Sir Kite 2
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 552
- 314
Barbarosa nilishakuambia kuambia katika thread yako ya jana ya' CCM kuendelea kutawala muda mrefu' kuwa, Zanzibar itaendelea kuwatesa na kututesa tusio na makosa mpaka mwisho wa dahari, kama hamtaichia iwe dola huru kama ilivyokuwa tokea mwaka 1882 ambapo balozi kama za Marekani na Uingereza zilikuwapo huko. Sijui Tangnyika tulikuwa katika hali gani wakati huo.Hata kama ni kweli, USA mpya inazaliwa Januari 20. D.Trump hataki huo ujinga!
Dua la kukuTutakua kama Zimbabwe!
Hujacopy umetungaJaribu kujiongeza tofautisha kuandika na kukopi.
na underson ndambo.
Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa
Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia
nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.
Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania
kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka
kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.
Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa
msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.
Mungu wabariki Wazungu .na underson ndambo.
Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.
Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.
Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.
Mbona unalalamika tuu mkuu badala yakuja na utetezi kuhusu hiyo mada...Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...
Dua la kuku halimpati mwewe utaendelea na tetesi zako huku watu wanapiga kazi. Tetesi kwa kawaida hazina source umeamua kujificha kwenye tetesi kujifariji.na underson ndambo.
Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.
Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.
Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.
na underson ndambo.
Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.
Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.
Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.
Dua la kuku halimpati mwewe rungu atashishiwa mama yakonyie ndiyo mkiambiwa watoto wenu ni wezi wala unga mnawatetea kwa gharama yoyote ile.
kila jambo lina wajibu wake, mmepoka ushindi wa Seif mtawajibika ipasavyo.
USA shusha runga upesi.
Dua la kuku halimpati mwewe rungu atashishiwa mama yako
Mkuu umeandika kwa niaba ya Mungu au? au we ndo Mungu mwenyewe?Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...
Haki imetendeka cuf wameikataaUnamuomba mungu haki itendeke waheshimu maoni na chaguo la wananchi na sio kuwa vinganganizi
Vipi ya Zanzibar yanaifanya Tanzania kua angle nation ?Sishangwazwi sana na uamuzi huu wa serikali ya marekani after all it's the most evil nation in the world.Kinachonishangaza though ni timing ya hatua hiyo.Is it being done to coincide with time of most need so that it may cause maximum damage?Tukumbuke kwamba Tanzania iko kwenye njaa ambayo nadhani haijawahi kulikumba taifa hili tangu ipate uhuru wake mwaka 1961. Tusubiri tuone.
Taifa la Marekani linaruhusu wananchi wake wawe abducted halafu wafanyiwe experiments za kinyama na Aliens involving mutilations in exchange for technologies.Sasa what do you expect out of such a evil nation. To me the US has got no moral authority to impose sanctions on Tanzania. It's such an evil nation.