Kuna tatizo mahali kwenye nafasi ya uongozi nchi hii. Je, kafara la Lindi linahusika?

Kuna tatizo mahali kwenye nafasi ya uongozi nchi hii. Je, kafara la Lindi linahusika?

mtihani kwa mwanadamu[emoji15] yaani MWNYEZI MUNGU wa huruma.upendo.fadhra na rehema tena mwenye upendo mwingi usio pimika kwa viumbe vyake amuumbe mwanadamu halafu amuumbie na matatizo et shetani kawekwa na mungu kutupa mtihani[emoji12].

Kuna mambo inatakiwa uyajua kwanza mpango wa MUNGU kwa viumbe vyake ni tuishi kwa raha mstarehe na sio matatizo yanayo tukumba ndio mana neno lake linasema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maharifa" kusudi la lake maishani mwetu bado ni lile lile tuokolewe na sio yeye kutupa mitihani ndio mana kila mara nasema MUNGU wa kweli nina mashaka kama ni huyu wa kwenye bible na kuroani.

Yaani MUNGU uyu wa israel. wa isack na yakobo.mwenye upendo na huruma kwa viumbe vyake MUNGU muweza wa yote amuumbe binadamu harafu ampe shetani hili awe anamuingiza majaribuni. hivi uwezo wa shetani uoni ni mkubwa sana kiwango sawa na cha malaika wake wenye utashi na uwezo wa hali ya juu hivyo kama amevifanyia hivyo viumbe vyake hasa binadamu ni kuvionea tu. MUNGU awezi kufanya hivyo.

ukisoma biblia na kuchukulia mambo kiwepesi ni kumdhalilisha MUNGU.
mimi sijachukua chochote kutoka kwenye biblia lakini naamini bila shaka imeelezwa kuwa duniani ni sehemu ya mtihani na majaribio wala si sehemu ya kudumu, uhalisia ndio huo tumeumbwa ili tujaribiwe ni nani mwenye vitendo vizuri zaidi na hata hao uliowataja walipewa mitihani ibrahim alikosa mtoto kwa miaka mingapi!? unadhani ni starehe au jaribio?!....kwa kukazia huyo shetani yuko overrated hana umalaika wowote ni jini kama majini wengine sema yeye ana uwezo kwa makusudio maalum ila kwa mtu mchamungu ni mwepesi kama nzi tu..
 
Hakuna taifa lolote duniani lililosimama imara bila nguvu za mkuu wa anga! Kuanzia matambiko mpaka makafara na vyama vya kishetani.

Hivi vyote vimejenga madhabahu zao kwenye kila ardhi ya kila taifa. Wananchi wake wana dini na imani zao lakini mataifa yamesimikwa kwenye hizi madhabahu viapo na makafara.

Tanzania ni taifa kama mataifa mengine duniani, nayo ina makafara na madhabahu zake za kuifanya nchi itawalike iheshimike na iwe na 'stability' kwenye kila nyanja kuanzia kiuchumi, kijamii, kimaono mpaka kiulinzi nk

Kuna makafara ya kuilinda Tanzania yanatajwatajwa sana. Kafara la Bagamoyo na kafara la Lindi! Kafara la Bagamoyo linaelezewa kwa ufasaha na wahusika wake wanajulikana. Shida ipo kwenye usiri mkubwa unaotawala kwenye kafara la Lindi

Hili limebaki kuwa fumbo na tetesi isiyothibitishwa popote. Wanaolijua ni wachache na hulisimulia kwa tahadhari kubwa sana! Lina nini ndani yake hili?

Kafara la Bagamoyo ni la moto na kiongozi wake ni Mzee mchawi marehemu Forojo Ganze na hiki ndicho alikisema kabla ya kukata roho

"Baba, sisi tunataka kuwasha Mwenge na kuuweka juu ya mlima Kilimanjaro, umulike hata nje ya mipaka yetu, ulete tumaini mahala pasipo na tumaini, faraja palipo na huzuni, tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki na heshima palipo na dharau"

Baada ya kutamka hayo mbele ya Mwl. Nyerere, Ganze alikata roho na ndipo ukaanzishwa Mwenge wa Uhuru. Kinachonishangaza hapa ni kile kipengele kisemacho"UMULIKE NJE YA MIPAKA YETU". Ina maana ndani ya nchi tubaki gizani kama tulivyo sasa?

