataja hata kipindi ambacho kama itokee dhiki ya namna gani, kwa akiba iliyopo tungeweza kumudu kuagiza nje kwa miezi kadhaa. Sasa hii akiba imeenda wapi?

Jamani tuzidi kujitafakari, kuna tatizo mahali.
Hapana tulioambiwa jpm ndo aliyeua huyu wa sasa ndo mkombozi wa hiyo secta
 
Dola kukosekana ni ishara ya nchi kukosa exports kwenye biashara ya kimataifa na sheria ngumu za kudhibiti dola.

Ukiwa na bidhaa za ku export na sheria nzuri, dola zipo nyingi tu soko la kimataifa zinatafuta bidhaa.

Watu wanatafuta jinsi ya kupata Konyagi na Dodoma wine, lakini hawazioni katika soko la kimataifa.

Kwa nini? Watanzania hawajajipanga katika exports.

Halafu wanalia dola hazipo.

Dola zitakuwapo vipi wakati kila kitu mna import, mpaka toothpicks?

Hamjui kuwa hivyo vitu mnavyo import ndiyo dola hizo mnatoa nje?

Dola itakuwapo vipi wakati exports ni ndogo sana?
Hicho ni kichaka tu kwa watu wavivu .nakuhakikishia ukiamisha federal reserve ya marekani hapa kwetu baada ya miezi 6.kutokuwa na uhaba wa hiyo dollars tena
 
Hicho ni kichaka tu kwa watu wavivu .nakuhakikishia ukiamisha federal reserve ya marekani hapa kwetu baada ya miezi 6.kutokuwa na uhaba wa hiyo dollars tena
Any way you cut it.

Fundamentals ni exports/ imports pamoja na government policy.

Hayo maneno ya utabiri usiopimika kama ya Sheikh Yahya Hussein mimi sina interest nayo maana yamekaa kishabiki zaidi na hayapimiki.
 
Mbona mimi huwa naweka hela kwenye visa card kama tsh na ninanunua vitu online nikikatwa kama usd?
 
Kwa sasa hivi pesa ya kigeni hususani dola haipatikani hata kwenye mabenki ambayo sekta zetu binafsi zinafanya nazo biashara. Mambo yanakwama inapofika kuagiza mahitaji kutoka nje ambavyo ni sehemu ya utekelezaji wa kazi yoyote au mradi. Hata dola 1000 kupata ni tatizo.

Je, kitu gani kinaendelea? Mimi na umri wangu mkubwa tumepitia changamoto nyingi za kiuchumi toka enzi za Mwalimu lakini jambo kama hili halikuwahi kutokea. Sasa tunaelekea wapi? Mbona hata hakutolewi tamko kuelezea hili jambo? Je, waziri wa fedha haoni kwamba hili ni tatizo?

Miaka michache ya nyuma na hususan wakati wa Hayati Magufuli tulikuwa tunapewa taarifa kuwa nchi yetu ina akiba ya kutosha na wakawa wanataja hata kipindi ambacho kama itokee dhiki ya namna gani, kwa akiba iliyopo tungeweza kumudu kuagiza nje kwa miezi kadhaa. Sasa hii akiba imeenda wapi?

Jamani tuzidi kujitafakari, kuna tatizo mahali.
Dola zote zimechotwa na CCM kwa manufaa yao binafsi.......zingine amepewa Bashite azitumie kuzurura nchi nzima na zingine zimehifadhwa kwenye akaunti za CCM nje na ndani ya nchi kwa ajili ya kuiba uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025.
 
Kwa sasa hivi pesa ya kigeni hususani dola haipatikani hata kwenye mabenki ambayo sekta zetu binafsi zinafanya nazo biashara. Mambo yanakwama inapofika kuagiza mahitaji kutoka nje ambavyo ni sehemu ya utekelezaji wa kazi yoyote au mradi. Hata dola 1000 kupata ni tatizo.

Je, kitu gani kinaendelea? Mimi na umri wangu mkubwa tumepitia changamoto nyingi za kiuchumi toka enzi za Mwalimu lakini jambo kama hili halikuwahi kutokea. Sasa tunaelekea wapi? Mbona hata hakutolewi tamko kuelezea hili jambo? Je, waziri wa fedha haoni kwamba hili ni tatizo?

Miaka michache ya nyuma na hususan wakati wa Hayati Magufuli tulikuwa tunapewa taarifa kuwa nchi yetu ina akiba ya kutosha na wakawa wanataja hata kipindi ambacho kama itokee dhiki ya namna gani, kwa akiba iliyopo tungeweza kumudu kuagiza nje kwa miezi kadhaa. Sasa hii akiba imeenda wapi?

Jamani tuzidi kujitafakari, kuna tatizo mahali.
Ingieni road
 
Dola kukosekana ni ishara ya nchi kukosa exports kwenye biashara ya kimataifa na sheria ngumu za kudhibiti dola.

Ukiwa na bidhaa za ku export na sheria nzuri, dola zipo nyingi tu soko la kimataifa zinatafuta bidhaa.

Watu wanatafuta jinsi ya kupata Konyagi na Dodoma wine, lakini hawazioni katika soko la kimataifa.

Kwa nini? Watanzania hawajajipanga katika exports.

