Kuna tofauti gani kati ya aliyekuwa anagawa fedha za umma akiwa kwenye gari na anayegawa uwanja wa mpira?

Kuna tofauti gani kati ya aliyekuwa anagawa fedha za umma akiwa kwenye gari na anayegawa uwanja wa mpira?

Ndiyo, ipo.
Tofauti ya kwanza ni ya kijiografia; Mmoja amegawa mabarabarani huku Mwingine akigawa uwanjani....huo ni utofauti tayari.

Tofauti ya pili; aliyegawa uwanjani amelenga kuleta ari ya kujituma zaidi na hamasa/uhai wa michezo huku fedha lengwa ikisaidia wengi zaidi sababu itagawiwa kwa wachezaji wote (ambao ni wengi na wana familia). On contrary, anayegawa mabarabarani ana lengo la kujinufaisha zaidi yeye kama yeye huku akihamasisha tabia ya kujidogoisha kwa kujiona mnyonge na kuwa omba omba.

Mfanano; wote wana motive ya kisiasa nyuma yake wakikimbizana kuchota umaarufu na akili za watanzania.
 
Kuna uwezekano hizi za kununua magoli wala "Mama" hahusiki nazo,ni kina Msigwa tu wanachota wanakojua wao!
 
Magufuli alikuwa anagawa fedha za umma akiwa kwenye gari la wazi. Kununua kuku kwa malaki etc etc.
sasa kaja mwingine ananunua/anagawa mamilioni ya umma uwanja wa mpira.

Wana tofauti gani, wakati huo hakuna madawati, dawa, na shida nyingi kibao kwa walalahoi?

Even if you're on retirement still can't understand you.
Motisha kwa waliofanya kazi nzuri na kuliheshimisha Taifa ni vema wale jasho lao
 
Even if you're on retirement still can't understand you.
Motisha kwa waliofanya kazi nzuri na kuliheshimisha Taifa ni vema wale jasho lao
Bladifaken you, not with taxpayers' money! on footbal /mipira hooliganism while essential social needs are starving
 
Magufuli alikuwa anagawa fedha za umma akiwa kwenye gari la wazi. Kununua kuku kwa malaki etc etc.
sasa kaja mwingine ananunua/anagawa mamilioni ya umma uwanja wa mpira.

Wana tofauti gani, wakati huo hakuna madawati, dawa, na shida nyingi kibao kwa walalahoi?

Wana tofauti gani, wakati huo hakuna madawati, dawa, na shida nyingi kibao kwa walalahoi?

Duu safar Bado ni ndefu sanaa...
 
Magufuli alikuwa anagawa fedha za umma akiwa kwenye gari la wazi. Kununua kuku kwa malaki etc etc.
sasa kaja mwingine ananunua/anagawa mamilioni ya umma uwanja wa mpira.

Wana tofauti gani, wakati huo hakuna madawati, dawa, na shida nyingi kibao kwa walalahoi?

We nenda kaharishe huo uvundo ukirudi utapata akili. Milioni 15 kwa rais wa nchi mwenye mshahara na marupurupu hawezi kutoa hiyo hela mfukoni mwake? Unaokoteza vitu vidogo vidogo visivyo maana. Poyoyo kweli
 
Unaweza dhani mwenzako ni pointless kumbe wewe ndo Lyapukile na Zwazwa kabisa!

Umewahi ona wapi nchi zilizoendelea Rais anagawa fedha uwanjani? Wenzetu pesa ya ziada huelekezwa kwenye kukabiliana na majanga kama mafuriko, njaa, ajali n.k We unawagawia fedha watu ambao mishahara yao ni mamilioni unaacha kuwasaidia wasioweza kupata hata mlo mmoja! Think before acting mkuu.
we kahangaikie umaskini wako na wa ukoo wako. Nani kakuambia zile ni pesa za umma? Mnawashwa na nini nyau nyie?
 
We nenda kaharishe huo uvundo ukirudi utapata akili. Milioni 15 kwa rais wa nchi mwenye mshahara na marupurupu hawezi kutoa hiyo hela mfukoni mwake? Unaokoteza vitu vidogo vidogo visivyo maana. Poyoyo kweli
Nitamharishia mama yako! Mama yako hajawahi kuniita poyoyo, ujue unamtukana baba yako mimi!
 
Back
Top Bottom