- Thread starter
- #181
Unajua madhara ya vita vya Kagera?Kama tuliweza kuishi baada ya vita vya kagera hii ya sasa haitishi, wakitaka waweke vikwazo bado hatutawasujudu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua madhara ya vita vya Kagera?Kama tuliweza kuishi baada ya vita vya kagera hii ya sasa haitishi, wakitaka waweke vikwazo bado hatutawasujudu.
Tuna amini sna hadithi za pangu pa kavu Tia mchuzi....rumours?Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...
Kwani hawalipwi mishahara yao? Wanalalamika ofisi haziendi kwani ni za kwao? Huo uzalendo wa kutaka kazi za serikaki ziende vizuri wameupata lini na kwasababu zipi?fanya utafiti. hela za kuendesha ofisi huko sekta ya umma hamna, na mwaka 2020 vyama vya upinzani vijijenge tu vitakuwa na kazi ndogo sana kwasababu hakuna uchumi unaojengwa hapa na wajenga uchumi wanafanya kazi katika mazingira magumu sana sana. uliza mfanyakazi wa umma yeyote atakuambia.tunawaona wanavyohangaika na tunaongea nao kila siku, wanatia huruma na wanapata shida sana.
Kwani lazima wahudhurie,wao ni wakina nani??Hizo ni kauli za Kisiasa.Kama Mgogoro usingekuwepo CUF wasingesusia Sherehe za Mapinduzi.
Mkuu Quinine hao wana CCM ni madadravu tuu ambayo hayajielewi mkuuSiku hizi ukikosoa serikali basi wewe ni mpinzani, wanaCCM wote wameelekezwa kupongeza chochote hata kama kinatoa funza.
duh bange za wapi hizi. je katiba ya marekani inasemaje kuhusu uchaguzi?Hao Marekani waambie wajishushie rungu wenyewe na kujiwekea vikwazo wenyewe kwa ujinga walioufanya kwenye uchaguzi wao.
Kama taifa kubwa namna ile Rais anaamuliwa na watu 370 huoni nao wanahitaji kujiwekea vikwazo? Waambie chaguo la wengi kwa maana ya wananchi na sio magavana ni yule bibi yao na sio huyo babu yao.
Hata hivyo USA hata ukimchoma raia wao moto hadharani ila ukalinda maslahi yake hawatakulaumu na watakuongezea fungu zaid.
USA sio kama chadema au cuf wakinuna wamenuna, wao maslahi yao mbele mengine mtamalizana wenyewe, na hawataweka kikwazo chochote kila zaid ya kujikomba kwetu tu. Wakisusa China na Putin wanakula kirahisi tu yeye abakie na demokrasia yake.
Nani ana wasiwasi? Nchi tumeishika na tutaendelea kuishika nchiPunguza mapovu kama dua halimpati mwewe wasiwasi wako nini.
Ni shida ndiyo wala si jambo la kuomba maana hata chanjo na ARV tutakosa.sijui side b wao wamejipangaje.Duu,itakuwa shida kama ni kweli,madhara ya vikwazo ni makubwa sana kuliko tuna yofikiri
Tetesisource please
Una uhakika gani kama mleta uzi sio sehemu ya "chombo kikubwa cha kimataifa"?Uzushi tu huu, Yaan vyombo vikubwa vya habari vya kimataifa vishindwe kupata hizi tetesi wewe ambaye upo Tanzania ndo uipate?
Hakuna kitu kama hicho, na Obama hawezi kufanya kitu kama hicho, kama TUME ya uchaguzi ingelikuwa imemtangaza rasmi Maalim Seif kama Rais afu CCM ikashinikiza matokeo yafutwe hapo kweli vikwazo vingewekwa, lakini kwa namna ilivyotokea ni ngumu sana hatua kama hizo kuchukuliwa, labda useme kuwa, MAREKANI ilazimishe mazungumzo kati ya CUF na Serikali yafanyike lakini si vikwazo.
labda utoe sabab za kwnn awez kuw Raisi wa Zanzibar.. kwn kuna watu wameandikiw kuongoza wao tu ktk nchi hii... iQ yako ndogo ndio inayosababsha umaskin ktk nchii hii maana watu dizain yako mko weng sn...Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...
Ndoto za mchana mbaya sana.na underson ndambo.
Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.
Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.
Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.
Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...
Leo ndio mmeanza kubeza misaada ya wahisani wakati mmeshazingua katika terms zao hasa masuala ya kidemokrasia