Hli kafara la Bagamoyo tunaweza kuliita kafara la mambo ya nje na lile la Lindi tunaweza kuliita la mambo ya ndani. Sasa hapa ndio penye shida ni kafara la mambo ya ndani na limebaki ndani na kuwa siri kubwa

Mwalimu Nyerere Mchonga meno kwa hakika anayajua vema makafara yote mawili na miiko yake na pengine ndio maana katika tawala zote tangu uhuru ni utawala wake pekee ndio ukifanikiwa kwa kiwango cha juu kwenye
Kuweka misingi sahihi ya uongozi, uwajibikaji na uzalendo
Kuweka misingi sahihi kijamii, kisiasa na kiulinzi
Kuweka misingi sahihi ya kimtazamo na kimaono
Mipango endelevu na dira sahihi tangu tulipoanzia, tulipofikia na tunakoenda

Baada ya hapo waliofuatia wote kila mtu alikuja na MAGAZIJUTO YAKE na sarakasi zake
Baada ya hapo kila aliyeingia alianza vizuri lakini hakuchelewa kuharibu. Kama si kipindi cha kwanza basi cha pili cha uongozi wake

Baada ya hapo waliofuatia wote waliingia kwa upole na unyenyekevu lakini mara wakageuka wajivuni, wababe, na baadhi yao dharau kujikweza na kujimwambafai kwingi...bila kusahau vitisho na ugiligili mwingine mwingi

Baada ya hapo wengine wote watakanguliza maslahi binafsi, ya ndugu zao, jamaa zao na watu wote waliokuwa na maslahi nao

Mambo yanazidi kuharibika na pengine hawaoni wametiwa upofu.. Huu ugiligili sasa ni mpaka kwa viongozi wanaowateua kuwasaidia majukumu ya kiutendaji. Sasa hivi kiongozi akipewa kipaza sauti aongee mbele ya makamera asipotoa boko basi atatoa kituko cha karne ama kuongea yasiyowezekana

Matamko ni mengi mno
Maelekezo ni mengi mno
Makatazo ni mengi mno
Maonyo ni mengi mno
Yani haya ni mengi mno mpaka yanapishana barabarani na kupigana vibega

Kuna tatizo kubwa la kiuongozi na hili lina mizizi mirefu tangu ang'atuke mwalimu. Je, kwa mtazamo wa kiroho ni lile kafara la Lindi?

Wakati utaongea. Hebu tuupe muda!
Sikuhizi weye mgonjwa unaandika vitu havieleweki au umewehuka?
 
Hakuna taifa lolote duniani lililosimama imara bila nguvu za mkuu wa anga! Kuanzia matambiko mpaka makafara na vyama vya kishetani.

Hivi vyote vimejenga madhabahu zao kwenye kila ardhi ya kila taifa. Wananchi wake wana dini na imani zao lakini mataifa yamesimikwa kwenye hizi madhabahu viapo na makafara.

Tanzania ni taifa kama mataifa mengine duniani, nayo ina makafara na madhabahu zake za kuifanya nchi itawalike iheshimike na iwe na 'stability' kwenye kila nyanja kuanzia kiuchumi, kijamii, kimaono mpaka kiulinzi nk

Kuna makafara ya kuilinda Tanzania yanatajwatajwa sana. Kafara la Bagamoyo na kafara la Lindi! Kafara la Bagamoyo linaelezewa kwa ufasaha na wahusika wake wanajulikana. Shida ipo kwenye usiri mkubwa unaotawala kwenye kafara la Lindi

Hili limebaki kuwa fumbo na tetesi isiyothibitishwa popote. Wanaolijua ni wachache na hulisimulia kwa tahadhari kubwa sana! Lina nini ndani yake hili?

