Kuna tatizo mahali kwenye nafasi ya uongozi nchi hii. Je, kafara la Lindi linahusika?

Mtazamo wangu ni Huu. Kukosa Kibali na Neema Ya Kristo Yesu Katika Karama na Kipawa. Maana Walio na Vyeo Hawakustahili Na Sisi Tusiojulikana Na Tunaostahili Hatuna Kibali Kwa Walimwengu.
Kuna point kubwa sana umeiongea mkuu...
 
Duuh!! Uko vizuri, nimekupenda ghafura!!
 
Tukaliondoe kafara la Lindi kwanza ...tutachukua nchi asubuhi na mapema[emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
Mkuu, kulikuwa na kafara moja Morogoro,palikuwa hapaishi ajali!!Mungu alinionyesha nikaombe mchana, kuzunguka kimvuli Cha huo mti, nilifanya hivyo. na ajali zimekoma hadi leo!! Ninatakakusema, hatujachelewa!! Mungu anatafuta watu wa kufanyanae kazi!! tuingie kwenye maombi, Mungu atatuonyesha namna ya kufanya!!
 
Uzi huu umenifanya nigundue huyu mshana jr ana account 7. Nitafungua uzi kuziweka hadharani
Ungekanusha achokisema, ningekuona unakili!! lakini kwajinsi unavyodili na mshana, nakuona Kama vile wewe ni mnufaika wa hayo makafara!!
 
Mkuu wafia dini watasema umepotoka kwa maswali haya
 
Aaamen...! Aaamen ...! Aamen..![emoji1545][emoji1545]
 
mkuu utakuwa umekusudia ubishi au hilo kafara la lindi limekuathiri, hapo juu kwenye maswali yako umeuliza kuhusu mambo ya bustani?!..
 
So sad aisee
 
Typing errors nyingi Sana lkn ujumbe wako mzuri ungejaribu kuandika vizuri na kwa kirefu zaidi mkuu
 
...Mkuu, Ninaomba kusahihisha tj kidogo hii santensi. Inasema:


'Imulike HATA nje ya Mipaka yetu...'. .

Hiyo Hata tayari inaleta utofauti na jinsi ulivyoinukuu wewe Mkuu...
 
...Mkuu, Ninaomba kusahihisha tj kidogo hii santensi. Inasema:


'Imulike HATA nje ya Mipaka yetu...'. .

Hiyo Hata tayari inaleta utofauti na jinsi ulivyoinukuu wewe Mkuu...
[emoji1752][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
...Mkuu, Ninaomba kusahihisha tj kidogo hii santensi. Inasema:


'Imulike HATA nje ya Mipaka yetu...'. .

Hiyo Hata tayari inaleta utofauti na jinsi ulivyoinukuu wewe Mkuu...
[emoji1752][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…