Kuna tatizo mahali kwenye nafasi ya uongozi nchi hii. Je, kafara la Lindi linahusika?

Kuna tatizo mahali kwenye nafasi ya uongozi nchi hii. Je, kafara la Lindi linahusika?

JamiiForums2083392286.jpg


Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
 
Hili jambo lipo spiritual na linaathiri kuanzia ardhi,mimea,wanyama, resources aina zote Hadi viongozi.

Angàlia nchi zingine wanakotokea hadi nchi zao zinapofika Rwanda,South Korea,Angola, Singapore,Japan Kwa uchache na sio kwamba wao wanamcha Mungu wa Kweli

Jambo likifanyika rohoni linamaliza kabisa huku ulimwengu mwili.

Tanzania mkombozi wa Afrika eti ni ovyo , masikini,uongozi usio na dira. Eti Nyerere aliingiza nchi vita vya Kagera na ujamaa ambao China ,Urusi ,Ujerumani Mashariki na wengine wamebadilika vizuri.

Eti akaja Mwinyi akauza Loliondo na madudu mengine.KATABALO yakamkuta.......Akaja Mkapa akaleta Network Solutions ya SA ,akauza NBC kiajabu na program yake ya kuiondoa serikali kwenye biashara,akaiba mno mfano Radar,Meremeta na ishu za akina. Daudi Balali.Akanunua hotel South Afrika ANBEN mgodi wa makaa ya mawe.Sethy Chachage akaandika MAKUWADI WA SOKO HURIA ..........

Akaja JK naye akaiba mno Tegeta ESCROW account,Kagoda Agriculture,Twin Towers za BOT,RICHMOND na zingine ambazo nikipata muda nitakumbushia.Pia mihadarati ikashamiri mno.Kutokuwajibika ,Rais kuwa VAsco Da Gama anasafiri duniani kuliko kukaa nchini tena na delegates zinazofilisi nchi kwa gharama kupitia kodi za wavuja jasho. Kina KUBENEA,DR. ULIMBOKA na Mhariri wa TANZANIA DAIMA .........

Tukumbuke Rais ni Sponsor anapokea briefings zote hakuna kitu kibaya kinafanyika hajapewa intelli sema yeye akaamua tu kuwa anajinufaisha na ukoo wake na washkaji na tabaka la watawala kwenye chama chake.Ukielewa haya utajua jinsi laana zenyewe zilivyo

Akaja jiwe yeye akaua sekta binafsi,akazuia Ajira majamaa wamerundikana mitaani kwani wakiomba kuajiri haruhusu na akruhusu ni wawili watatu tu Hadi wanajilamu kusoma na kuzuia kupanda madaraja makazini na mishahara,tenda zote zikabakia kwenye makampuni ya serikali,akaua Precision Air,Fast Jet kutengeneza monopoly ya Air Tanzania wakati ushindani huboresha biashara.Akateua watu hao daah,akajikompramandi Kwa PK Mtu mrefu .Akazuia mikutano na Harakati za vyama vya siasa , wananchi hawajui hata nchi inaenda vipi na wapo kwenye umasikini na kukaa gizani kifikra Hadi kwenye nyumba zao.Mahoteli yakafa,makampuni ya utalii na ulinzi binafsi yakajifia


Akaweka ndugu jamaa na marafiki Hadi mabibi ,cabal yake ikafurahia mno kuliko Taifa.Akaanza kucrack down vyombo vya habari,AZISE,hapa kulitungwa sheria za ajabu kwa dharura za vyombo vya habari ,mitandao ya kijamii kama JF,vyama vya siasa.
Akina CAG wakaondolewa,sheria za NSSF na mashirika mengine zikabadlishwa na kutengeneza monopoly,bodi ya mikopo ikaweka madaraja mengi,

Akajaza mitambo na Ajira za vyombo vya Dola kujilinda sio PCCCB,Kitengo ,na kwingine.Akaenda kwenye chama akabadili katiba.Akawabana watoa mawazo na maoni mbadala,ikawa ni usifiaji tu hatukui Kwa kusifiwa tu yaani his ego was so BIIG.Akaanza kuwanunua wapinzani na kuwapa nafasi za juu serikalini

Wakaanza kubeep kuw atawale milele akawa kama anakataa kumbe.Ukaja uchaguzi mkuu wakaurig mno wakaweka bunge lisilo na mawazo mbadala 'Wapinzani wametucherewesha sana ' Walizima Hadi mitandao.Eti Kuna wabunge19 viti maalum ambao wengine walishinda wakaombwa waachie tu watapitishwa mlango wa nyuma.