Kafara la Bagamoyo ni la moto na kiongozi wake ni Mzee mchawi marehemu Forojo Ganze na hiki ndicho alikisema kabla ya kukata roho

"Baba, sisi tunataka kuwasha Mwenge na kuuweka juu ya mlima Kilimanjaro, umulike hata nje ya mipaka yetu, ulete tumaini mahala pasipo na tumaini, faraja palipo na huzuni, tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki na heshima palipo na dharau"

Baada ya kutamka hayo mbele ya Mwl. Nyerere, Ganze alikata roho na ndipo ukaanzishwa Mwenge wa Uhuru. Kinachonishangaza hapa ni kile kipengele kisemacho"UMULIKE NJE YA MIPAKA YETU". Ina maana ndani ya nchi tubaki gizani kama tulivyo sasa?

Hli kafara la Bagamoyo tunaweza kuliita kafara la mambo ya nje na lile la Lindi tunaweza kuliita la mambo ya ndani. Sasa hapa ndio penye shida ni kafara la mambo ya ndani na limebaki ndani na kuwa siri kubwa

Mwalimu Nyerere Mchonga meno kwa hakika anayajua vema makafara yote mawili na miiko yake na pengine ndio maana katika tawala zote tangu uhuru ni utawala wake pekee ndio ukifanikiwa kwa kiwango cha juu kwenye
Kuweka misingi sahihi ya uongozi, uwajibikaji na uzalendo
Kuweka misingi sahihi kijamii, kisiasa na kiulinzi
Kuweka misingi sahihi ya kimtazamo na kimaono
Mipango endelevu na dira sahihi tangu tulipoanzia, tulipofikia na tunakoenda

Baada ya hapo waliofuatia wote kila mtu alikuja na MAGAZIJUTO YAKE na sarakasi zake
Baada ya hapo kila aliyeingia alianza vizuri lakini hakuchelewa kuharibu. Kama si kipindi cha kwanza basi cha pili cha uongozi wake

Baada ya hapo waliofuatia wote waliingia kwa upole na unyenyekevu lakini mara wakageuka wajivuni, wababe, na baadhi yao dharau kujikweza na kujimwambafai kwingi...bila kusahau vitisho na ugiligili mwingine mwingi

Baada ya hapo wengine wote watakanguliza maslahi binafsi, ya ndugu zao, jamaa zao na watu wote waliokuwa na maslahi nao

Mambo yanazidi kuharibika na pengine hawaoni wametiwa upofu.. Huu ugiligili sasa ni mpaka kwa viongozi wanaowateua kuwasaidia majukumu ya kiutendaji. Sasa hivi kiongozi akipewa kipaza sauti aongee mbele ya makamera asipotoa boko basi atatoa kituko cha karne ama kuongea yasiyowezekana

Matamko ni mengi mno
Maelekezo ni mengi mno
Makatazo ni mengi mno
Maonyo ni mengi mno
Yani haya ni mengi mno mpaka yanapishana barabarani na kupigana vibega

Kuna tatizo kubwa la kiuongozi na hili lina mizizi mirefu tangu ang'atuke mwalimu. Je, kwa mtazamo wa kiroho ni lile kafara la Lindi?

Wakati utaongea. Hebu tuupe muda!
Wacha waloz waje
 
Hivi huyo mkuu wa anga ni nani? Hapa kuna jirani yangu kila akisali anasema ANAMTEKA MKUU WA ANGA. Yaani leo anamteka, kesho anamteka tena wala hatusikii lini huyo mkuu wa anga amekimbia mateka

hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mkuu umeniacha hoi
 
mimi sijachukua chochote kutoka kwenye biblia lakini naamini bila shaka imeelezwa kuwa duniani ni sehemu ya mtihani na majaribio wala si sehemu ya kudumu, uhalisia ndio huo tumeumbwa ili tujaribiwe ni nani mwenye vitendo vizuri zaidi na hata hao uliowataja walipewa mitihani ibrahim alikosa mtoto kwa miaka mingapi!? unadhani ni starehe au jaribio?!....kwa kukazia huyo shetani yuko overrated hana umalaika wowote ni jini kama majini wengine sema yeye ana uwezo kwa makusudio maalum ila kwa mtu mchamungu ni mwepesi kama nzi tu..
nijibu haya maswali

1. nani alie tuumba?

