Magufuli alikuwa anagawa fedha za umma akiwa kwenye gari la wazi. Kununua kuku kwa malaki etc etc.
sasa kaja mwingine ananunua/anagawa mamilioni ya umma uwanja wa mpira.
Wana tofauti gani, wakati huo hakuna madawati, dawa, na shida nyingi kibao kwa walalahoi?
sasa kaja mwingine ananunua/anagawa mamilioni ya umma uwanja wa mpira.
Wana tofauti gani, wakati huo hakuna madawati, dawa, na shida nyingi kibao kwa walalahoi?