Kiplayer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 1,180
- 1,964
KASICHANA HAKOWewe bado ni mtoto hujawa mwanamke acha kuhangaisha akili na visivyokuhusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KASICHANA HAKOWewe bado ni mtoto hujawa mwanamke acha kuhangaisha akili na visivyokuhusu
Naanza vp kujioa mwenyewe wakat npo engaged bado ndoa tuumeandika kwa hasira sana,
NB;Usipo badirika utajioa kama wazungu
Shida haiko kwa wazazi au kwangu shida iko kwenu mnaamini vitu ambavo sio sawaKama wewe ni mzungu sawa,lakini kama ni mswahili mwenzetu naona hapo kuna kitu hakipo sawa,na inawezekana shida imeanzia kwa wazazi wako kwahiyo sikulaumu sana...
Asemi kitu. Tena km nmeamka mapema mfululizo ananiambia lala upumzikekwani mama yako mzazi anasemaje? sabab nna uhakika yeye ndio role model wako
Tupia picha yako tukufanyie tathmini ambayo ni detailedShida haiko kwa wazazi au kwangu shida iko kwenu mnaamini vitu ambavo sio sawa
Siku nikiolewa nitakualika 😉Kuna mtu atakuja kuoa hii punda
Chineke..!
Umesema umewasikia wa mama!!! Hapo nyumbani kama mama yako yupo kamueleze mama nimesikia ivi na ivi then mama atakuelewesha kwann uwamke mapema!!!! Kufanya kazi mwanamke ni sawa maisha ya sasa ivi mnasaidizana ila hiyo bado haikufanyi ulale sana.... Faida yakuamka mapema unakuwa active na mwili unausikia poa...!!!! Kulala sana ni ugonjwa na kutokuwa na majukumu" ndo sababu kuna mtu kakwambia subiri uzae maana heka heka za mtoto lazima uwamke mapema....!!!! Ivyo ni kawaida kwa mwanamke mwenye heshima na emefundshwa kuamka mapema nakuandaa familia yake kuanzia mume na watoto wako... Though haimanishi kidume ndo alale sana hapana nae anatakiwa aamke mapema akusaidie!!!! Kifupi kama mnapendana wote mtaamka mapema na kuna siku pia wewe mwanamke unakuwa umechoka men anaamka mapema nakuweka vitu sawa na ndo goodlife so ulazima upo sana wakuamka mapemaSiku hzi wanawake pia wanafanya kazi
kwani ukiwa na kazi ukiachika unakwenda kazini au??Wewe kama umeolewa na ni golikipa unamtegemea mumeo kwa kila kitu amka tu mapema mama ikibidi hata saa kumi kusudi usije ukaachika ukatimuliwa ukakosa kwa kwenda bure
Case closed [emoji1666]Umesema umewasikia wa mama!!! Hapo nyumbani kama mama yako yupo kamueleze mama nimesikia ivi na ivi then mama atakuelewesha kwann uwamke mapema!!!! Kufanya kazi mwanamke ni sawa maisha ya sasa ivi mnasaidizana ila hiyo bado haikufanyi ulale sana.... Faida yakuamka mapema unakuwa active na mwili unausikia poa...!!!! Kulala sana ni ugonjwa na kutokuwa na majukumu" ndo sababu kuna mtu kakwambia subiri uzae maana heka heka za mtoto lazima uwamke mapema....!!!! Ivyo ni kawaida kwa mwanamke mwenye heshima na emefundshwa kuamka mapema nakuandaa familia yake kuanzia mume na watoto wako... Though haimanishi kidume ndo alale sana hapana nae anatakiwa aamke mapema akusaidie!!!! Kifupi kama mnapendana wote mtaamka mapema na kuna siku pia wewe mwanamke unakuwa umechoka men anaamka mapema nakuweka vitu sawa na ndo goodlife so ulazima upo sana wakuamka mapema
Sent using Jamii Forums mobile app
Naanza vp kujioa mwenyewe wakat npo engaged bado ndoa tu
[emoji3][emoji3][emoji3]we jamaa unamajibuSawa, kwa kuwa siku hizi mnafanya kazi amka muda unaotaka na yeye aamke muda anaotaka. Kama mkipata na mtoto mchanga nae aamke muda anaotaka.