Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point, utashindwa hata kuwawekea sumu kunguni maana, utajiuliza sasa watakula wapi?Usichukilie maisha serious sana,
Even if you're on retirement still can't understand you.Magufuli alikuwa anagawa fedha za umma akiwa kwenye gari la wazi. Kununua kuku kwa malaki etc etc.
sasa kaja mwingine ananunua/anagawa mamilioni ya umma uwanja wa mpira.
Wana tofauti gani, wakati huo hakuna madawati, dawa, na shida nyingi kibao kwa walalahoi?
Bladifaken you, not with taxpayers' money! on footbal /mipira hooliganism while essential social needs are starvingEven if you're on retirement still can't understand you.
Motisha kwa waliofanya kazi nzuri na kuliheshimisha Taifa ni vema wale jasho lao
huwezi kuelewa maana weww ni CCMKwani hizo hela wanazogawa zinatoka kwenye fungu/bajeti gani? Zilitengwa kwa ajili ya madawati?
Wana tofauti gani, wakati huo hakuna madawati, dawa, na shida nyingi kibao kwa walalahoi?Magufuli alikuwa anagawa fedha za umma akiwa kwenye gari la wazi. Kununua kuku kwa malaki etc etc.
sasa kaja mwingine ananunua/anagawa mamilioni ya umma uwanja wa mpira.
Wana tofauti gani, wakati huo hakuna madawati, dawa, na shida nyingi kibao kwa walalahoi?
We nenda kaharishe huo uvundo ukirudi utapata akili. Milioni 15 kwa rais wa nchi mwenye mshahara na marupurupu hawezi kutoa hiyo hela mfukoni mwake? Unaokoteza vitu vidogo vidogo visivyo maana. Poyoyo kweliMagufuli alikuwa anagawa fedha za umma akiwa kwenye gari la wazi. Kununua kuku kwa malaki etc etc.
sasa kaja mwingine ananunua/anagawa mamilioni ya umma uwanja wa mpira.
Wana tofauti gani, wakati huo hakuna madawati, dawa, na shida nyingi kibao kwa walalahoi?
we kahangaikie umaskini wako na wa ukoo wako. Nani kakuambia zile ni pesa za umma? Mnawashwa na nini nyau nyie?Unaweza dhani mwenzako ni pointless kumbe wewe ndo Lyapukile na Zwazwa kabisa!
Umewahi ona wapi nchi zilizoendelea Rais anagawa fedha uwanjani? Wenzetu pesa ya ziada huelekezwa kwenye kukabiliana na majanga kama mafuriko, njaa, ajali n.k We unawagawia fedha watu ambao mishahara yao ni mamilioni unaacha kuwasaidia wasioweza kupata hata mlo mmoja! Think before acting mkuu.
Nitamharishia mama yako! Mama yako hajawahi kuniita poyoyo, ujue unamtukana baba yako mimi!We nenda kaharishe huo uvundo ukirudi utapata akili. Milioni 15 kwa rais wa nchi mwenye mshahara na marupurupu hawezi kutoa hiyo hela mfukoni mwake? Unaokoteza vitu vidogo vidogo visivyo maana. Poyoyo kweli
Tumia pesa zikuzoee.Magufuli alikuwa anagawa fedha za umma akiwa kwenye gari la wazi. Kununua kuku kwa malaki etc etc.
sasa kaja mwingine ananunua/anagawa mamilioni ya umma uwanja wa mpira.
Wana tofauti gani, wakati huo hakuna madawati, dawa, na shida nyingi kibao kwa walalahoi?
why not?public money mind!Usichukilie maisha serious sana,
Hadi kuisha kwaresma wewe huna fungu hata kidogo yaani utakuwa na mema sifuriKwa Mangi
Mungu wa mbinguni huangalia Nia!Hadi kuisha kwaresma wewe huna fungu hata kidogo yaani utakuwa na mema sifuri
Umeweka Nia nzuri lkn matendo mabovuMungu wa mbinguni huangalia Nia!
Wewe siyo Mungu!Umeweka Nia nzuri lkn matendo mabovu