Kuna tetesi Dunia inafikia ukomo, Masiha anarudi?

Unaandika kama tahira
 
Watu wanajua Bwana Yesu ni mnyonge hawafikiri hayupo duniani lakini Jina lake likitajwa mapepo hanatetemeka.. Sasa hawajui ni zaidi ya atakayokuja mwenyewe
Jina la Yesu siku hizi kazi yake kupigana na mapepo tu. Niliuliza kwa nini haliponyi amputees ule uzi waliukimbia hakuna aliyejibu. Hakuna miujiza siku hizi ni mazingaombwe na utapeli mtupu kwenye ukristo.
 
Watu wanajua Bwana Yesu ni mnyonge hawafikiri hayupo duniani lakini Jina lake likitajwa mapepo hanatetemeka.. Sasa hawajui ni zaidi ya atakayokuja mwenyewe
Biashara za kutoa mapepo hata waganga wa jadi wanaweza. Hata wayahudi walikuwa wanawapaka watu waliopagawa kinyesi ili kufukuza pepo. Nimesema kama ni jina la Yesu wa kweli basi ponyeni amputees. Mbona mmekimbia hoja??
 
Kuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.
wewe piga kazi jamaa!!! mwisho wa dunia ni kifo chako,hao jamaa wa USA wanapigwa matukia ya majanga ya asili na MUNGU kwa sababu ya kuendekeza USOGA,USAGAJI na KUbadili JINSIA!!,,,,,,,wapumbavu sana hao jamaa!!
 
Ni kweli hicho kitu kipo ila naona kama vile bado.
 
Kweli huyu atakuwa wa kizazi cha 2000. Akina HELLEN WHITE na wenzake wa Sabato walishatabiri mwisho wa dunia karne ile ya 19 wakaangukia pua wakajaribu kubadilisha tarehe lakini holaaa. Tuache haya mambo ya kijinga.
Ni ujinga mtupu kuamini dini za watu haswa hizi za kuletewa....we jiulize tu, Yesu hajawahi kukanyaga bara la Ulaya wala la Marekani ila utashangaa manabii wote wanatoka hizo nchi / mabara.
 
Papa Francis ni Jesuit. Papa Francis akiongea jambo huwa nalitafakari mara mbili mbili halafu naliweka moyoni.

Jesuits are the greatest spies ever happened on earth.Jesuits describes wednesday of the holy week as spy-wednesday.
Halafu kuna video ya aliekuwa CIA anaitwa Aangela Ford anaulizwa kuhusu crucifixion. Kaiangalie mkuu YouTube
 
Mkuu hii ya mwaka 1978 ni kama Kuna nabii fulani alitabili ila sijui ikaishiaga wapi..
 
Huyo Yesu aje kutoka wapi, alafu hata ninyi wafia dini mkiulizwa mtamtambua vipi huyo yesu hamjui zaidi ya stories za kudanganya na hao mapasta wenu makanisani.

Pia wengi wenu mnavuta picha ya kijana wa kizungu mwenye kanzu nyeupe kama taswira ya huyo yesu wenu, kiufupi si walokole si waluther, wapentecost ama wasabato, hakuna hata Mmoja humu anaweza kueleza atamtambua vipi huyo yesu kama atakuja.

Mtadanganywa bure, huyo yesu angekuwa wa kuja kulingana na stories za biblia angeshakuja zamani sana, pia tushukuru hakuja na hatokuja maana hayupo, na kama angekuwepo nina uhakika ule ubaguzi wa dini yake ungeendelea mpaka ktk hukumu na upendeleo wa watu wa kuwaokoa,

Nina uhakika zaidi watu weusi msingeokolewa na huyo yesu maana hawatambui, injili yake haiwatambui, ndiomaana hata barua za kijana wake mtume Petro hamkuletewa Afrika maana hamna thamani wala hamtambuliki kulingana na maandiko yake ya kipuuzi ktk biblia ya kipuuzi.

Watu weusi mshukuru zaidi yesu harudi, maana angekuwa wa kurudi wengi wenu angewahukumu na kuwasaidia hao wazungu wenzie wauaji hao mnaowabariki ilihali wao hata huyo yesu hawamjui.

La zaidi yesu hayupo na hatowai kuwepo, acheni kusubiri kiumbe ambacho hakijawai kuwepo mnapoteza muda bure, yesu katungwa na wazungu kuwadanganya/kuwacontroll watu duniani kupitia uzushi wa kidini.
 
Wewe nilishakuta unaamini uchawi..
Na huku unaleta hadithi za kufikirika..
Temana na hio ID unaaibisha Geeks na huu upupu unaoandika....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…