Kuna nchi na viinchi mkuu kura yako moja Tanzania haina nguvu sawa na kura moja ya Marekani.Ni Nchi gani duniani imeshawekewa vikwazo duniani kwa ajili ya mambo ya uchaguzi ??hv mnajua maana ya vkwazo vya uchumi?au kusitisha misaada kuna vikwazo na kusitisha misaada vikwazo vinatolewa na UN si nchi moja moja na vikwazo unawekewa kwa idadi ya moja ya tatu ya kura zote zitakazo pigwa na wanachama wa UN
Tanganyika imesitisiwa misaada na taasisi za misaada si serikali ya Marekani leo NSSF wakikataa kukupa misaada si kwamba serikali ya Tanganyika ndo imekataa kukupa misaada Millennium Development Goals (MDGs) ni taasisi ya kimarekani si serikali ya marekani
The Trump anakuja, sio Obama. Yeye hatakagi ujinga wenu wa kiafrika.Uzushi tu huu, Yaan vyombo vikubwa vya habari vya kimataifa vishindwe kupata hizi tetesi wewe ambaye upo Tanzania ndo uipate?
Hakuna kitu kama hicho, na Obama hawezi kufanya kitu kama hicho, kama TUME ya uchaguzi ingelikuwa imemtangaza rasmi Maalim Seif kama Rais afu CCM ikashinikiza matokeo yafutwe hapo kweli vikwazo vingewekwa, lakini kwa namna ilivyotokea ni ngumu sana hatua kama hizo kuchukuliwa, labda useme kuwa, MAREKANI ilazimishe mazungumzo kati ya CUF na Serikali yafanyike lakini si vikwazo.
Je kama yameharibika?Mijitu mingine mijinga sana, unashabikia kapu la mayai lidondoshwe ila na wewe umeweka mayai yako humo humo.
Kawalaumuni vijana wa IT, MUSSA ALLAN and Co.
Haya maneno ya kweli? Kuhusu maofisini?katika hali ya maisha magumu kama haya, wakishusha rungu tutakuwa kama malawi. tulifanya makosa makubwa sana kwenye uchaguzi uliopita, na hii inatugarimu live, hata kama watu wanajifariji lakini iko wazi, watu tuliowaweka madarakani tuliingia mkenge na tutajuta hadi 2020. tuangalie kama 2020 tutafanya makosa tena kama haya. ni sawa na kumpa intern kazi ya mteja wako wa miaka mingi. itaharibika tu. watu hawana uzoefu na uongozi hasa wa kimataifa, hawana uzoefu na uchumi, hawana uwezo wowote ni sawa tu na wametoka bush juzu, tukawakabidhi madaraka. nchi imesambaratika, hata pesa za kuendesha ofisi za serikali hamna, waulizeni wafanyakazi wa uma wanafanyaje kazi maofisini huko, wanaogopa tu kulalamika lakini hali ni mbaya kupita maelezo. tulitegemea hali itakuwa mbaya kwa mafisadi na wafanyabiashara wakwepa kodi, lakini hali ni mbaya zaidi ofisi za serikali, magari hayafanyi kazi hamna mafuta, hamna hela, afu mtu anakuja kusema anajenga uchumi? wanaeleza hata maana ya uchumi au walikuwa wanausikia tu. watu walipata madaraka kwa bahati nasibu ya kujaribisha na wanakotupeleka hakueleweki. Mungu aingilie kati hawa watu hawatufai maishani.
Ndiyo maana serikali inatumia michango ya rambirambi kujengea miundombinu.Changamoto za jinsi zinatufanya tukomaee. Mbona pesa za MCC walisitisha na tumeendelea kuwepo. Huu si wakati wa kuendelea na zoezi la kapu.
Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...
ID yako imefanana kwa kiasi kikubwa na ulichoandika....Hatutaki ukoloni mamboleo. Unawataka wazungu wa nini nawakati tanzania ni inchi yenye uhuru??
C t Cy 1kmm@qq9qklalalalqll1l0pqwNN ....... PWaswahili wanasema Adui wa Adui yako ni Rafiki yako.Kweli tumefika pabaya.
Mungu ni Mwemana underson ndambo.
Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.
Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.
Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.
Zilipendwa kwako mla ndizi mla maganda bado freshi.Hii kitu ni zilipendwa.
Unamaanisha Mchafu hachafuki!?sisi watanzania tumeshazoea shida sasa hivo vikwazo tukiwekewa na hao wamarekani sisi itatusaidia nini maana tushazoea shida hebu mnaelewa hili jambo mtusaidie
Mkuu UN kuna vitengo sita ambavyo niKuna nchi na viinchi mkuu kura yako moja Tanzania haina nguvu sawa na kura moja ya Marekani.
Tunashukuru kwa tetesi hiyo.na underson ndambo.
Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.
Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.
Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.
Mkuu acha kutokwa na povu kwa kulilia misaada ya wazungu, tufanye kazi kwa bidii watz wote tuachane na dhana ya bila misaada nchi haiendelei. Nchi yetu tuna rasilimali karibu aina zote kwa hiyo habar za misaada tuziweke kando tupige kazina underson ndambo.
Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.
Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.
Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.
fanya utafiti. hela za kuendesha ofisi huko sekta ya umma hamna, na mwaka 2020 vyama vya upinzani vijijenge tu vitakuwa na kazi ndogo sana kwasababu hakuna uchumi unaojengwa hapa na wajenga uchumi wanafanya kazi katika mazingira magumu sana sana. uliza mfanyakazi wa umma yeyote atakuambia.tunawaona wanavyohangaika na tunaongea nao kila siku, wanatia huruma na wanapata shida sana.Haya maneno ya kweli? Kuhusu maofisini?
Umafia wa CCM ndio utaliangamiza taifa sio CUF na CHADEMA, na hakuna anaefurahia nchi kuwkewa vikwazo bali ni CCM wenyewe ndio wanafurahia.Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...