Lengo lililojificha ilikuwa kutawala maisha ila bahati mbaya mambo yakaenda sio.Yaani nchi inapitia dhoruba zisizoisha

Sasa wananchi waliosoma na kuandaliwa tangu uhuru leo ni kama mayatima,humjui mtu hupati stahiki yako,Wala Ajira ni mwendo wa connection,ukifungua biashara TRA na wengineo wanakumaliza mapema ni tozo na sheria za ajabu.

Wawekezaji wanajuta,wapya hawathubutu kusogeza pua,hofu imejaa

Walioumia ni Azory Gwanda,Roma Mkatoliki,Abdul Nondo,Ben Rabiu Saa nane, Tundu Lisu,Freeman Mbowe,Peter Msigwa,Godbless Lema,.......

Nchi Haina dira kuu, malengo ,sera mbovu zinabadilika akiingia mtawala mpya yaani sio sera zinaongoza ni utashi w mtu.Rushwa zimetawala,hakuna haki,ubabe yaani laana za mazindiko kutokea rohoni kuja kuku physical realm

HII NCHI INATAKIWA IPONE KWANI MBELE NI GIZA ZAIDI HAYA MATAMBIKO DUUH
Uneanza kuharibu
 
Kuna tatizo kubwa la kiuongozi na hili lina mizizi mirefu tangu ang'atuke mwalimu. Je, kwa mtazamo wa kiroho ni lile kafara la Lindi?

Wakati utaongea. Hebu tuupe muda!
Ukweli mchungu ni kwamba, Kafara la Lindi halina uhusiano wowote na tatizo la kiuongozi kwenye taifa hili isipokuwa kuna kila dalili ni hilo kafara ndilo limefanya Watanzania wengi kuwa mazombi!!!

Afrika hii hakuna pahala palipowahi kuwa na viongozi bora lakini kwavile huko kwingine wananchi wao sio mazombi kama Watanzania, ndo maana unakuta wanafanya mabadiliko... iwe kwa shari au kwa heri!!

Yaani pamoja na yote yanayoendelea, bado unakuta hadi kwenye vyuo vikuu nako kuna ufuasi mkubwa tu wa CCM!! Kama sio uzombi tuite nini?!

Mfumo wa vyama vingi umeanza rasmi 1992! Kwa maana nyingine, waliozaliwa 1990 hawajui lolote kuhusu chama kushika hatamu!

And in fact, hata aliyezaliwa 1987, hawajui lolote kuhusu chama kushika hatamu, au mfumo wa chama kimoja!!

Lakini ni hao hao waliozaliwa from 1987 ndio wanaounda population kubwa zaidi Tanzania!!!

Hivi hata mtu aliyezaliwa 1986 atakuwa anafahamu nini kuhusu mfumo wa chama kimoja?!

Lakini pamoja na yote hayo, hebu kaa chini na tafakari!! Umekutana na vijana wangapi walio below 35 ambao wanaishabikia CCM?!

Umekutana na vijana wangapi walio below 35 wanaojitoa ufahamu na kushabikia flyovers zinazojengwa kwa kuona ndo tayari tunaelekea kuwa Dubai?!

Hayo yote hayatokani na uongozi bali yanatokana na uzombi wetu!!

Of course, ni uongozi ndio unatoa elimu ya ovyo na hatimae kuwafanya Watanzania kuwa mazombi, lakini akina Bibi Titi Mohamed sidhani kama waliwahi kuingia darasani lakini waliona Mkoloni hatufai!!!

Bara na pwani kote wakaupinga ukoloni, ingawaje majority hawakujua hata kuandika majina yao!!

I wish ningekuwa na ujasiri wa kuelezea historia ya baba yangu ambae viunga fulani vya Temeke alikuwa anaitwa jina la Mpambanaji Mmoja barani Afrika to the point, wakati nikiwa mdogo nikiulizwa jina langu, nilikuwa nai-include jina la huyo mpambanaji wa Afrika kwa sababu hilo jina lilikuwa maarufu sana kwa mzee hadi nikadhani ni jina lake halisi!!

Hakuitwa hilo jina kwa bahati mbaya!!

