Kuna tatizo mahali, dola hakuna sekta binafsi zinakufa

Sio kweli
 
Nimekuelewa
 
Kwenye benki hupati zaidi ya dolar 200 ,sasa imagine dollar 200 ndiyo limit .
Yaani dollar 200.
Na huipati Kwa chini ya 2900 hadi 3000
Kutoka kwa rate ya 2200-3000 ndani ya miezi michache tu .
Hii si indicator ya economic failure ?
Sio kweli
 
Nguvu kubwa zinatumika kukusanya kodi kufikia Malengo ya makusanyo mwisho wa mwaka wa fedha yamkini maandalizi ya uchaguzi mkuu..nadhani matumizi yanapaswa kudhibitiwa haswaa..Wizi pia matumizi mabaya.

Wafanyabiashara Wapo hoi..hatua Za makusudi zinapaswa kuchukuliwa kunusuru madhara zaidi Kwa uchumi na taifa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…