Halafu wanalia dola hazipo.

Dola zitakuwapo vipi wakati kila kitu mna import, mpaka toothpicks?

Hamjui kuwa hivyo vitu mnavyo import ndiyo dola hizo mnatoa nje?

Dola itakuwapo vipi wakati exports ni ndogo sana?
Ile takataka ya Dodoma nani aitake?
 
How can you maintain a national reserve with one-sided trade?


Angalia jinsi tunaagiza sisi hatuna kitu cha kupeleka nje hata kufika 70% import vs 30% export
Screenshot_20240213-103714.png
 
GOOD TIMES ARE NOT AROUND THE CORNER....

Be Prepared to live off your fat

A word is enough for the wise...
Don't you let your belt untighten, the wind wich has to blow might unseat you.
The hardship\suffering Pro Max in the country is becoming unbearable for ordinary Tanzanians as the high cost of foodstuffs, transportation, goods, and services have made life difficult for many Bongoles.
 
Ile takataka ya Dodoma nani aitake?
Mkuu,

Kuna watu wanaitafuta sana nje hawaipati.

Ni wewe tu hujui wine halafu una tabia ya kudharau vitu vya nyumbani.

Na Watanzania wengi wako kama wewe.

Ndiyo maana hamu export.

Halafu uchumi unakuwa mbovu, mnakosa dollars.

Mnatafuta mchawi wenu nani.
 
Kwa sasa hivi pesa ya kigeni hususani dola haipatikani hata kwenye mabenki ambayo sekta zetu binafsi zinafanya nazo biashara. Mambo yanakwama inapofika kuagiza mahitaji kutoka nje ambavyo ni sehemu ya utekelezaji wa kazi yoyote au mradi. Hata dola 1000 kupata ni tatizo.

Je, kitu gani kinaendelea? Mimi na umri wangu mkubwa tumepitia changamoto nyingi za kiuchumi toka enzi za Mwalimu lakini jambo kama hili halikuwahi kutokea. Sasa tunaelekea wapi? Mbona hata hakutolewi tamko kuelezea hili jambo? Je, waziri wa fedha haoni kwamba hili ni tatizo?

Miaka michache ya nyuma na hususan wakati wa Hayati Magufuli tulikuwa tunapewa taarifa kuwa nchi yetu ina akiba ya kutosha na wakawa wanataja hata kipindi ambacho kama itokee dhiki ya namna gani, kwa akiba iliyopo tungeweza kumudu kuagiza nje kwa miezi kadhaa. Sasa hii akiba imeenda wapi?

Jamani tuzidi kujitafakari, kuna tatizo mahali.
Tatizo lipo kwetu Sisi sio serikali
Ili pesa za kigeni ziwe nyingi ni lazima uuzaji bidhaa nje uwe mkubwa
Serikali ndiyo mtumiaji mkubwa wa pesa za kigeni
Serikali haizalishi pesa za kigeni
ni wakati wa Nyerere serikali yake ndiyo ilishika njia zote kuu za uchumi serikali za siku hizo ni watumiaji wakubwa wa pesa za kigeni
kupitia miradi inayo Jenga Bwawa la umeme/Reli ya standard gage/ Ujenzi wa daraja la Busisi/ununuzi wa ndege/magali ya serikali NK
Kama wananchi katika shughuri zao asilimia kubwa ni kununua bidhaa za biashara toka nje Hali inakua mbaya zaidi
Maoni yangu tusiogope Kufungua mipaka kuuza maazao nje Kwa masharti ya anayetaka kuuza maazao/Bidhaa aje na pesa za kigeni baada ya biashara yake
sio wale wanaopeleka mazao Kisha kuludi na makontena ya pipi midori NK
Shida za nchi hii ni Sisi wananchi tutazitatua
 
Kwa sasa hivi pesa ya kigeni hususani dola haipatikani hata kwenye mabenki ambayo sekta zetu binafsi zinafanya nazo biashara. Mambo yanakwama inapofika kuagiza mahitaji kutoka nje ambavyo ni sehemu ya utekelezaji wa kazi yoyote au mradi. Hata dola 1000 kupata ni tatizo.

Je, kitu gani kinaendelea? Mimi na umri wangu mkubwa tumepitia changamoto nyingi za kiuchumi toka enzi za Mwalimu lakini jambo kama hili halikuwahi kutokea. Sasa tunaelekea wapi? Mbona hata hakutolewi tamko kuelezea hili jambo? Je, waziri wa fedha haoni kwamba hili ni tatizo?

Miaka michache ya nyuma na hususan wakati wa Hayati Magufuli tulikuwa tunapewa taarifa kuwa nchi yetu ina akiba ya kutosha na wakawa wanataja hata kipindi ambacho kama itokee dhiki ya namna gani, kwa akiba iliyopo tungeweza kumudu kuagiza nje kwa miezi kadhaa. Sasa hii akiba imeenda wapi?

Jamani tuzidi kujitafakari, kuna tatizo mahali.
Sasa hapo ndio sekta binafsi zinakufa?

Soma hizi takwimu hapa 👇

View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1757024321271222617?t=zy8TA5_mQ_bQ3tjgKz8cXA&s=19
 
Back
Top Bottom