Tetesi: Kuna Tetesi za kufanyika mabadiliko ya Utawala Zanzibar

Tetesi: Kuna Tetesi za kufanyika mabadiliko ya Utawala Zanzibar

Kuna zingine huwa si tu ni ' tetesi ' bali ni ' upuuzi / upupu ' tena uliotukuka. CUF Zanzibar wasahau kuwa na Serikali yoyote ile ya Mseto na ningewashauri tu kuliko kupoteza muda wao ni bora tu sasa wajikite katika Kujijenga Chama chao ili angalau mwaka 2020 waweze tena ' Kujitutumua ' Kisiasa japo najua hawataambulia chochote.
 
Katika jitihada hizo za viongozi wa CUf iliarifiwa kuna wakati waliwataja kwa majina viongozi walioko madarakani kuwa huu mpango wanaujuwa lakini hawakuitwa hata kuhojiwa.
 
kuna mambo mengine mtu anafikiria mwenyewe na kuposti.....
 
Kuna zingine huwa si tu ni ' tetesi ' bali ni ' upuuzi / upupu ' tena uliotukuka. CUF Zanzibar wasahau kuwa na Serikali yoyote ile ya Mseto na ningewashauri tu kuliko kupoteza muda wao ni bora tu sasa wajikite katika Kujijenga Chama chao ili angalau mwaka 2020 waweze tena ' Kujitutumua ' Kisiasa japo najua hawataambulia chochote.
Inaonekana una hasira Mkuu. Yaani haya mambo yamezagaa kule zenji wewe unaita upuuzi . Si ungepuuza tu baada ya kusoma
 
Lete tetesi za kweli ili maisha yaendelee. Itakuwa vyema wahusika na wenye mamlaka wakatoa ufafanuzi.
hakuna kitu kama hiko subirini uchaguzi 2020 full stop acheni mihemko.
 
Nafikiri lolote laweza kutokea manake Shein atapenda ajenge heshima/taswira njema hasa ktk awamu hii ya mwisho, otherwise atakumbukwa kwa kuharibu baada ya mwenzake Karume kupata mwafaka wa Znz.
 
Inaonekana una hasira Mkuu. Yaani haya mambo yamezagaa kule zenji wewe unaita upuuzi . Si ungepuuza tu baada ya kusoma

Umedanganywa tu hakuna lolote ambalo unajitahidi kutuaminisha limetokea au linaendelea huko Zanziabar. Fuatilia vizuri kisha utayaamini haya maneno yangu. Zanzibar yote ni salama na shwari tena 100%.
 
Vyanzo vya kichambuzi vinaarifu siku hizi upande wa CCM wamepowa sana na hawana makeke sana kama walivyozoeleka, hali hii inaelezwa si ya kawaida hasa pale wapinzanoi wao wanapohamasisha na kutoa taaqrifa hadharani ambazo zimerikodiwa na wanaziona.
 
Umedanganywa tu hakuna lolote ambalo unajitahidi kutuaminisha limetokea au linaendelea huko Zanziabar. Fuatilia vizuri kisha utayaamini haya maneno yangu. Zanzibar yote ni salama na shwari tena 100%.

Mkuu acha hizo. Sijaarifu kuwa Zanzibar hakuko shwari au si salama hapana. Kuna tetesi tu za mabadiliko ya utawala. Hiki ndicho nilichosema.
 
Zbar kwa Wa Zbar...waelewane nchi isonge mbele......!!! Tuwatakieheri......amaniitawale ndani nchi yao......wenye haki wapewe haki pia !!! Wafanye mseto milele....kila uchaguzi waangalie nani ana nyingi....aongoze nchi mwingine Makamu!!! Tuwaaachie
 
Nafikiri lolote laweza kutokea manake Shein atapenda ajenge heshima/taswira njema hasa ktk awamu hii ya mwisho, otherwise atakumbukwa kwa kuharibu baada ya mwenzake Karume kupata mwafaka wa Znz.

Siasa zetu hazioneshi mwelekeo vizuri. Utakuta ndani ya chama kimoja yule anajenga anakuja mwengine anabomoa.
 
Chini ya JPM hakuna fyokofyoko. Wasubiri 2020 goli lingine.
 
Back
Top Bottom