Kuna Timu mafanikio yake ya Kipekee CAFCL yatakuwa ni Kufurahia Mechi yao Kuonyesha 'Live' nchini Sudan

Katika football tunajivunia makombe na wala sio pesa bwashee.

National Al Ahly washawahi kusema kua wanatumia hela nyingi kuliko wanayoipata kwenye mashindano ya CAF.

Thamani ya timu inakua valued na 'titles'.
Wewe chawa huwezi kujua umuhimu wa team kuingiza pesa (hasa hizi zetu ambazo hazina vyanzo vingine vya mapato vilivyokomaa), ila sidhani maboss wanaofadhili hiyo team wanaweza kuwa na guts za kuona kama hela si chochote...!
 
Sasa wataonekanaje wakitetema japo sidhani kama kuna huo uwezekano wa mitetemo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…