2.dhumuni la alie tuumba ni nini?

3.je dhumuni la alie tuumba sisi ni tuteseke na hizi shida za duniani na maangaiko yake ambayo unaita ni mitihani/majaribio??

tuanzie hapo ukijibu nadhani tutafikia muafaka mimi na wewe.
 
SOMA VIZURI HIYO SEHEMU ULIYOANDIKA " Umulike hata nje ya Mipaka yetu" maana yake ndni ya mipaka yetu limezingatiwa.
Unajidanganya tu. Mtakuja kusema pia Azimio la Arusha lilikuwa kafara, Azimio la Musoma na Iringa yote makafara.
Vilaza kweli wako wengi. Japo wana Tanu /ccm walieleza dhamira ya Mwenge na ilerleweka kizazi cha leo kinahusicha na matambiko.
Duu hatare
 
nijibu haya maswali

1. nani alie tuumba?

2.dhumuni la alie tuumba ni nini?

3.je dhumuni la alie tuumba sisi ni tuteseke na hizi shida za duniani na maangaiko yake ambayo unaita ni mitihani/majaribio??

tuanzie hapo ukijibu nadhani tutafikia muafaka mimi na wewe.
sawa kwa ufupi, alietuumba sisi na vitu vyote ni mwenyezi mungu na madhumuni ya kutuumba si kumnufaisha au kumpa faida yeyote bali ametuumba ili tu tumuabudu yeye peke yake....sasa eneo la kuishi ni duniani kama jina lilivyo ni eneo duni na lisilo thamani starehe zake hazidumu na neema zake vilevile bali mambo hapo huenda kwa noba leo furaha na shangwe kesho matatizo na huzuni hayo ndio maisha ya duniani na si kwa kuwadhulumu au kuwaonea hao viumbe wake bali kwa kuwapa mtihani na kuwajaribu ni nani atafanya vitendo vizuri zaidi na ni nani atakuwa mwenye subra na uvumilivu..

kisha baada ya kurudi kwake ambapo ndipo tulipotoka hapo awali tutakwenda kulipwa uzuri kwa uzuri zaidi na ubaya kwa ubaya zaidi...na twendapo juu ya maneno haya utambue hapa duniani sio kwetu hatukuandikiwa kuishi hapa milele, laiti ukiona maisha yalivyo mafupi na yasivyodumu utazingatia ninachokisema..

shukran..
 
Mkuu, hapa kuna Tunu za Taifa. Ni vema histotia ya Taifa ibaki kama ilivyo, na lisipunguzwe neno katika sentesi kwa nia ya kuleta mkanganyo.

Kabla ya Tanganyika kuwa Jamhuri, Baba wa Taifa Hayati Mwl.J K.N. pamoja na mambo mengine, alifanya mambo mawili ya msingi., (1)aliwasilisha UN ramani ya Tanganyika. Ilipokelewa na hakuna aliyeihoji. Hata baadaye, chokochoko ya ziwa Nyasa ni la Malawi., mlima Kilimanjaro na North Mara (Tarime&Rorya) ni sehemu ya Kenya., mpaka wa Burundi na Tanganyika upo Kahama, hivyo Kigoma na baadhi ya maeneo ya Tabora na Katavi ni sehemu ya Burundi zilikosa mashiko.
(2) alihutubia kikao cha UN na kueleza, nanukuu "SISI TUNATAKA KUWASHA MWENGE, NA KUUWEKA JUU YA MLIMA KILIMANJARO. UMULIKE HATA NJE YA MIPAKA YETU, ULETE TUMAINI, PALE AMBAKO HAKUNA MATUMAINI, UPENDO MAHALI AMBAKO PANA CHUKI, NA HESHIMA AMBAKO PAMEJAA DHARAU. Na huu ulikuwa msingi mkuu wa Sera ya nje ya Tanganyika.
Baada ya Tanganyika kuwa Jamhuri, Baba wa Taifa aliamini na aliwaeleza wananchi kuwa Tanganyika haiwezi kuwa huru, kama nchi nyingine zitakuwa chini ya ukoloni na utawala wa mabavu. Na ndio ukawa mwanzo wa kuunga mkono jitihada za ukombozi kusini mwa Afrika, Sahara Magharibi, Biafra na hata Palestina.

