Kuna tatizo mahali kwenye nafasi ya uongozi nchi hii. Je, kafara la Lindi linahusika?

Hapo sasa ndiyo napata picha kwanini Edward Moringe Sokoine yalimkuta yaliyompata.
 
Watanzania hatutakaa tuendelee kama kila wakati tutakuwa tunawaza makafara. Nini faida ya kusoma kama watu wenye ufahamu kama wewe mnaendelea kuwazia mambo ya kijima?
 
Watanzania hatutakaa tuendelee kama kila wakati tutakuwa tunawaza makafara. Nini faida ya kusoma kama watu wenye ufahamu kama wewe mnaendelea kuwazia mambo ya kijima?
Ulimwengu wa roho ndio engine ya dunia.. Na huu ndio umebeba hatima na mustakabali wetu wote.. Ni ulimwengu beyond normal thinking ya kibinadamu
 
Aisee! Mkuu tuhadithie ilikuwaje tafadhali!
 
Dih Duh!!
 
Kwenu ndipo masikini kuliko pote nchini na ndipo penye watu wenye low IQ kuliko wote nchini japo kuna utajiri wa raslimali tele,chanzo ni kafara la kuitambikia nchi 1992.
Kuna jingine la 1992 Tena!!!????
 
Ni kijiji gani hicho?
 
Lengo lilikuwa nchi itawalike kirahisi, uongo wa shetani eti nchi ingestawi
ila kwa upande fulani, wamezuia machafuko, yaani hali ingekuwa shwari bila hayo matambiko hii Tz ilivyojawa na wanaojifanya much knowers kingenuka kila siku. ila watu wamepozwa mno sometimes najiulizaga hivi viongozi wa kijeshi hawajawahi kuwaza kuishika nchi hata siku 1, kweliiiiiii!
 
Nyie waongo watupu. Lindi sio mkoa masikini kuliko yote TZ. Yaani hata darasa la 7 anapata hilo swali. Wewe inaonekana ndio wale wale unafaulu kwa madesa.

sababu za mikoa mingi ya pwani kuwa masikini ndio utakuwa hujui kabisa
Kwa manenoo ni mkoa tajiri kuliko mkoa wowote nchi hii ila kwa muonekano Ni MASKINI KULIKO!!!
 
Damu ya nduguyo[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Hapa ndipo nimekuelewa zaidi.
 
Aiseee haya watu mnayapatia wapi?
Mbona mna madini makubwa Sana?
 
Kuna vitu nakamilisha niliandike kwa kina... Kuna vitu umenipatia vimenisaidia sana[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Nyerere aliwaficha watz Siri nyingi Sana kupitia media control,thus aliwafanya watz maiti Ili awatawale.
Baada ya upepo wa mabadiliko ya fikra kulinda heshima aliona bora aachie.
Sasa viongozi wa ccm wanaongoza kizazi cha sasa kwa fikra za miaka ya 70,thus awatofaulu.
 
The Sun [emoji295] is going down[emoji116] to Chiolu and soon it will be sunset ...!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…