Nakuja kupata akili, Bi Mkubwa wangu ananiambia "baba ako mjanja mjanja tu yule, hata shule hakwenda"!! Wallah sikuamini, especially niliposikia hata kusoma na kuandika alifundishwa na mother!!!

Lakini pamoja na kutokwenda shule kwake, bado hakuwa zombi na ndo maana alipachikwa jina la huyi Mpigani Uhuru mmoja!! Hakuwa zombi kwa sababu Kafara la Lindi lilikuwa bado!!

And guess what... ingawaje alikulia TANU na CCM lakini yeye alikuwa ni miongoni mwa wana-CCM wa mwanzo kabisa kusambaza kadi za NCCR-Mageuzi, nadhani hata kabla vyama vya upinzani havijaruhusiwa rasmi!!

Hao ndo wale watu ambao walikua (growing) kabla ya Kafara la Lindi, kwahiyo kafara hilo lilishindwa kuwafanya kuwa Mazombi!!
 
Ukweli mchungu ni kwamba, Kafara la Lindi halina uhusiano wowote na tatizo la kiuongozi kwenye taifa hili isipokuwa kuna kila dalili ni hilo kafara ndilo limefanya Watanzania wengi kuwa mazombi!!!

Afrika hii hakuna pahala palipowahi kuwa na viongozi bora lakini kwavile huko kwingine wananchi wao sio mazombi kama Watanzania, ndo maana unakuta wanafanya mabadiliko... iwe kwa shari au kwa heri!!

Yaani pamoja na yote yanayoendelea, bado unakuta hadi kwenye vyuo vikuu nako kuna ufuasi mkubwa tu wa CCM!! Kama sio uzombi tuite nini?!

Mfumo wa vyama vingi umeanza rasmi 1992! Kwa maana nyingine, waliozaliwa 1990 hawajui lolote kuhusu chama kushika hatamu!

And in fact, hata aliyezaliwa 1987, hawajui lolote kuhusu chama kushika hatamu, au mfumo wa chama kimoja!!

Lakini ni hao hao waliozaliwa from 1987 ndio wanaounda population kubwa zaidi Tanzania!!!

Hivi hata mtu aliyezaliwa 1986 atakuwa anafahamu nini kuhusu mfumo wa chama kimoja?!

Lakini pamoja na yote hayo, hebu kaa chini na tafakari!! Umekutana na vijana wangapi walio below 35 ambao wanaishabikia CCM?!

Umekutana na vijana wangapi walio below 35 wanaojitoa ufahamu na kushabikia flyovers zinazojengwa kwa kuona ndo tayari tunaelekea kuwa Dubai?!

Hayo yote hayatokani na uongozi bali yanatokana na uzombi wetu!!

Of course, ni uongozi ndio unatoa elimu ya ovyo na hatimae kuwafanya Watanzania kuwa mazombi, lakini akina Bibi Titi Mohamed sidhani kama waliwahi kuingia darasani lakini waliona Mkoloni hatufai!!!

Bara na pwani kote wakaupinga ukoloni, ingawaje majority hawakujua hata kuandika majina yao!!

I wish ningekuwa na ujasiri wa kuelezea historia ya baba yangu ambae viunga fulani vya Temeke alikuwa anaitwa jina la Mpambanaji Mmoja barani Afrika to the point, wakati nikiwa mdogo nikiulizwa jina langu, nilikuwa nai-include jina la huyo mpambanaji wa Afrika kwa sababu hilo jina lilikuwa maarufu sana kwa mzee hadi nikadhani ni jina lake halisi!!

Hakuitwa hilo jina kwa bahati mbaya!!

Nakuja kupata akili, Bi Mkubwa wangu ananiambia "baba ako mjanja mjanja tu yule, hata shule hakwenda", wallah sikuamini, especially niliposikia hata kusoma na kuandika alifundishwa na mother!!!

Lakini pamoja na kutokwenda shule kwake, bado hakuwa zombi na ndo maana alipachikwa jina la huyi Mpigani Uhuru mmoja!! Hakuwa zombi kwa sababu Kafara la Lindi lilikuwa bado!!

And guess what... ingawaje alikulia TANU na CCM lakini yeye alikuwa ni miongoni mwa wana-CCM wa mwanzo kabisa kusambaza kadi za NCCR-Mageuzi, nadhani hata kabla vyama vya upinzani havijaruhusiwa rasmi!!