Ufafanuzi zaidi utaupata endapo utatafuta, nini maana ya:-
~Ramani
~Bendera
~Ngao/Nembo ya Taifa @ bi & bw
~Twiga
~Mwenge wa Uhuru
Ikiongezeka na Lugha ya Kiswahili, Umoja na Amani

Ni maoni yangu,
 
sawa kwa ufupi, alietuumba sisi na vitu vyote ni mwenyezi mungu na madhumuni ya kutuumba si kumnufaisha au kumpa faida yeyote bali ametuumba ili tu tumuabudu yeye peke yake....sasa eneo la kuishi ni duniani kama jina lilivyo ni eneo duni na lisilo thamani starehe zake hazidumu na neema zake vilevile bali mambo hapo huenda kwa noba leo furaha na shangwe kesho matatizo na huzuni hayo ndio maisha ya duniani na si kwa kuwadhulumu au kuwaonea hao viumbe wake bali kwa kuwapa mtihani na kuwajaribu ni nani atafanya vitendo vizuri zaidi na ni nani atakuwa mwenye subra na uvumilivu..

kisha baada ya kurudi kwake ambapo ndipo tulipotoka hapo awali tutakwenda kulipwa uzuri kwa uzuri zaidi na ubaya kwa ubaya zaidi...na twendapo juu ya maneno haya utambue hapa duniani sio kwetu hatukuandikiwa kuishi hapa milele, laiti ukiona maisha yalivyo mafupi na yasivyodumu utazingatia ninachokisema..

shukran..
kuhusu dhumuni la kutuumba hupo sahihi lakini pengine umepuyanga .

Maana aujasema bado chanzo cha binadamu kufukuzwa bustanini!!

ulichoeleza hapo ni kwamba MUNGU alikusudia kutuleta kwwnye ulmwengu wa mateso moja kwa moja.mkuu nakwambia bado unaitaji kujifunza nakuukubali ukweli sio kupinga tu.
 
kuhusu mfalme suleman kwanza kabisa utambue kuna mambo biblia imeyaficha aijayaweka wazi yakupasa msomaji uwe na fikra pana unapoisoma hili uielewe yakuhitaji pia uwe nje ya boksi.

Na utambue kabisa kwenye hivi vitabu kuna mkanganyiko mkubwa wa mambo lakini kama uakua mtu mwenye fikra pana karibu tueleweshane naamini tutafikia muafaka.
Nimeishia kusoma hapo ulipoandika hili badala ya ili..
Nikasema huyu nae ni mmojawapo wa wajinga wa humu jf.
Get some time to school yourself the way you write a single sentence.
 
Hakuna taifa lolote duniani lililosimama imara bila nguvu za mkuu wa anga! Kuanzia matambiko mpaka makafara na vyama vya kishetani.

Hivi vyote vimejenga madhabahu zao kwenye kila ardhi ya kila taifa. Wananchi wake wana dini na imani zao lakini mataifa yamesimikwa kwenye hizi madhabahu viapo na makafara.

