PointlessMagufuli alikuwa anagawa fedha za umma akiwa kwenye gari la wazi. Kununua kuku kwa malaki etc etc...
Kwani hizo hela wanazogawa zinatoka kwenye fungu/bajeti gani? Zilitengwa kwa ajili ya madawati?Magufuli alikuwa anagawa fedha za umma akiwa kwenye gari la wazi. Kununua kuku kwa malaki etc etc...
Ni mbingu na nchiMagufuli alikuwa anagawa fedha za umma akiwa kwenye gari la wazi. Kununua kuku kwa malaki etc etc.
sasa kaja mwingine ananunua/anagawa mamilioni ya umma uwanja wa mpira.
Wana tofauti gani, wakati huo hakuna madawati, dawa, na shida nyingi kibao kwa walalahoi?
View attachment 2527020
Ni kama mtoto wako awe na sare chakavu za shule huku wewe una bajeti ya kunywa bia mbili kila jioni pale kwenye grocery ya jirani.Kwani hizo hela wanazogawa zinatoka kwenye fungu/bajeti gani? Zilitengwa kwa ajili ya madawati?
Kwa MangiNi kama mtoto wako awe na sare chakavu za shule huku wewe una bajeti ya kunywa bia mbili kila jioni pale kwenye grocery ya jirani.
Katiba mbovu inayowapa mamlaka ya kutumia pesa za umma watakavyo bila kuwajibishwa ndiyo inawachochea wajichotee nijilimbikizia kwenye akauti zao na ndugu zao. Tuamke tukomeshe huu wiziMagufuli alikuwa anagawa fedha za umma akiwa kwenye gari la wazi. Kununua kuku kwa malaki etc etc.
sasa kaja mwingine ananunua/anagawa mamilioni ya umma uwanja wa mpira...
Unaweza dhani mwenzako ni pointless kumbe wewe ndo Lyapukile na Zwazwa kabisa!Pointless
Unaweza dhani mwenzako ni pointless kumbe wewe ndo Lyapukile na Zwazwa kabisa!Pointless
Sawa anza wewe kuukomesha.Katiba mbovu inayowapa mamlaka ya kutumia pesa za umma watakavyo bila kuwajibishwa ndiyo inawachochea wajichotee nijilimbikizia kwenye akauti zao na ndugu zao. Tuamke tukomeshe huu wizi