Hao ndo wale watu ambao walikua (growing) kabla ya Kafara la Lindi, kwahiyo kafara hilo lilishindwa kuwafanya kuwa Mazombi!!
Nakuja kupata akili, Bi Mkubwa wangu ananiambia "baba ako mjanja mjanja tu yule, hata shule hakwenda", wallah sikuamini, especially niliposikia hata kusoma na kuandika alifundishwa na mother!!![emoji23] [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Ukweli mchungu ni kwamba, Kafara la Lindi halina uhusiano wowote na tatizo la kiuongozi kwenye taifa hili isipokuwa kuna kila dalili ni hilo kafara ndilo limefanya Watanzania wengi kuwa mazombi!!!

Afrika hii hakuna pahala palipowahi kuwa na viongozi bora lakini kwavile huko kwingine wananchi wao sio mazombi kama Watanzania, ndo maana unakuta wanafanya mabadiliko... iwe kwa shari au kwa heri!!

Yaani pamoja na yote yanayoendelea, bado unakuta hadi kwenye vyuo vikuu nako kuna ufuasi mkubwa tu wa CCM!! Kama sio uzombi tuite nini?!

Mfumo wa vyama vingi umeanza rasmi 1992! Kwa maana nyingine, waliozaliwa 1990 hawajui lolote kuhusu chama kushika hatamu!

And in fact, hata aliyezaliwa 1987, hawajui lolote kuhusu chama kushika hatamu, au mfumo wa chama kimoja!!

Lakini ni hao hao waliozaliwa from 1987 ndio wanaounda population kubwa zaidi Tanzania!!!

Hivi hata mtu aliyezaliwa 1986 atakuwa anafahamu nini kuhusu mfumo wa chama kimoja?!

Lakini pamoja na yote hayo, hebu kaa chini na tafakari!! Umekutana na vijana wangapi walio below 35 ambao wanaishabikia CCM?!

Umekutana na vijana wangapi walio below 35 wanaojitoa ufahamu na kushabikia flyovers zinazojengwa kwa kuona ndo tayari tunaelekea kuwa Dubai?!

Hayo yote hayatokani na uongozi bali yanatokana na uzombi wetu!!

Of course, ni uongozi ndio unatoa elimu ya ovyo na hatimae kuwafanya Watanzania kuwa mazombi, lakini akina Bibi Titi Mohamed sidhani kama waliwahi kuingia darasani lakini waliona Mkoloni hatufai!!!

Bara na pwani kote wakaupinga ukoloni, ingawaje majority hawakujua hata kuandika majina yao!!

I wish ningekuwa na ujasiri wa kuelezea historia ya baba yangu ambae viunga fulani vya Temeke alikuwa anaitwa jina la Mpambanaji Mmoja barani Afrika to the point, wakati nikiwa mdogo nikiulizwa jina langu, nilikuwa nai-include jina la huyo mpambanaji wa Afrika kwa sababu hilo jina lilikuwa maarufu sana kwa mzee hadi nikadhani ni jina lake halisi!!

Hakuitwa hilo jina kwa bahati mbaya!!

Nakuja kupata akili, Bi Mkubwa wangu ananiambia "baba ako mjanja mjanja tu yule, hata shule hakwenda", wallah sikuamini, especially niliposikia hata kusoma na kuandika alifundishwa na mother!!!

Lakini pamoja na kutokwenda shule kwake, bado hakuwa zombi na ndo maana alipachikwa jina la huyi Mpigani Uhuru mmoja!! Hakuwa zombi kwa sababu Kafara la Lindi lilikuwa bado!!

And guess what... ingawaje alikulia TANU na CCM lakini yeye alikuwa ni miongoni mwa wana-CCM wa mwanzo kabisa kusambaza kadi za NCCR-Mageuzi, nadhani hata kabla vyama vya upinzani havijaruhusiwa rasmi!!

Hao ndo wale watu ambao walikua (growing) kabla ya Kafara la Lindi, kwahiyo kafara hilo lilishindwa kuwafanya kuwa Mazombi!!
And guess what... ingawaje alikulia TANU na CCM lakini yeye alikuwa ni miongoni mwa wana-CCM wa mwanzo kabisa kusambaza kadi za NCCR-Mageuzi, nadhani hata kabla vyama vya upinzani havijaruhusiwa rasmi!!
Had guts...[emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1534]
 
Back
Top Bottom