Tanzania ni taifa kama mataifa mengine duniani, nayo ina makafara na madhabahu zake za kuifanya nchi itawalike iheshimike na iwe na 'stability' kwenye kila nyanja kuanzia kiuchumi, kijamii, kimaono mpaka kiulinzi nk

Kuna makafara ya kuilinda Tanzania yanatajwatajwa sana. Kafara la Bagamoyo na kafara la Lindi! Kafara la Bagamoyo linaelezewa kwa ufasaha na wahusika wake wanajulikana. Shida ipo kwenye usiri mkubwa unaotawala kwenye kafara la Lindi

Hili limebaki kuwa fumbo na tetesi isiyothibitishwa popote. Wanaolijua ni wachache na hulisimulia kwa tahadhari kubwa sana! Lina nini ndani yake hili?

Kafara la Bagamoyo ni la moto na kiongozi wake ni Mzee mchawi marehemu Forojo Ganze na hiki ndicho alikisema kabla ya kukata roho

"Baba, sisi tunataka kuwasha Mwenge na kuuweka juu ya mlima Kilimanjaro, umulike hata nje ya mipaka yetu, ulete tumaini mahala pasipo na tumaini, faraja palipo na huzuni, tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki na heshima palipo na dharau"

Baada ya kutamka hayo mbele ya Mwl. Nyerere, Ganze alikata roho na ndipo ukaanzishwa Mwenge wa Uhuru. Kinachonishangaza hapa ni kile kipengele kisemacho"UMULIKE NJE YA MIPAKA YETU". Ina maana ndani ya nchi tubaki gizani kama tulivyo sasa?

Hli kafara la Bagamoyo tunaweza kuliita kafara la mambo ya nje na lile la Lindi tunaweza kuliita la mambo ya ndani. Sasa hapa ndio penye shida ni kafara la mambo ya ndani na limebaki ndani na kuwa siri kubwa

Mwalimu Nyerere Mchonga meno kwa hakika anayajua vema makafara yote mawili na miiko yake na pengine ndio maana katika tawala zote tangu uhuru ni utawala wake pekee ndio ukifanikiwa kwa kiwango cha juu kwenye
Kuweka misingi sahihi ya uongozi, uwajibikaji na uzalendo
Kuweka misingi sahihi kijamii, kisiasa na kiulinzi
Kuweka misingi sahihi ya kimtazamo na kimaono
Mipango endelevu na dira sahihi tangu tulipoanzia, tulipofikia na tunakoenda

Baada ya hapo waliofuatia wote kila mtu alikuja na MAGAZIJUTO YAKE na sarakasi zake
Baada ya hapo kila aliyeingia alianza vizuri lakini hakuchelewa kuharibu. Kama si kipindi cha kwanza basi cha pili cha uongozi wake

Baada ya hapo waliofuatia wote waliingia kwa upole na unyenyekevu lakini mara wakageuka wajivuni, wababe, na baadhi yao dharau kujikweza na kujimwambafai kwingi...bila kusahau vitisho na ugiligili mwingine mwingi

Baada ya hapo wengine wote watakanguliza maslahi binafsi, ya ndugu zao, jamaa zao na watu wote waliokuwa na maslahi nao

Mambo yanazidi kuharibika na pengine hawaoni wametiwa upofu.. Huu ugiligili sasa ni mpaka kwa viongozi wanaowateua kuwasaidia majukumu ya kiutendaji. Sasa hivi kiongozi akipewa kipaza sauti aongee mbele ya makamera asipotoa boko basi atatoa kituko cha karne ama kuongea yasiyowezekana

Matamko ni mengi mno
Maelekezo ni mengi mno
Makatazo ni mengi mno
Maonyo ni mengi mno
Yani haya ni mengi mno mpaka yanapishana barabarani na kupigana vibega

Kuna tatizo kubwa la kiuongozi na hili lina mizizi mirefu tangu ang'atuke mwalimu. Je, kwa mtazamo wa kiroho ni lile kafara la Lindi?

Wakati utaongea. Hebu tuupe muda!
Kaka itabidi ufanye utafiti tufahamu hili la Lindi ilikuwaje
 
Back
Top Bottom