Kuna Timu Kubwa imeshinda Leo ila imecheza Mpira mbovu kiasi kwamba huko mbeleni ikikutana na Wanamume itafungwa 5 au 7

Hii ndo tatizo la kuandika/ kuzungumza kila anachoona/ kusikia. Ni rahisi sana kumjua mtu mpumbavu kupitia kuongea, ila ni vigumu kumjua mtu mpumbvu akikaa kimya.

Asikupe shida mkuu, kwa siku anaweza anzisha nyuzi zaidi ya 4.
 
Utopolo nayo ni timu kubwa? Hata kwenye timu 70 bora Africa haipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…